Sio Tanga tu, hata Mbeya wanajua mapenzi

Sio Tanga tu, hata Mbeya wanajua mapenzi

Hahaha hawa wanaongelea wanyaki wa huko ileje...wamesahau tupo tumetulia tunachek wanavyotapatapa na povu kuwatoka...aiiiiiii.na sie twaweza bwana....tena skuiz ni mwendo wa uportable tu

Ahhha portable???????? Asilimia kubwa ya nyie ni matukunyema
 
Kabisa we waache tu hawajui tofuati yetu sisi ukinifurahusha nakufurahisha .. tanga wao mda wowote wanatumikia aiiii.... mchaga mie ukiniboa natuliza kihoro nipe hela mie mood irudi

Ahha haki ya mama chukua novida kwa mangi ntalipa
 
inaonekana uliishi mpakani jombaa... Njoo hapa mjini ni shiida yaani
Dogo usipime maji kwa miguu yote miwili nimekuwa mtumishi Ofisi ya Mkuu wako wa Mkoa kwa miaka 5, makazi uhindini. Au ulitegemea niishi huko unakoishi wewe?
 
Mtanzania,
Siyo kwamba nachanganya, naelewa sana, ila wewe unapindisha ukweli kwamba CCM imejificha chini ya mwavuli wa AMANI NA UTULIVU, kuvidumaza vyama vingine, na kuwatishia wananchi wasivi support na kuvichagua. Umesahau ITV walivo kuwa wanaonyesha mauaji ya Rwanda kwamba mkichagua wapinzani hicho ndo kitatokea Tanzania?

We sema uliokutana nao ni tukunyema,..hata tanga utukunyema upo hivo hivo mbeya pia uportable upo..habar ndo hio.kama mnabisha kunyeni tikit
 
Mimi nafkri waruguru n kiboko,kwani huanzia kwenye vigodoro
 
inaonekana uliishi mpakani jombaa... Njoo hapa mjini ni shiida yaani
Dogo usipime maji kwa miguu yote miwili nimekuwa mtumishi Ofisi ya Mkuu wako wa Mkoa kwa miaka 5, makazi uhindini. Au ulitegemea niishi huko unakoishi wewe?

Hata hao wa Green Lounge, Babies Club, Carnival, City Pub ambao wanasifika wengi wao si wazawa wa hapo wamekuja kuchuna malimbukeni ya mapenzi yanayoibukia leo wakati hata jengo lenye Lift wamepata mwaka jana kupitia CWT tokea miaka 50 ya Uhuru....
 
Mademu wengi wa Jiji la Mbeya wameota ndevu,
-si kweli hata tanga wapo
wengine wana mpaka masharubu
-uongo huo
. Ukiona hivyo hao wanaopagawisha ni wakuja sio wa hapo hapo.
-Hakuna wakuja mbeya
Mademu wengi wazawa wa Mbeya hawajui kubembeleza ni ubabe tu...
-Labda tanga ndo tabia yao
Umejaribu kujibu baadhi ya hoja japo ni uongo mtupu, mbona hujagusia la kulima na kula bangi? Kugema magari ya mafuta mpaka mwanzoni mwa miaka ya 2000 mkaungua na kubakia vipisi utadhani Sigara nyota juu wala chini hakufahamiki ni wapi....
 
Enhe after ushapeless kingine???maana naona wew ni mkereketwa wa wanawake wa mbeya..

We sema uliokutana nao ni tukunyema,..hata tanga utukunyema upo hivo hivo mbeya pia uportable upo..habar ndo hio.kama mnabisha kunyeni tikit

Shosti pole sana naona.ungeanza kunya tikiti.wewe kama kweli.vinawezekana tanga tukinyema wapo ila wanajua kutumia voungo.vizur samaki akipoa hua hana ladha ila ukimuweka tangawizi limao kitungu saum hua anacgangamka upo apo enh amka bib usivute shuka kushakucha ndo bas tena
 
Back
Top Bottom