gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
kazi ya mwl ndo iyoEheeeee nadhani amekuelewa kama ni mwanaume, ila kama ni mvulana basi endelea kutwanga maji kwenye kinu
unamsomesha mtoto akiamua aelewe asipoamua basi tena
kazi ya mwl ndo iyoEheeeee nadhani amekuelewa kama ni mwanaume, ila kama ni mvulana basi endelea kutwanga maji kwenye kinu
miss you soo much shost wangukazi ya mwl ndo iyo
unamsomesha mtoto akiamua aelewe asipoamua basi tena
"Akili mgando" not relevantHa ha ha ha ha binafsi huwa namshangaa mwanaume anaeoa mwanamke mwenye akili mgando huwa nachoka full
At your serviceNimekumiss ati, em fanya kweli
Hivi unajua hata dongo ni elimu pia ila inayotolewa kwa njia ya kuumiza? Kwahiyo inategemea tu utaichukulia vipi, ukiichukulia positively inakujenga zaidi."Dongo" hapana bali elimu yenye ushuhuda. Kikubwa siyo kulaumu au kujilaumu, "ukishajua basi hujachelewa"
Ekzaktile, as usualAt your service
Ewaaaa tuko mlemleee..... mbuzi wa mzee Ally kala mahindi ya mzee AllyHivi unajua hata dongo ni elimu pia ila inayotolewa kwa njia ya kuumiza? Kwahiyo inategemea tu utaichukulia vipi, ukiichukulia positively inakujenga zaidi.
Nini maana ya girl friend?Ndo mana Mama kasema nisiwe na girlfriend had mda wa kuoa
RafiQ wa kikeNini maana ya girl friend?
Kwahiyo huna rafiki wa kike?RafiQ wa kike
Kuna girl friend na girlfriendKwahiyo huna rafiki wa kike?