Quarterpin
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,253
- 1,084
Polisi warejee mazungumzo ya viongozi wote wa din kabla kuhusiana na wenzao kukamatwa, kitendo cha wahalifu kusema wamesalitiwa kwamba kwa nin wao wanasali wakati wenzao wamekamatwa, tayari kinaweza kuonesha wahusika ni wakina nani. Haiwezekani mtu aibuke tu kuuliza makubaliano ambayo hayakuwepo.
Japokuwa wamemuua Imam, lakin kuna haja ya kuangalia in and out zake zote na za viongoz wengine kabla ya mauti.
Jambo jingine, hapa unauona umuhimu wa mguu wa kuku kibindoni, hata kama ni kusanyiko la dini sababu wanasiasa wameshapose hii nchi kwenye risk potentials nyingi sana sasa lazima kama una uwezo ujilinde.
Wajinga wajinga wakija na mapanga na mashoka bila bunduki, kabla hujachinjwa unaweza kufurukuta ukafa na baadhi.
Otherwise, poleni sana wafiwa.
Japokuwa wamemuua Imam, lakin kuna haja ya kuangalia in and out zake zote na za viongoz wengine kabla ya mauti.
Jambo jingine, hapa unauona umuhimu wa mguu wa kuku kibindoni, hata kama ni kusanyiko la dini sababu wanasiasa wameshapose hii nchi kwenye risk potentials nyingi sana sasa lazima kama una uwezo ujilinde.
Wajinga wajinga wakija na mapanga na mashoka bila bunduki, kabla hujachinjwa unaweza kufurukuta ukafa na baadhi.
Otherwise, poleni sana wafiwa.