The navi 2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2013
- 352
- 46
- Thread starter
- #321
Ahha haki ya mama chukua novida kwa mangi ntalipa
utalipa kwa kisosi au??
Ahha haki ya mama chukua novida kwa mangi ntalipa
Muulize mama yako mzazi atakuambia nilikua nafanya nini huko mpaka wanawake wa maeneo hayo wakanisifia....
Endelea kusifia maamuma wenzako maana wote mnafanana....
Tukunyema shapeless...
Dogo usipime maji kwa miguu yote miwili nimekuwa mtumishi Ofisi ya Mkuu wako wa Mkoa kwa miaka 5, makazi uhindini. Au ulitegemea niishi huko unakoishi wewe?
We sema uliokutana nao ni tukunyema,..hata tanga utukunyema upo hivo hivo mbeya pia uportable upo..habar ndo hio.kama mnabisha kunyeni tikit
Enhe after ushapeless kingine???maana naona wew ni mkereketwa wa wanawake wa mbeya..
Dogo usipime maji kwa miguu yote miwili nimekuwa mtumishi Ofisi ya Mkuu wako wa Mkoa kwa miaka 5, makazi uhindini. Au ulitegemea niishi huko unakoishi wewe?
Hata hao wa Green Lounge, Babies Club, Carnival, City Pub ambao wanasifika wengi wao si wazawa wa hapo wamekuja kuchuna malimbukeni ya mapenzi yanayoibukia leo wakati hata jengo lenye Lift wamepata mwaka jana kupitia CWT tokea miaka 50 ya Uhuru....
Masharubu, na midevu kama midume...aaarrgghhhhhh
Umejaribu kujibu baadhi ya hoja japo ni uongo mtupu, mbona hujagusia la kulima na kula bangi? Kugema magari ya mafuta mpaka mwanzoni mwa miaka ya 2000 mkaungua na kubakia vipisi utadhani Sigara nyota juu wala chini hakufahamiki ni wapi....
Shosti pole sana naona.ungeanza kunya tikiti.wewe kama kweli.vinawezekana tanga tukinyema wapo ila wanajua kutumia voungo.vizur samaki akipoa hua hana ladha ila ukimuweka tangawizi limao kitungu saum hua anacgangamka upo apo enh amka bib usivute shuka kushakucha ndo bas tena
Nachukua na kiroba kabisa cha kuboost steam
Ahhhhahhhha naona wanajitahid kwa hoja ila hawana mashiko
Teheteheteheteheee....Ngoja kwanza tucheke wote halafu nitaendelea.
Hilo cheko lazima utakua umelipata toka Tanga.....
your name says it all Mamaafacebook
Rejea kichwa cha habari hapo juu, mimi ninaamini sio Tanga tu ndio eneo pekee wanaojua mapenzi.
Hata hapa kwetu MBEYA wapo mabinti wengi wanojua mapenzi tena zaidi ya watu wa Tanga nina ushuhuda wa vijana wengi kutoka mikoa mbalimbali sasa wanakimbilia Mbeya kuwaoa mabinti wa Mbeya.
Ushauri wangu ukiona una hangaika wapi utapata mpenzi hodari na atakaye kufurahisha karibu sana mbeya.
Mapenzi zaidi ya Tanga
Hahahahh. Wasafwa na Wanyakyusa nao wanaloweka nguo siku hizi?
Then.you have nothing to say??? Ahhhha chapa ilale
Halulaaaaa...tanga ndo kila kitu in your world but hainipunguz mie kuwa wa mbeya...ukimaliza kucheka na mim rudi kutema povu hilo uwe na amani
Vip hamkubali kwamba kuna wengine pia wanaweza...mnachojua huko tanga mapenz...hahahaha ngacheka mie...bas huko tanga hamuachiki wote ndoa mnazo na wanaume wanakimbilia huko kwa misifa mnayojishushia hapa...hakuna jipyaaa hizo mbwembwe tu za visosi na kila kitu...vip si tungesikia wenzetu nyie hamuachiki...??mim tikit kulinya bado sanaaaaaaa..especially kwa mada kama hiiii ya mapenz..ndo mnachojisifiaaa kumbe????haya kuleni hayo mapenz bas au tuwape na tuzo kabisa ndo mtulie....kizur hakijisifiii shost..