The navi 2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2013
- 352
- 46
- Thread starter
- #401
umemuona bibie anavotoka moshi na povu kwa kitu cha kuleweka basi nikajua huyo anaemuita mumewe ni mtanga kumbe sio sasa ushababi wa kuisemea tanga anautoa wapi??? hana hata xperience nako kasikia tu asee hajui akili za kuambiwa changanya na zako utapata jibu...............................
wanaume watanga waremavu acha uongo... Wanajua kucheza bao na kulima pineapple