Sio kwa dongo hili!!

Sio kwa dongo hili!!

Wacha we!! Kwahiyo mshajiwekea kabisa kuwa bila wanawake hamfanikiwi.
We weee
Sio sisi asee ni maagizo ya Mungu.

Adam alikuwa mpweke sana ingawa alipewa miliki ya kila kitu, alipewa kila kimpasayo kukipata, lakini furaha yake haikuwepo aligubikwa na upweke

Mungu akagundua kuwa mwanamke ndio suluhisho la huyu adam.
Akamfanyia msaidizi, tatizo la wanawake wamesahau ama wanafanya makusudi asee, wamegeuza fedha ndio thamani ya mwanaume.
 
We weee
Sio sisi asee ni maagizo ya Mungu.

Adam alikuwa mpweke sana ingawa alipewa miliki ya kila kitu, alipewa kila kimpasayo kukipata, lakini furaha yake haikuwepo aligubikwa na upweke

Mungu akagundua kuwa mwanamke ndio suluhisho la huyu adam.
Akamfanyia msaidizi, tatizo la wanawake wamesahau ama wanafanya makusudi asee, wamegeuza fedha ndio thamani ya mwanaume.
Wacha we!! Adam had everthing only Eve was missing(i think you know whts that means right!!)

Sio sisi tuliobadili hiyo thamani ni nature. Kwahiyo msibadili nature.
 
Wacha we!! Adam has everthing only Eve was missing(i think you know whts that means right!!)

Sio sisi tuliobadili hiyo thamani ni nature. Kwahiyo msibadili nature.
Wanawake nyinyi ni walezi wetu, vile mtuleavyo ndivyo tukuavyo.
Cha ajabu ninyi mama zetu wamejitahidi katika utoto, kuja kwenye malezi ya ukubwani mntupoteza,
Wakati nakuwa mama alinifundisha nimuheshim sana mwanamke
Sasa kesi imekuja iheshimu sana hela yako, ili wanawake waiheshimu.
 
Wanawake nyinyi ni walezi wetu, vile mtuleavyo ndivyo tukuavyo.
Cha ajabu ninyi mama zetu wamejitahidi katika utoto, kuja kwenye malezi ya ukubwani mntupoteza,
Wakati nakuwa mama alinifundisha nimuheshim sana mwanamke
Sasa kesi imekuja iheshimu sana hela yako, ili wanawake waiheshimu.
Basi kama mama alijitahidi wewe ndio umeharibu, shika sana maagizo ya mama. Unasema uliambiwa uwaheshimu wanawake wakati unatuita 'wadudu'. Acha basi wakufanyie vile wadudu hufanya na usilalamike.
 
Basi kama mama alijitahidi wewe ndio umeharibu, shika sana maagizo ya mama. Unasema uliambiwa uwaheshimu wanawake wakati unatuita 'wadudu'. Acha basi wakufanyie vile wadudu hufanya na usilalamike.
Hivi mama si alinifaulisha?? Kanipandisha gari lingine hafu derva ananitoza naulli nyingine



Huwa najiuliza hivi na mama aliwahi kuwa msichana?? Na Je baba nae alihangaika hivi??


Siwezi kuongea na msichana asubuhi jioni akanihamishia majukum
Yani tumepeana namba tuuu jioni unahamishia majukumu ya mzazi wake, je nikioa??


Mwanamke wa siku hizi
Kuwa nae inakubidi uwekeze kwake, yani mwili wake sasa hivi umekuwa benki, tatizo hamna ATM eti ni mapenzi
Mwili kwa siku ukiwa kwao unaghalamiwa, zaidi ya kile unachotakiwa kujiwekea
 
Hivi mama si alinifaulisha?? Kanipandisha gari lingine hafu derva ananitoza naulli nyingine



Huwa najiuliza hivi na mama aliwahi kuwa msichana?? Na Je baba nae alihangaika hivi??


Siwezi kuongea na msichana asubuhi jioni akanihamishia majukum
Yani tumepeana namba tuuu jioni unahamishia majukumu ya mzazi wake, je nikioa??


Mwanamke wa siku hizi
Kuwa nae inakubidi uwekeze kwake, yani mwili wake sasa hivi umekuwa benki, tatizo hamna ATM eti ni mapenzi
Mwili kwa siku ukiwa kwao unaghalamiwa, zaidi ya kile unachotakiwa kujiwekea
Siku zote biashara inshamiri pale ambapo kuna demand, the higher the demand the higher the supply.
Wanaume wa siku hizi mjitathmini wapi mmeteleza, muache kulialua.
 
Siku zote biashara inshamiri pale ambapo kuna demand, the higher the demand the higher the supply.
Wanaume wa siku hizi mjitathmini wapi mmeteleza, muache kulialua.
Tunatanguliza mahitaji ya mawazo ya kichwa cha chini hilo tunalijua

Lakini akili yetu iko juu ya mikono yenu.

Nakuomba kukutana na wewe,, badala uniambie nikutane na wewe kwenu wewe unaniambia nikutane na wewe hotelini tena unaniambia nichague chumba chenye self konteinidi, hafu unakuja nusu uchi unafikiri kichwa chanu kitafikiriaje??

Jamani tuwe tunahurumiana, mnataka mniongoze kwa kichwa cha chini, mimi nikuongoze kwa kichwa cha juu
 
Tunatanguliza mahitaji ya mawazo ya kichwa cha chini hilo tunalijua

Lakini akili yetu iko juu ya mikono yenu.

Nakuomba kukutana na wewe,, badala uniambie nikutane na wewe kwenu wewe unaniambia nikutane na wewe hotelini tena unaniambia nichague chumba chenye self konteinidi, hafu unakuja nusu uchi unafikiri kichwa chanu kitafikiriaje??

Jamani tuwe tunahurumiana, mnataka mniongoze kwa kichwa cha chini, mimi nikuongoze kwa kichwa cha juu
Wewe si ukatae na useme mkutane kwao?
 
Nawaza tu wanaume bila wanawake mtaishije?
Haiwezekani, na aliyeishi bila mke ilifahamika na kugundulika kuwa ana matatizo. Na alikumbwa na matatizo
Niwaulizenu tu nyinyi.
"" Ni kifalanga gani kiliishi maisha bora japo kilipata chakula kingi bandani na kukosa joto la mama??

Sawa sawa na mwanaume
Ni mwanaume gani aliyeishi maisha ya furaha bila familia anayoimiliki kwa kichwa cha juu?

Tufikirie nje ya box
Mwanamke ni ubavu wa mwanamke, je ni kiumbe gani kiliishi bila mbavu kuenea??

Ni ukweli tu usifichika kuna baadhi ya wanaume tumefikia hatua ya kufikiria kuwa yawezekana mbavu zetu zilizochomolewa ili kutengenezewa wanawake zetu ZILIPIKIWA SUPU, NA SUPU YENYEWE ILIKUWA YA WALEVI KUONDOLEA HENGI OVA.
Si kwa mateso hayo watupayo,
 
Back
Top Bottom