shaa.sj
Member
- Oct 19, 2014
- 13
- 10
Mi ninamfano wa ndugu yangu alikua na boyfriend .yule mwanaume alikuja na mbwembwe na kujitambulisha kwetu tukamfaham ..mwisho wa siku tukaja kugundua kumbe ana mke na wakat huo tayar ndugu yangu ni mjamzito..ndugu yangu alikua na biashara zake kumbe yeye na mkewe lao moja nia na madhumuni kumchuna mwenzao ..tulivyogundua tukamwambia ndugu yetu akafanya uchunguz akagundua ni kweli anamke sasa nashangaa huyo mwanamke sijui alikua na akili gani kumwacha mumewe aishi na mwanamke mwingine..baada ya ndugu kushtuka aliumia sana akaamua kuachana na yule mwanaume ..mwisho wake wakaishia kumchafua kwenye mitandao na kumtukana na kujigamba ..sasa mtu kama huyu unaanzaje kumpeleka mwanao ukamwambia huyu ndo babaako??? Utakua chizi kama si kichaa