The navi 2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2013
- 352
- 46
- Thread starter
- #141
Nimeishi jiji la Mbeya miaka 5. Ukweli unabaki pale pale, ni heri umkosee mwanaume wa Kinyakyusa utaomba samahani yataisha mtaanza upya kuliko mwanamke wa Kinyakyusa, mbombo ngafu
inaonekana uliishi mpakani jombaa... Njoo hapa mjini ni shiida yaani