hahahaaaa! Hebu ni pm namba yako nikuoneshe mtanange
hivi kisosi c cha barid jaman sasa hiyo raha iko wapi? hakuna aliezaliwa anajua mapenz nijuavyo mm mapenz ni ubunifu ujue sehem zinazoleta ashk za mwenzio, mapenz hayataki papara wala haraka, pia mtoto wa kike shurt ajue kujishughulisha pale kati na kulalamika kwa raha na sauti nzuri ya kuongeza utam, bila kusahau usafi zaid kwa nn usinoge hata kama ww ni mchaga mwenzangu lazima wakugande!!
moshi... ?? Usilete mada juu ya mada.. Moshi ni pessa
Mkuu, tafuta binti wa kichagga au mpare afu ulete mrejesho jamvini.
aaah! Mma kikolo ngamenye ukuti ulinnya mwaki
Una mtanange gani.wewe au hadi.ujipimp na supu y pweza hakuna cha namba hata tunaenda mdogodogo tutafika.
Siku hizi hakuna mtu wa wapi wala wapi...Hakuna makabila yenye utaalamu wa mapenzi...Ilikuwa zamani hiyo..
Kila kabila sasa lishavumbuka na kujifunza kuhusu mapenzi.....Technolojia zimesaidia
Hahahaa miss chagga sisi matunyenye ya maonesho eeh? Kwa hiyo sisi hatufai kwa matumizi ya binadamu? Ngoja tuje tukuoneshe kazi wanyaki sisi
sipitwi mimi hadi msuli natumia acha tu ... wanawake wa mbeya wengi matunyenye tu kuangalia raha sana ila kutumia utadhani upo kighorofani
Acha kabisaaa hiyo. Huku Tanga watu wanatumia miguu miwili, ukija kushoto yupo, ukija kulia yupo. Mbeya wengi wanatumia mguu mmoja, hawana jipya
kufa hufi ila utamu utaupata
Bas hujaimaliza ndugu na.usiombe ukakutana nae mtanga hurud kwenu
Umeona enh tanga raha bwana.hajiulizi kwa nin ikaitwa hivo.kwanza
Mkuu ulipakuwakomela idebe awakamugho
kupika na kula zaidi