Siri 5 Mauaji Msikitini

Siri 5 Mauaji Msikitini

Hao jamaa wakikamatwa yapasa wanyongwe, yaani unalazimisha watu waache kufanya ibada ya mungu wapambane na serikali ili wenzao waachiwe, mungu awarehemu _r.I.p
 
Hapa kunahitajika ulinzi shirikishi kufichua hivi vikundi vidogovidogo vya kigaidi ili jeshi la polisi na vyombo vingine vya usalama viwatie nguvuni haraka sana ,hili ni jambo kubwa linaloisumbua dunia hatuwezi kukubali Tanzania ikawa na magaidi hata sekunde moja.
 
Huwa kila siku sipati maana halisi ya baadhi ya mafundisho. R.I.P Feruzi umefariki ukiwa na umri mdogo sana eti na watu wanaompigania mtume!!!
Huo ni upotoshaji hakuna mahala waliposema wanampiginia mtume walichosema wasisali wakati wenzao wako ndani.
 
Tanzania neno gaidi tunalitumia kirahisi sana,majambazi yakifanya uhalifu utasikia ugaidi,hicho ni kikundi cha wahuni kilichojificha kwa kivuli cha dini,kikundi cha kigaidi baada ya tukio hutoa taarifa wao ni kikundi fulani wametekeleza shambulizi,sasa hao wahuni waliodhulumu nafsi za wenzao kwa kisingizio wenzao wamekatwa,kwanini wasiende huko kwenda kuchinja askari na kuwatoa hao wenzao
 
Mwanza waongoza mazoezi ya carate, ngumi, judo etc kwenye vikundi wengi ni waislam hata nyakato.... niliona wanahojiwa kwenye Tv ila wanacho sema ni kwamba wanafanya mazoez tu kujiweka fit, polisi chunguzeni sana hawa watu nadhani sio wema sana (nadhani sina uhakika).... maana nilishangaa wengi walikuwa na sigda kubwa kabisa usoni na zile ndevu ... na ikibidi
haya mazoez yapigwe marufuku kwa muda....
KUNA BAADHI YA MISIKITI HUMU DAR WATU WANASHINDA HUMO WANAJIFUNZA HAYA MAKITU NA MENGINE MENGI HAPA WANAJIFANYA, KUITA WATU WAPUMBAVU ......... WAKATI WAO NDO MAGAIDI JINGA KABISA HAWA
 
WEWE NDIO MPUMBAVU KWASABABU UNAELEWA KBISA MAZOEZ YANAYOONGELEWA HAPA NI YAPI NA HUU UPUMBAVU UTAWATATAFUNA MPAKA KIAMA ASANTE KWA KUONESHA UPUMBAV WAKO WAZIWAZI...WEWE NDO UNAHEMKA PAMBAVVVVVV KABISA WATU TUNAWAONA MISKITINI HUMU WATOTTO HAWAENDI SHULE WANAJIFUNZA JUDO KWANINI?? AU UNADHANI BINADAMU WOTE NI WAPUMBAV KAMA WEWE? ACHENI UGAIDIIIIIIII


NONESENSE
Mbona povu linakutoka wakati ukiandikacho ni ushu...zi tu, huyo mtoto ambaye haendi shule kwa kwenda Judo kwann usimripotishe mzazi wake serikali za mtaa kwa hatua za kisheria, au umeigeuza jf kama sehemu ya kuleta porojo zako na kuondolea stress zako za kuamka na njaa kali. Idiot
 
Tanzania ni nchi inayoongozwa na utawala wa sheria, acha kunitisha na wala huna sababu ya kufanya hivyo... Justice for all
Tumia nguvu nyingi kuwaelimisha hao waumini wezako kuwa huwezi kusaka bikra kwa kuchinja binafamu mwezako akiwa anamuomba mungu wake msikitini. Mnaboa sana
 
Ahaaa!! Kumbe mazoezi yanaruhusiwa hadi msikitini!? Hongereni
Kwahiyo sheria imeainisha sehemu ya kufanyia mazoezi, Mimi Kila asubuhi nagonga pushups za kutosha chumbani kwangu n no one can bother... Nikiwa na maana kitu kama sio Kosa kwa mujibu wa sheria tukiache kama kilivyo otherwise tutajionesha rangi yetu halisi "kuwa hatupambani na uhalifu ila na uislam"
 
Tumia nguvu nyingi kuwaelimisha hao waumini wezako kuwa huwezi kusaka bikra kwa kuchinja binafamu mwezako akiwa anamuomba mungu wake msikitini. Mnaboa sana
Mkuu, msingi wa hoja yako ni nini, upande wa sheria haupo wala upande mwingine haupo , yaani Upo kati na kati kama tunda alilokula Adam na Eve
 
sidhani kama hawa ni magaidi hao wa al shabab au ISI ...Hawa ni wahalifu tu wa humu ndani
 
"...nyie badala ya kwenda kupigana mnasalisali,mnasali nini wakati mmetusaliti?"

Toka wakiwa wadogo wanafundishwa kwamba wawe tayari kupigana kwa ajili ya dini ama kwa ajili ya wenzao,sasa ikitokea scene inahitaji kupigania dini halafu wewe ukawa mzito kushiriki,ndo hayo yanayotokea!!

"Chickens coming home to roost"

Nimeona viongozi wa hiyo dini kupitia jumuiya mbalimbali wakilaani hilo tukio lakini ukweli ni kwamba kama hawaangalii chanzo cha hii kitu ambacho kwa % kubwa ni mafundisho yenyewe then wasitegemee miujiza.
 
Back
Top Bottom