Sio Tanga tu, hata Mbeya wanajua mapenzi

Sio Tanga tu, hata Mbeya wanajua mapenzi

Basi mumy punguza morari...............wefanya kama unakula bati ivi usije nufaisha watu
Ahhha pole yako hua sinaga timevya kukaa chini na kujibizana skia sawa usione ukadhan.tunababaikia mapenz tu tumesoma.wengine mapenz tunayo.tunajua kuyahandle kwa taarifa rejea kauli yangu mwanamke tosha n.limbwat sasa jinsi.ya kulitumia bib n.akili.ako hao.walioachika.n.wao wenyewe mie alokuambia nimeachika nan maana.unaongea kama mwenyekiti wa mtaa au kungwi langu inahu kapashe chai unywe
 
Heeeheeeeheiyaaaa nimecheka mie wallah,yaani rakha tu apa.

umemuona bibie anavotoka moshi na povu kwa kitu cha kuleweka basi nikajua huyo anaemuita mumewe ni mtanga kumbe sio sasa ushababi wa kuisemea tanga anautoa wapi??? hana hata xperience nako kasikia tu asee hajui akili za kuambiwa changanya na zako utapata jibu...............................
 
Hahahahahahah asilolijua litamsumbua ati, hahahahah awai stendi wakati nauli tunayo sie
umemuona bibie anavotoka moshi na povu kwa kitu cha kuleweka basi nikajua huyo anaemuita mumewe ni mtanga kumbe sio sasa ushababi wa kuisemea tanga anautoa wapi??? hana hata xperience nako kasikia tu asee hajui akili za kuambiwa changanya na zako utapata jibu...............................
 
Ahhhhahhhha saut kama kondoo kabanwa na.mtego wengi wao wana.saut mbaya asee.
Umenikumbusha Bahati Bukuku....Ngoja nijikumbushe ule wimbo wake "Ni nyakati za mwisho...."
Wanawake wana sauti kama Rainfred Masako.....
 
Heheheheheh mie timbwili langu likianza hapa mpaka nitulizwe na ukoo wangu ati, Tanga Rakha,Waja leo kuondoka majaaaliwa,Kwa mapenzi ndo usiseme, mapishi ndo balaa teh teh oyooooooooooooooo TEAM Tanga Raha waaambieni!!Cc Mamaafacebook, tabibumtaratibu

Ahhhha waaambieeee shetani akipanda had kipande cha dhahabu ndo anatulia
 
Last edited by a moderator:
Umenikumbusha Bahati Bukuku....Ngoja nijikumbushe ule wimbo wake "Ni nyakati za mwisho...."
Wanawake wana sauti kama Rainfred Masako.....

Ahhhahhaaaa mwanamke ana saut 21 sasa sjui kama analijua na.hili na.zina.sehem.husika.haswaaaaaa
 
Back
Top Bottom