Single mums and dads come this way

Single mums and dads come this way

Mie naona mna kuza mambo tu, labda kilichowaumiza wengi ni kukosana/tofautiana/poteza na wazazi wenza. Vinginevyo mbona kawaida sana kulea watoto?

Anyway...
 
Miss Kim, sababu za kutomshirikisha mzazi mwenzio zaweza kuwa na mantiki sana kwako, lakini zisiwe na mantiki yeyote kwa mtoto na babake.

Wewe ni nani hadi uwaamulie muda wa kufahamiana? You are not God, kusema unapanga kila kitu.

Juzi nasoma mambo ya haki za watoto, ni pamoja na kuwafahamu wazazi wake wa asili, hata kama wewe ni mama yake, bado huna haki ya kumfanya mtoto asijuane na baba yake.
 
Last edited by a moderator:
Hongera, fomu wani huyo.

Why unataka ushauri wa kisheria? Usaidiwe kulea?

Je, kulea mtoto ni material things tu?

Mkuu Eli79 hata nikisema won't help... 12yrs nshalia, nshaumia na sasa meamua kunyamaza tu....

Nishaomba ushauri jukwaa la Sheria lakini wapi haikusaidia, yote waliyokuwa wananishauri yalikuwa yana base kum favor baba wa mtoto...
 
Last edited by a moderator:
Kwangu Mimi ilikuwa bahati mbaya na nilipomtaarifu mhusika alikana. Baadaye alikubali lakini kila nilipotaka kujua jinsi tutakavyojipanga kumlea mwanetu mtarajiwa akawa anakwepa. It really broke my heart since sikuwa nafahamu chochote kuhusu yeye na hata home walikuja kujua nikiwa nimetimiza miez 6. Aisee I went through a lot mpaka najifungua. Hakuwa mtu wa kupiga simu kujua tunaendeleaje na hela ya matumizi mpaka atakapojisikia yeye. Mtoto alikuja kumuona akiwa na mwaka na miezi 6 tena baada ya kusogea karibu....changamoto ni nyingi lakini kubwa kwangu ni pale napoulizwa " mama baba yuko wapi? " au anapochukua simu na kujifanya kama vile anaongea na baba yake akiomba aletewe soseji, pipi, matunda n.k. Huwa naumia sana natamani he was there for her. Sijui kama niko sahihi but nimepanga kwenda nyumbani kwao (baba) at least mtoto awatambue ndugu zake pia kufight 4 the last time mwanangu apate mapenzi ya baba na mama, na kama itashindikana will move on with my life

so sad.... thats y I promised my self sintakaa nimuache mtoto wangu alelewe na single parent..........by the way huyo kubwa jinga mpotezee tuuu hana msaada wowote sanasana ukijaribu kumtafuta atazidi kukuumiza na kukudharua onyesha kama hana msaada wowote kwenye maisha yako

I speak through experience (nililelewa na mana tuu)huyu kubwa jinga they call him my dad pu.mbavu zake alimuachisha mama masomo mzumbe university (second year) mama akapata kazi benki baadae ikaja sera ya kupunguza watu maofisini mama akapunguzwa lile kubwa jinga likamkimbia and mama had nothing alikuwa ajui aanzie wapi I can't recall asking my lovely mum about that big a.ss ladba nikiwa mdogo sijielewi huyo mwanao akikuwa atazoea tuu na hatakusumbua cha muhimu usionyeshe unamchukia huyo kubwa jinga (mama yangu hajawai kumsema vibaya huyu kiazi) na hata pale alipotaka kuniona hakunizuia

unachotakiwa ni kukubali uhalisia ukiendelea kuukataa utaumia sana na utapoteza muda wako kwenye vitu visivyo na maana yoyote jipange kumlea mwanao kwa nguvu zako zote sometimes we (children) are stubborn lakini usife moyo jitahidi kumpatia mwanao kila kitu asihisi utofauti wowote (my lovely mum gave me everything I needed)

mama hakuniambia ni kwanini huyu pi.mbi alisepa hata hivyo wala sitaki kujua lakini alishawai kuniambia "alikuacha ukiwa na miaka mitano" dada yangu hawa mbuzi hawabadiliki kama mtu alikana kiumbe chake usitegemee ipo siku ata jirekebisha remember I speak through experience huyu big a.s.s alikuja kunitafuta nikiwa 20 years nilimpa golden chance yule mzee a tegeneze makosa yake (wanasema watoto tulioleewa na mama tuu tuna huruma sana)hakuonyesha kujali alishindwa hata kumpokea kijiti my lovely mum kunisomesha na uwezo anao nikambull shit tupa kule nimekuwa na maisha yangu na vijisenti vimeanza kuja kanajipendekeza ipo siku nitamtoa miguu....

good newz ni kuwa watoto walio lelewa na single mum wana bahati sana most of them they achieve very well in life (obama & co hata viongozi wengi wa taifa hili walilelewa na single mom)

.......hope u will get something. .........
 
Loh, nimejifunza kitu hapa...hivi kumbe kuna wadada wanapenda tu kudate "magangwe" lakini hawapendi watoto wao warithi tabia za baba zao, amini usiamini kama ni wa kurithi atarithi tu. Baba yangu ni mtu mtaratibu sana, lakini kuna tabia moja tu ambayo nimerithi kutoka kwake na inaniangusha kwenye baadhi ya mambo.
 
aisee niliexperience hiyo situation before inaumiza ila baadae unajipa moyo ntashinda mbona fulani aliweza why not me!
so ilivyokuja ndoa MUNGU alipanga tayari nimejifunza kupenda na nimeweza
sijutii kuzaa kabla ya ndoa maana yule mtu mpaka sasa anajuta na anatamani niachike anioe hata leo
thnx to my family mwanangu alivyofika two years walimchukua wakakaa nae home but now nipo nae mwenyewe
yote yanawezekana ila mhimu usikate tamaa
 
aisee niliexperience hiyo situation before inaumiza ila baadae unajipa moyo ntashinda mbona fulani aliweza why not me!
so ilivyokuja ndoa MUNGU alipanga tayari nimejifunza kupenda na nimeweza
sijutii kuzaa kabla ya ndoa maana yule mtu mpaka sasa anajuta na anatamani niachike anioe hata leo
thnx to my family mwanangu alivyofika two years walimchukua wakakaa nae home but now nipo nae mwenyewe
yote yanawezekana ila mhimu usikate tamaa

Nimependa spirit yako...
Hukukata tamaa na kulaani...
Hukuchukia wanaume wote...
Na Mungu amekusikia; ni vema kutoacha our past mistakes kutuamulia future...
Kila kitu kinawezekana..
Ni attitude tu...
 
Aisee hapa kuna notes naiba,hebu ngoja zendelee kujaa..aisee kuna somo moja kubwa sana.Hata utafiti waweza anzia hapa kwa wale wenzangu,ma tafitia...sielew niwape pole ama pongezi,haya jichagulie itatakayo kufaa but tupo pamoja.
 
Hakuna mtu anayemwelewa single parent isipokuwa single parent mwenyewe, kudos kwa wababa au wamama wanaolea watoto kama single parent. Mungu awaongezee hekima, nguvu na uwezo wa kukabiliana na majukumu. Siku zote kumbuka kumlea mtoto bila kumwonyesha mabaya ya mzazi mwenzako, usimuingize mtoto kwenye kesi zako na kumjenga akue na chuki moyoni. Mwache mpaka atakapofika umri wa kuelewa (miaka 18), utamuelewesha kwa hekima.
I salute you single parents. geniveros, devota vijance, charminglady, Zamda Geuka, Miss Kim
 
Last edited by a moderator:
Ubinafsi....
Dhuluma...ni kinyume na haki za binadamu....
Huyu mtoto will never be at peace maisha yake yote....hata akiweza kufanikiwa kimaisha....atabaki na pengo ulilomwekea kwa makusudi....
Hahahahaaa!!! Una utani wa ngumi ww, loh! (no offense taken). Sababu zangu zilikua za msingi sana & they are still valid,usione watu tunacheka na kuongea humu, some of us have been through hell & back but we still manage to smile, pick ourselves up & live life like there's no tomorrow!

Kongosho umemaliza....
Malezi sio uwezo wa kiuchumi pekee....
Miss Kim, sababu za kutomshirikisha mzazi mwenzio zaweza kuwa na mantiki sana kwako, lakini zisiwe na mantiki yeyote kwa mtoto na babake.

Wewe ni nani hadi uwaamulie muda wa kufahamiana? You are not God, kusema unapanga kila kitu.

Juzi nasoma mambo ya haki za watoto, ni pamoja na kuwafahamu wazazi wake wa asili, hata kama wewe ni mama yake, bado huna haki ya kumfanya mtoto asijuane na baba yake.
 
Last edited by a moderator:
Mie naona mna kuza mambo tu, labda kilichowaumiza wengi ni kukosana/tofautiana/poteza na wazazi wenza. Vinginevyo mbona kawaida sana kulea watoto?

Anyway...

Kongosho, ume experience kulea mtoto /watoto bila baba yao? Wajua kitanda usichokilalia.......!
Sidhani kama ni kazi rahisi, ina changamoto nyingi sana madhani. Sijui wewe mwenzangu unalionaje..!
 
Last edited by a moderator:
Loh, nimejifunza kitu hapa...hivi kumbe kuna wadada wanapenda tu kudate "magangwe" lakini hawapendi watoto wao warithi tabia za baba zao, amini usiamini kama ni wa kurithi atarithi tu. Baba yangu ni mtu mtaratibu sana, lakini kuna tabia moja tu ambayo nimerithi kutoka kwake na inaniangusha kwenye baadhi ya mambo.

ipi hiyo am dying to know lol
 
Ni nzuri;
Ila sitaki mwanamke yeyote aige maisha yangu kwa kuwa hatayaweza.

Sometimes co kuiga unajikuta unachofanya au unachofikiria au unachofeel ni very similar na mwenzako... Is the matter of destiny.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom