suregirl
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 6,056
- 198
Umejaribu kujibu baadhi ya hoja japo ni uongo mtupu, mbona hujagusia la kulima na kula bangi? Kugema magari ya mafuta mpaka mwanzoni mwa miaka ya 2000 mkaungua na kubakia vipisi utadhani Sigara nyota juu waal chini hakufahamiki ni wapi....
Ahhhhahhhha naona wanajitahid kwa hoja ila hawana mashiko