suregirl
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 6,056
- 198
sasa Mafikizolo unasema hujawahi alafu una likazania mimi nimetembea kote tanga huko hakuna kitu
Bas hujaimaliza ndugu na.usiombe ukakutana nae mtanga hurud kwenu
Last edited by a moderator:
sasa Mafikizolo unasema hujawahi alafu una likazania mimi nimetembea kote tanga huko hakuna kitu
bora ata asipate mtanga, maana atakuja na uzi wa kuwaponda wanawake wa mbeya bureee
Nimeishi jiji la Mbeya miaka 5. Ukweli unabaki pale pale, ni heri umkosee mwanaume wa Kinyakyusa utaomba samahani yataisha mtaanza upya kuliko mwanamke wa Kinyakyusa, mbombo ngafutaratibu ndg, naona unaanza tukana wake zetu.
Tumetoa Mahari ndefu ujue.
Kama ni Tangabasi atakua ameishia Kabuku huyo, amejitahidi sana HaleBas hujaimaliza ndugu na.usiombe ukakutana nae mtanga hurud kwenu
Kama ni Tangabasi atakua ameishia Kabuku huyo, amejitahidi sana Hale
Msamehe tu huyo, si unajua tena kipofu akifunguliwa macho ghafla na Mola wake akaona Ng'ombe halafu akifungwa tena basi kila kitu akiambiwa atafananisha na Ng'ombe.Tanga ni noma kama huamini mumeo apate mchepuko binti awe wa Tanga utajuuuuuuuuuuuuuuuuta!!!
nyie sio wambea ni watu wambeya! usipaniki
eti ni kweli mnajua mapenzi, au mnaiga tanga? sema kweli
Wewe mtoto ishia hapo hapo unantamanisha ati weye. Unanikumbusha Mwakizaro, Mwanzange, Kwaminchi, Kisosora, Mtupie, Chumbageni, Usagara, Sahare kupitia Makorora mpaka Mabanda ya papa......Umeona.enh huyu hata majani mapana bado kabisa halaf naona.atakua mgeni kwenye sekta ya mapenz kakumbana na mmbeya bas anajua mbeya wote wako hivo.toka lini.kwa.historia gan.alichunguza.vizur historia.ya mwana dada kitu tanga deko mahhabaty mapish ahhha hebu mie
nimesema kinaongeza utamu
na matumizi ya kisosi yametokana na ubunifu wa mwanamke wa kitanga kutaka kumridhisha mwanaume kimapenzi
wanasema "kazi si kumpata, kazi ni kumfanya abaki"
cc Mamaafacebook
na sio kisosi tu kuna nyezo nyingine kama, udi, maua, shanga n.k pi hutumika
Wewe mtoto ishia hapo hapo unantamanisha ati weye. Unanikumbusha Mwakizaro, Mwanzange, Kwaminchi, Kisosora, Mtupie, Chumbageni, Usagara, Sahare kupitia Makorora mpaka Mabanda ya papa......
Hahahahaa jamani mnatuchamba wanyaki hahahah. Sisi hatuna muda wa kubembelezana. Tupo busy na shule+kulima mipunga. Mahaba peleka pwani, wao ndo kazi yao
Mmeacha kugema mafuta kwenye tankers zinazoanguka njiani na Bangi mmeacha kulima?Hahahahaa jamani mnatuchamba wanyaki hahahah. Sisi hatuna muda wa kubembelezana. Tupo busy na shule+kulima mipunga. Mahaba peleka pwani, wao ndo kazi yao
Mmeacha kugema mafuta kwenye tankers zinazoanguka njiani na Bangi mmeacha kulima?
wewe watoto wa tanga hatari ukimaliza mippumbu yako inawekwa kwenye kisosi na maji ya vuguvugu ukitota hapo kitu unaendelea naona wewe hujui wewe aii
nawe pia unayaweza eti....!?