Single mums and dads come this way

Single mums and dads come this way

Inategemea huyo mlezi aliye na mtoto/watoto yuko na hali gani kimaisha. Endapo mzazi pekee hajimudu na upande wa pili ungeweza kuwa na msaada basi mambo yatakuwa magumu, lakini kama mzazi huyo atakuwa na hali nzuri kimaisha na atakuwa commited kwa watoto wake basi maisha yanakuwa rahisi. Uzoefu wangu unanambia kwamba single mum anauwezo wa kutunza watoto vizuri kuliko single dad - hasa watoto wakiwa wadogo kwa kuwa mama ni mlezi wa moja kwa moja kwani baba atahitaji msaidizi na hapo matatizo yanaweza kutokea. Anyway si jambo la kujuta kuwa single mum/dad kwa kuwa wako wazazi wanaishi pamoja lakini malezi ya watoto yanawashinda, wakati wale wanaolea pekee wamefanikiwa kuwalea watoto wao vizuri kwa malezi mema na kuwapatia kila kinachohitajika. All in all malezi ya watoto yanahitaji wazazi wote wawili walio makini na wenye kujali familia. I am a single mum and I have not regretted for being one. Nina watoto ambao wanaishi vizuri kuliko baadhi ya watoto wanaolelewa na wazazi wawili. I thank God for that.
Malezi ya mzazi mmoja Mungu atusaidie sana kama mi ninao 3 baba yao ashatangulia mbele ya haki. Kuna wakati inaniumiza sana ingawa kabla yakufariki tushakuwa tumetengana. Tukubali tukatae nikujidanhanya na kuonyesha tu majasiri ila mambo ni magumu
 
asante nyumba kubwa, watu wachache sana wataweza elewa kwann nilifikia maamuzi haya but it was for the best & i don't need to explain to anyone my reasons for doing so. Naelewa fika kwamba ipo siku kijana wangu atataka kujua ukweli kuhusu babake & i pray that when that time comes i will have the courage to explain to him & hopefully atanielewa.
i like ua enthusiasm and dare i like it
huku watu wataanza kukunanga oh umemnyima mtoto haki yake ya msingi yakumjua baba au baba kumjua mtoto .ila that thing hiden ambayo hujawaambia hawataki kujua .emagine umegundua una ujauzito wake at the same time umegundua ni mume wa mtu ana na familia yake na mkewe ,na blabla alikuficha .sasa usikimbie ,maisha yangu hayajaishia hapa hapana kuteseka ili mtoto awe na baba no my life is my life and his /her is his life whether he /she accept or not that the life chosen .
 
Nivea aliandika Kongosho ni tofauti na unachosema. Kilichongumzwa na baba kunyima haki ya kujua kama ana mtoto.....angeambiwa kisha akakataa majukumu ni ishu nyingine!!!!

haya maswala ya single mums ad dadys kwa watu wenye kuona mbali huwa hawayazungumzii kuna factor nying na scenario tofauti sana zinazosababisha jamani kuna mateso mengi kwenye huu ulimwengu.mimi nawiwa kusema tu kwamba na Kongosho unisikie baba /mama ambaye hataki kumtunza mwanae kwa hata ushauri hata kumtakia hali anaishije anaishi wapi anakula nini hiyo haki ya msingi mnayoipigania eti ana haki yakuongea nakukutana na baba/mama yake kwangu haipo kabisa watakutana huko mbele ya safari mungu akipenda wakutane ila sio kwa gharama zangu hata sent 1 mtoto amtafute kwa his/her own risk sintaendekeza ujinga huo alwaz hata yuko hai naasume alishakufa long time.kuna watu waajabu ndugu zangu msitake kujua.
 
Last edited by a moderator:
Husninyo, kuna dada nimemsoma hapa nikamwelewa kuwa alikusudia kuwa single mother na mara baada ya kujauzito tu akamficha mzazi mwenziwe na kukata mawasikiano naye.

Ukweli ni kuwa simuelewi huyo dada, nadhani atakuwa alipata shida wakati anakua [grow] ama kuanzia kwa wazazi wake, au kuna ndugu zake walipata shida kwenye mahusiano yao ya kiunyumba yaliyosababishwa na waume zao.

Nasikitika amemnyima mtoto wake haki ya msingi sana: kumjua na kulelewa na baba yake. Matokeo ya hili hambo, kama mtoto hana akili nzuri, au neema ya Mungu haijaingilia kati maisha yake, mama yake asiji kushangaa mtoto wake hayuko normal, hata kukosa hisia za kimapenzi kwa opposite sex, na moja kati ya matokeo yake anaweza kuangukia kwenye mapenzi ya jinsia moja [God forbid].

Vv

Interesting.................... by the Boss
 
Ubinafsi....
Dhuluma...ni kinyume na haki za binadamu....
Huyu mtoto will never be at peace maisha yake yote....hata akiweza kufanikiwa kimaisha....atabaki na pengo ulilomwekea kwa makusudi....


Kongosho umemaliza....
Malezi sio uwezo wa kiuchumi pekee....
kama huyo mama/baba amekufa au hajulikani kabisa is ua statements still valid????think outside the box
 
Anyway, kila mtu ana maamuzi yake, lakini ulitakiwa kuwashirikisha baba na mtoto pia nao wapime kama kufahamiana kwao kutawadhuru, ni haki ya msingi ya binadamu. Kumbuka hakuna mtu anaweza kujipa mimba mwenyewe, kama huwezi hili then why hili jingine unadhani unaweza?

Cheers!
aisee Kongosho kuna maisha ambayo nakuhakikishia kama hujapitia huwezi yaelewa kama hili la baba/mama aliyemkataa mtoto kumwona mwanae nakushauri yaache tu hao mambo unatia watu hasira bure hii dunia haijai kwenye kiganja huyo baba/mama unaemtetea unakuta ahitaji wala kumwona huyo mtoto hiyo haki unayoizungumzia sio formal ndugu yangu.
 
Last edited by a moderator:
haya maswala ya single mums ad dadys kwa watu wenye kuona mbali huwa hawayazungumzii kuna factor nying na scenario tofauti sana zinazosababisha jamani kuna mateso mengi kwenye huu ulimwengu.mimi nawiwa kusema tu kwamba na Kongosho unisikie baba /mama ambaye hataki kumtunza mwanae kwa hata ushauri hata kumtakia hali anaishije anaishi wapi anakula nini hiyo haki ya msingi mnayoipigania eti ana haki yakuongea nakukutana na baba/mama yake kwangu haipo kabisa watakutana huko mbele ya safari mungu akipenda wakutane ila sio kwa gharama zangu hata sent 1 mtoto amtafute kwa his/her own risk sintaendekeza ujinga huo alwaz hata yuko hai naasume alishakufa long time.kuna watu waajabu ndugu zangu msitake kujua.

I concur with you madam Nivea....
 
Last edited by a moderator:
Sasa Nivea hutaki kuelewa ama??
Nimesema mtoto hatakua na amani..yes! Kama amekufa au vyovyote, basi inakua wajibu wa mzazi aliyekuwepo ama mlezi kumjulisha mtoto fate ya mzazi/wazazi wake....ila sio kumficha.

Statement yangu ilikua inazungumzia mtoto alinyimwa haki na kumjua baba yake!!

kama huyo mama/baba amekufa au hajulikani kabisa is ua statements still valid????think outside the box
 
Mi najivunia sana kulea Watoto wangu bila hao matapeli wa mapenzi ..
 
mi naona tuwaache watu wafanye wanayoona ni sawa maana kitu kisipokuwa sawa kwa wote hakiachi kuwa sawa. Hizi habari za haki haki wakati mwingine hazina maana. Watu wengi hapa wameonyesha walijaribu kutekeleza huo wajibu wa kuwataarifu wazazi wenzao juu ya watoto lakini walichoambulia ni maumivu tu. Baba hataki kumtambua mtoto lakini mama bado anang'ang'ana kumtambulisha japo kwa ndugu wa baba. Haki ya mtoto kufahamu mzazi. Nilishawahi kutoa mfano wa ukweli hapa juu ya binti aliyeamua kumtafuta babaye ukubwani baada ya kufichwa na mamake. Yaliyomkuta yule binti hatakaa asahau. Aliponea kubakwa na babake siku ya kwanza tu waliyoonana. Inawezekana kabisa mama alijua amezaa na kichaa wa ngono - si ajabu naye alibakwa. Hatujui yanayoendelea kwenye vichwa vya watu, ikiwezekana tuwaache tu. Halafu unavyodai ni haki ya mtoto kufahamu wazazi wake mbona kule juu ulimponda mama anayedai haki ya matunzo ya mtoto mpaka mahakamani kwa kusema malezi si material tu??? Kwa hiyo mzazi wa kiume ana haki ya kumjua mwanae ila ana uchaguzi wa kulea au kuacha?
hawa watu waache tu wanafikiri dunia ni kijijini kwao tu hawa ,alafu mtu katika maisha yake hajakutana na maswahiba haya au hajadangwanywa aliwin huyo huyo mwanaume na akamuoa hawezi jua mambo haya
 
sasa nivea hutaki kuelewa ama??
Nimesema mtoto hatakua na amani..yes! Kama amekufa au vyovyote, basi inakua wajibu wa mzazi aliyekuwepo ama mlezi kumjulisha mtoto fate ya mzazi/wazazi wake....ila sio kumficha.

Statement yangu ilikua inazungumzia mtoto alinyimwa haki na kumjua baba yake!!
msiifikirie dunia kama kiganja cha mkono wako au kijiji au mtaa tu unaoishi unaweza jua taarifa ya kila nyumba na kinachoendelea kuna mambo mengi sana.sitaki kusema hapa lolote maana its
hivi mpaka mada imefikia hapa umesikia mbaba anasema amelea watoto mwenyewe pg 23 sasa
jiulize kwanini???
 
i concur with you madam nivea....
mtu mwenye wembe mkononi anajua akifanyaje unamkata ila ambaye hajawahi shika hata wembe atakuambia ni haki mama kumpeleka mtoto amjue baba yake ,wanawake tumefanya kama hatuna mioyo inayoumia vile huyo mwanaume labda kakuacha na mtoto ,kakataa mimba umezaa umemsogeza mtoto kwa tabu zote yeye kaja kuoa tena ana ndoa yake na furaha tele wewe unakwenda na katoto kako pale kujikombeleza atakuambia unamharibia ndoa yake,yule mtoto akiwaona wenzie na baba na mama ataumia zaidi bora akae na mama yake ajue mbele ya safari unampeleka kumwona anasema nashukuru bassii hamtunzi wala nini .yaani watu wengine bwana wanawaona wanaume kama mungu wa duniani vile while kwangu ni heri hawana thamani yyte bora mkono wangu wa kushoto nnaotumia kuchambia
 
Duu! Mungu akutie nguvu.
Kwangu Mimi ilikuwa bahati mbaya na nilipomtaarifu mhusika alikana. Baadaye alikubali lakini kila nilipotaka kujua jinsi tutakavyojipanga kumlea mwanetu mtarajiwa akawa anakwepa. It really broke my heart since sikuwa nafahamu chochote kuhusu yeye na hata home walikuja kujua nikiwa nimetimiza miez 6. Aisee I went through a lot mpaka najifungua. Hakuwa mtu wa kupiga simu kujua tunaendeleaje na hela ya matumizi mpaka atakapojisikia yeye. Mtoto alikuja kumuona akiwa na mwaka na miezi 6 tena baada ya kusogea karibu....changamoto ni nyingi lakini kubwa kwangu ni pale napoulizwa " mama baba yuko wapi? " au anapochukua simu na kujifanya kama vile anaongea na baba yake akiomba aletewe soseji, pipi, matunda n.k. Huwa naumia sana natamani he was there for her. Sijui kama niko sahihi but nimepanga kwenda nyumbani kwao (baba) at least mtoto awatambue ndugu zake pia kufight 4 the last time mwanangu apate mapenzi ya baba na mama, na kama itashindikana will move on with my life
 
mtu mwenye wembe mkononi anajua akifanyaje unamkata ila ambaye hajawahi shika hata wembe atakuambia ni haki mama kumpeleka mtoto amjue baba yake ,wanawake tumefanya kama hatuna mioyo inayoumia vile huyo mwanaume labda kakuacha na mtoto ,kakataa mimba umezaa umemsogeza mtoto kwa tabu zote yeye kaja kuoa tena ana ndoa yake na furaha tele wewe unakwenda na katoto kako pale kujikombeleza atakuambia unamharibia ndoa yake,yule mtoto akiwaona wenzie na baba na mama ataumia zaidi bora akae na mama yake ajue mbele ya safari unampeleka kumwona anasema nashukuru bassii hamtunzi wala nini .yaani watu wengine bwana wanawaona wanaume kama mungu wa duniani vile while kwangu ni heri hawana thamani yyte bora mkono wangu wa kushoto nnaotumia kuchambia
Speaking with so much pain as if it's a grief. Mwisho wa siku maisha yanasonga. Nadhani kama mtu unakuwa na kisirani hivyo, hata mtoto hatakuwa na raha, japo utajitahidi kumlea kwa nguvu zote...! Tusamehe kwa sababu wote tumekosea...!
 
Wabongo wanavyojua kukataa mimba .halaf baadae mtoto akikua anajileta anataka mtoto minakutoa mbio na sururu

hahaaaa!!!
hawajui namna ya malezi yalivyo magumu
yale yale leo daimond katusua mzee anajipeleke
tupa kuleeeee
 
mtu mwenye wembe mkononi anajua akifanyaje unamkata ila ambaye hajawahi shika hata wembe atakuambia ni haki mama kumpeleka mtoto amjue baba yake ,wanawake tumefanya kama hatuna mioyo inayoumia vile huyo mwanaume labda kakuacha na mtoto ,kakataa mimba umezaa umemsogeza mtoto kwa tabu zote yeye kaja kuoa tena ana ndoa yake na furaha tele wewe unakwenda na katoto kako pale kujikombeleza atakuambia unamharibia ndoa yake,yule mtoto akiwaona wenzie na baba na mama ataumia zaidi bora akae na mama yake ajue mbele ya safari unampeleka kumwona anasema nashukuru bassii hamtunzi wala nini .yaani watu wengine bwana wanawaona wanaume kama mungu wa duniani vile while kwangu ni heri hawana thamani yyte bora mkono wangu wa kushoto nnaotumia kuchambia

we acha tu ndo dunia ilivyo
 
Hasira tena? Emotions zikiwa ON, reasoning inakuwa OFF.

Experience zetu mbaya za maisha tusiwarithishe watoto wetu. You had time to write your story, let your kids write their own stories too.

Narudia, hakuna mwenye haki ya kumzuia mtoto kufahamu mzazi wake wa asili, awe mama ama baba.

Ni wapi nimetetea mzazi kukataa kulea mwanae?
Na mtu atatunzaje mtoto wakati hajui existance yake?
aisee Kongosho kuna maisha ambayo nakuhakikishia kama hujapitia huwezi yaelewa kama hili la baba/mama aliyemkataa mtoto kumwona mwanae nakushauri yaache tu hao mambo unatia watu hasira bure hii dunia haijai kwenye kiganja huyo baba/mama unaemtetea unakuta ahitaji wala kumwona huyo mtoto hiyo haki unayoizungumzia sio formal ndugu yangu.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom