The navi 2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2013
- 352
- 46
- Thread starter
- #161
Ujawekwa puuumbu kwenye kisosi cha maji ya moto
ili iweje ssa??
Ujawekwa puuumbu kwenye kisosi cha maji ya moto
Nikikuangalia tu naona ngoma.ako haikeshi
Mbeya mapenzi kwa wanyakyusa, wasafwa, wamalila,wandali au wabungu wa chunya hakuna kitu hapo heshima nyingi mbele za watu za kuigiza lakin hamna kitu
Miaka 20 mbeya nawajua a to z lakini ukizubaa wamekuondoa /kifo kwao mwanamke ndo mtawala, usisahau umalaya kwa hawa hasa wanyakyusa kwa kuwatazama watoto mashaallah ila ndani mh wamejaa kila sehemu mpaka nanii, mwakaata, ughonile,
Ninao wawili mbeya watamu balaa, mmoja kanizalia mtoto mmoja wa kiume bonge la handsome, huyu mwingine anamimba ya mwezi sasa!
mkoa kuna wazinzi huo balaaa
Kila mkoa wanajua mapenzi hakuna cha tanga wala sijui pwani
hivi kisosi c cha barid jaman sasa hiyo raha iko wapi? hakuna aliezaliwa anajua mapenz nijuavyo mm mapenz ni ubunifu ujue sehem zinazoleta ashk za mwenzio, mapenz hayataki papara wala haraka, pia mtoto wa kike shurt ajue kujishughulisha pale kati na kulalamika kwa raha na sauti nzuri ya kuongeza utam, bila kusahau usafi zaid kwa nn usinoge hata kama ww ni mchaga mwenzangu lazima wakugande!!
afu nilikuwa mbeya juzi kati mwee nasikitika kukosa hayo mambo daaa
Una mtanange gani.wewe au hadi.ujipimp na supu y pweza hakuna cha namba hata tunaenda mdogodogo tutafika.
Mkuu, tafuta binti wa kichagga au mpare afu ulete mrejesho jamvini.
Mkuu, tafuta binti wa kichagga au mpare afu ulete mrejesho jamvini.
Kwa hayo makitu Tanga hapama mpinzani.....wengine wanajaribu
unatokea kigoma nn??
yako ilikesha mara ngapi??
mi sipo... Wagiriki sio watu wazuri wana mashine nzito nzto
anakukumbusha nini sasa... Ushawahi fanya kazi za ndani nini huko
umekrem... Unaishi kwa kufuata mkumbo
watanga mnalo hilo... Kiwanda-mganga
hizo ni kelele...
hata kwa dawa.... Haitatokea... Tanga nawafahamu sana...