nonino ndio nini??
atalipa na nini wakati hana pessa... Kakutajia ya bei poa akijua atatoa hata kisosi... Sasa wewe unachukua na kiroba unatka aliwe tigo mwenzio tuoneane huruma
muulize mwanamke wako wa mbeya atakwambia ......nini maana yake sasa??
Hahaha. Safi sanasio wavivu kiasi icho... Wao huwa wanafua moja kwa moja...
ndo manake, ata leo asubuhi nimefanyiwa....umewahi fanyiwa ivo??
Ndiyo, pale nilipokubali appointment ya kwenda kufanya kazi Mbeya kwenye mademu wa ajabu ajabu....umewahi kupotea njia mkuu??
Tanga orijino hiyo....kumbe hata Tanga hujawahi kuishi wewekwendaga- ni kiswahili cha wapi?
Uliwahi kuona wapi mwanamke wa kiarabu akafuga ndevu? Kama wapo waarabu wanawake wenye ndevu basi watakuwa wazawa wa Mbeya....wafuga ndevu- waarabu
nahisi hawayajui hayo.
Hiyo ndiyo hoja dhaifu uliyoamua kuja nayo?inaonesha huna jipya.. Umezoea kula kuku mi nakula bata.
Hiyo kazi unaifahamu wewe na inawafurahisha nyinyi wazawa wa huko. Hata hivyo nafurahi umekiri wanawake wenu kuwa na midevu na misharubu kama wanaume.unafahamu kazi yake ile??
Rejea kichwa cha habari hapo juu, mimi ninaamini sio Tanga tu ndio eneo pekee wanaojua mapenzi.
Hata hapa kwetu MBEYA wapo mabinti wengi wanojua mapenzi tena zaidi ya watu wa Tanga nina ushuhuda wa vijana wengi kutoka mikoa mbalimbali sasa wanakimbilia Mbeya kuwaoa mabinti wa Mbeya.
Ushauri wangu ukiona una hangaika wapi utapata mpenzi hodari na atakaye kufurahisha karibu sana mbeya.
Mapenzi zaidi ya Tanga
Bila shaka bado unajifunza jinsi ya kupangilia hoja. Angalia ulivyoanza hapo kwenye rangi nyekundu, halafu unajirekebisha kwenye rangi ya bluu mwishoni tena ukajichanganya tena kwenye rangi nyekundu.naongelea wa kuoa sio kuchuna...
Lift imetokea wapi humu,
Ulipodai naishi mpakani uliwahi niona au ulinijengea/kunipangishia wewe nyumba?mi naishi wapi?
Bila shaka bado unajifunza jinsi ya kupangilia hoja. Angalia ulivyoanza hapo kwenye rangi nyekundu, halafu unajirekebisha kwenye rangi ya bluu mwishoni tena ukajichanganya tena kwenye rangi nyekundu.
Hueleweki ulitaka kuongelea nini kwa leo kati ya kufanya mapenzi kwa maana ya ngono tu au kutafuta mchumba kwanza na tendo lifuate baada ya ndoa?
Kabla ya kuleta mada jipange, hapa ni JF ukileta mada kiutani utani utajibiwa kiutani utani, ukileta mada makini yenye ujazo utajibiwa hivyo hivyo. Nadhani umenipata
tukunyema sio kiswahili. Haina maana katika kamusi
Hiyo ni kiswahili? ipo kwenye kamusi? Jipange kijanajiheshimu chalii angu.
Alipoamkia yeye leo sisi tulikuwepo kitambo....Mjinga mjinga potexea hana jipya
Kumbe limekuuma eeeehhh, umeanza sisi tunamaliza bora tusielewane vibaya. Ukiona huwezi vumilia matusi basi usitukane watu wa Pwani maana huko ndiko chimbuko, bara mnajifunza tu toka Bandarini....jiheshimu chalii angu.
Hiyo kazi unaifahamu wewe na inawafurahisha nyinyi wazawa wa huko. Hata hivyo nafurahi umekiri wanawaek wenu kuwa na midevu na misharubu kama wanaume.
cc: Mamaafacebook, Mafikizolo, BRENDA....
Alipoamkia yeye leo sisi tulikuwepo kitambo....