Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,487
- 2,344
Taarifa hizi ni kwa mujibu wa kipindi cha michezo cha global TV kinachoitwa kross dongo. Inasemekana jina lake lilikuwepo kwenye orodha ya wachezaji waliopendekezwa na scout ya simba mwishoni mwa msimu uliopita.
wameenda mbali zaidi na kusema Pa Omary na Fredy sio mapendekezo ya scout ya simba bali ni maamuzi ya viongozi na utafiti walioamua kuufanya wao kama wao bila kuhusisha scout.
wameenda mbali zaidi na kusema Pa Omary na Fredy sio mapendekezo ya scout ya simba bali ni maamuzi ya viongozi na utafiti walioamua kuufanya wao kama wao bila kuhusisha scout.