suregirl
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 6,056
- 198
kipya kinyemi.... Hata ukitaka mijibaba we njoo mbeya
Wewe ni kibajaji acha kushindana na fuso utapotezwa
kipya kinyemi.... Hata ukitaka mijibaba we njoo mbeya
utamu wa maji yana kata kiu na kuburudisha koo na kujiona mwepesi... Utamu upi huo wa kisosa??
nilisha mpata sasa nipo na wa mbeya... Sitamuacha maana ni wa ukweeel
ngoja nikufuate mm bas!
Au unataka kutest uhalisia?
matunyenye haipo kwenye kamusi ya kiswahili... Sio tani wala tusi... Ni nosense
wewe watoto wa tanga hatari ukimaliza mippumbu yako inawekwa kwenye kisosi na maji ya vuguvugu ukitota hapo kitu unaendelea naona wewe hujui wewe aii
Vitu vingine vyakuhurumiwa watu basi eti mbeya.
Hahaha..nao washaanza kuweka nonino kwenye visosi....!Usiniambiee.....wako vizuri wachaga na wapare eti?
ili iweje ssa??
hayo ndo mapenzi we unataka kufanya mapenzi huku una njaa... Mtakuja kufa vitandani!!
Hapo wachagga mnasubiri au siyo
Majirani zetu wale wanatufynza kidogo japo chapa mbele kama tai
Mwambie huyo asilete ujuaji mwingi
si kweli...
Mwambie huyo asilete ujuaji mwingi
Hahahahaa jamani mnatuchamba wanyaki hahahah. Sisi hatuna muda wa kubembelezana. Tupo busy na shule+kulima mipunga. Mahaba peleka pwani, wao ndo kazi yao
anabisha tu huyoo, kama mwanamke wa mbeya kamdatisha ivyo, anakuja a humu, akikutana na wakitanga atatamani dunia nzima ijue...Acha ubishani tafta wa kitanga yule aliebobea haswa habar za kuja kututolea povu kwa habar hazina mashiko usirudie halaf usiwe mbish kama.nyama goti....cc Mafikizolo tabibumtaratibu CYBERTEQ suregirl
anabisha tu huyoo, kama mwanamke wa mbeya kamdatisha ivyo, anakuja a humu, akikutana na wakitanga atatamani dunia nzima ijue...