suregirl
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 6,056
- 198
Meonaeeeeeeeeeeee!!
nimeona kitamboooooooooooo
Meonaeeeeeeeeeeee!!
Rejea kichwa cha habari hapo juu, mimi ninaamini sio Tanga tu ndio eneo pekee wanaojua mapenzi.
Hata hapa kwetu MBEYA wapo mabinti wengi wanojua mapenzi tena zaidi ya watu wa Tanga nina ushuhuda wa vijana wengi kutoka mikoa mbalimbali sasa wanakimbilia Mbeya kuwaoa mabinti wa Mbeya.
Ushauri wangu ukiona una hangaika wapi utapata mpenzi hodari na atakaye kufurahisha karibu sana mbeya.
Mapenzi zaidi ya Tanga
hahaha bila magic skini, anakua na magic color & face....ni shida....ahahahahha camera 360 ina mstiri
Heheheheheh mie timbwili langu likianza hapa mpaka nitulizwe na ukoo wangu ati, Tanga Rakha,Waja leo kuondoka majaaaliwa,Kwa mapenzi ndo usiseme, mapishi ndo balaa teh teh oyooooooooooooooo TEAM Tanga Raha waaambieni!!Cc Mamaafacebook, tabibumtaratibu
Hahaha..nao washaanza kuweka nonino kwenye visosi....!
wewe watoto wa tanga hatari ukimaliza mippumbu yako inawekwa kwenye kisosi na maji ya vuguvugu ukitota hapo kitu unaendelea naona wewe hujui wewe aii[/QUOTE
"Waniua ua kipenzi waniua ua" Miss Chagga mi naimba tu, tena najiimbia mwenyewe,
hahaha bila magic skini, anakua na magic color & face....ni shida....
hapa mke nnae.....
Heheheheheh mie timbwili langu likianza hapa mpaka nitulizwe na ukoo wangu ati, Tanga Rakha,Waja leo kuondoka majaaaliwa,Kwa mapenzi ndo usiseme, mapishi ndo balaa teh teh oyooooooooooooooo TEAM Tanga Raha waaambieni!!Cc Mamaafacebook, tabibumtaratibu
Nachukua na kiroba kabisa cha kuboost steam
mtu kwao mamaafacebookAhhha umeona enh
mtu kwao mamaafacebook
Kufa tu tutazikawewe watoto wa tanga hatari ukimaliza mippumbu yako inawekwa kwenye kisosi na maji ya vuguvugu ukitota hapo kitu unaendelea naona wewe hujui wewe aii[/QUOTE
"Waniua ua kipenzi waniua ua" Miss Chagga mi naimba tu, tena najiimbia mwenyewe,
Acha viroba kunywa Jack Daniels
Kweli kabisa mafikizolo, Kaka wa rafiki yangu mmoja alienda tanga kikazi hadi sasa hata kwao hajawahi kurudi ni miaka 20 imepita sasa wazazi wao wamefariki jamaa hata msibani hakuja.
Kweli tanga noma.......!
Baelezeeeee baelewe haooooooo!! Mamaafacebook unaona na hili teh teh 20yrs
I have never been there...
Acha ubishani tafta wa kitanga yule aliebobea haswa habar za kuja kututolea povu kwa habar hazina mashiko usirudie halaf usiwe mbish kama.nyama goti....cc Mafikizolo tabibumtaratibu CYBERTEQ suregirl
Halaf naona bado hujajielewa ushaambiwa mara kibao tafta aliebobea kama hukutoa paswod na atm.kad yako ya benki