The navi 2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2013
- 352
- 46
- Thread starter
- #301
Ukiona hivo jua na.wewe una ka uzoefu ka kua ka haouseboy
ndo nini??
Ukiona hivo jua na.wewe una ka uzoefu ka kua ka haouseboy
Unaonesha ulivo hata kwenye rada husomeki nikikutafta google sikuoni nimejitahid kukuzoom naona kiza tu kanisajiliiiiiii mkumbo gani halaf unaonekana una kibamia wewe manake mbish sana huna lolote nshasema wewe ngoma ako haikeshi halaf huu mziki mzito hapana sogelea hapa
Ahhha nani kakremu sasa kat yangu na yako naona napigizana na kelele n mbuzi ale majani huku nampigia mnanda ila waaapi mbuz kaz ake kutingisha mkia hayumooo ndo hata wewe ulivo.humoooooooo kabisa yan.humo we bado mgeni mana kamba mguun naiona watu mmekaa mnakrem.et waganga siku hiz ndo.walipoona kwa mganga ndo suluhisho la kumtuliza mwanaume kwa taarifa tu mwanamke yeye tosha ni limbwata sasa kulitumia n.akili yako hao wanaikwenda huko hawana ujuzi
Kumbe unawafaham.bas kwisha kaz me najua unawajua
Wewe ni kibajaji acha kushindana na fuso utapotezwa
Kumbe kufanyiwa hujafanyiwa ungesubir ufanyiwe halaf ndo ungeona jibu la hili swali lako
Hiyo hainihu labda una jingine
Eish peleka porojo kule nakuona wa kuja tuna kibao cha karibu hatujui kwa heri
Vitu vingine vyakuhurumiwa watu basi eti mbeya.
Hahaha..nao washaanza kuweka nonino kwenye visosi....!
Hahaha..nao washaanza kuweka nonino kwenye visosi....!
Upate utamu wa kutiana
We sekta ya mapenzi ujui embu jinga taifa tu aisee ... nyie ndiyo wale mnagusa unakojoa mnasema umetiana mfyuuuuuu
Mwambie huyo asilete ujuaji mwingi
Nyoooooookooooo
Hahaha hawa wanaongelea wanyaki wa huko ileje...wamesahau tupo tumetulia tunachek wanavyotapatapa na povu kuwatoka...aiiiiiii.na sie twaweza bwana....tena skuiz ni mwendo wa uportable tu
anabisha tu huyoo, kama mwanamke wa mbeya kamdatisha ivyo, anakuja a humu, akikutana na wakitanga atatamani dunia nzima ijue...
Na ndo ndivo ilivo kapata mmbea kamdatisha anahis mapenz mbeya "japo natokea tanga mapenzi.yalipozaliwa........" nimenukuu kutoka kwa mwana fa
Ahhha portable???????? Asilimia kubwa ya nyie ni matukunyema
Umesoma thread mwanzo ad mwisho??? Hujamuona tu mjuaji