Single mums and dads come this way

Single mums and dads come this way

Kuna sababu zinazomfanya mtu aseme "I AM HAPPY TO BE A SINGLE MUM" unajua amepitia dhoruba gani akafikia hapo?Kuna umuhimu gani wa kuwa pamoja na baba asiyetambua majukumu yake?Kuna haja ya kuwa na mtu ambae ukiwa nae uko mpweke kuliko ukiwa mwenyewe?Kuna umuhimu wa kuwa na mtu anayekuongezea mzigo wa maisha na si kukupunguzia?Hamna maelewano mnagombana mpaka mnataka kubwatuana mbele ya mtoto!Ni bora uwe peke yako ujijuje upo peke yako kuliko uwe na mtu na ujihisi uko peke yako!KILA KITU KINA FAIDA NA HASARA KAMA ILIVYO NDOA NA HIVOHIVO USINGLE PARENTED.
Kauli kama hiyo nyekundu hapo ni dalili za "inferiority complex". Ni sawa na kauli kama "I am happy to be black". Kwani kuna haja gani ya kuongezea neno black? Kwa nini usiseme "I am happy" peke yake? What does it matter whether you are black,single mum or whatever?
 
Kuwa single mom sio sifa... hata hivyo sidhani kama kuna mtu hupenda itokee hivyo .... wengi hupenda walee watoto wao na baba akiwepo.
Ila likikufika unapatana nalo tu hata kama hulipendi....
Waambie bana maana naona kuna watu washaanza kufanya kama vile ni sifa fulani hivi.
 
Na sielewi kwanini watu wanamhukumu Miss Kim its not fair kwa kweli.Hatujui kwann deep down amechukua maamuzi alochukua.And who are we to judge her anyway?She is the mother and she knows whats best for her child."SOME MISTAKES IN LIFE WE MAKE,LEARN FROM THEM AND RUN FROM THEM" You dont want to stick with a mistake for the rest of your life!!!Tukumbuke mzazi ni "ROLLEMODELL" kwa mtoto ni mtu ambae mtoto anamuiga nyendo zake na kuwa mfano kwake.Sasa kama mzazi mwenzio drug addict/ abuser ,alcohol addict,child malestor n.k kuna umuhimu amjue mtoto wako?Kama mzazi atakuwa mfano gani kwa mtoto?Come on people some things are better to stay untouched!
Kwa hiyo ulitaka alete stori yake hapa halafu watu wasiijadili??!! Wasiotaka kujadiliwa stori zao wamebaki nazo wenyewe.
 
Pole na hongera for standing up for your self;

Ila for whatever valid reasons you may put for keeping that man at bay from your child, you are playing it very very WRONG for your child and for him. At times its not just for our sake to be happy and content , but for the sake of the ones we are responsible to.

You may claim to be happy but with time u will realize its fake for your child. The minute your child realisez what treasure you took away from him, u are doomed. Mind you, even if a father is the worst living bastard on earth he can still be the best (slightly close to that) father on earth....I know ur doing mpyssss but oooh Yes i have seen from experience. Hivyo tusijidanganye ohhh am so happy blah blah blah...so long as u baba mtoto hajakataa katu katu usimyime mtoto haki ya kujua baba yake. Search from Amazon a book called " heaven is real" sio cha kidini sana as the title suggests but u can see a soul of a world renowned neurosurgeon inavyo-suffer kuconnect na mzazi wake even when no body told him he had one....souls search other and in the end the truth separates itself from all fakes we may cover it with.
Labda wewe atakuelewa. She is literally digging her own grave.
 
Sijaona sababu ya wewe kukasirika...
Kulea mtoto hakukupi haki ya kuwa baba yake..

Baba atabaki kuwa baba...mjomba atabaki kuwa mjomba...
Ndio shida ya kulea halafu ukadhani unammiliki unayemlea. Hii ipo hata kwa wazazi, Unakuta mzazi anamwambia mwanaye, hivi nisingekusomesha mimi ungekuwa wapi? Kama vile anampa favor wakati ni wajibu wake!!!!
 
Ndo kama hujui huna cha kudai,asiyekuwepo na lake halipo!Madhali kama mtu amesimama na kusema anazuia mawasiliano na ana sababu za msingi inabidi tuheshimu maamuzi yake kwasababu hatujui lolote kuhusu mahusiano yao mpaka wakafikia hapo!Unafikiri yeye hajui kama mtoto wake anatakiwa awe na father figure?Nadhani si rahisi kwa muhusika vilevile kupitia hayo.Na mpaka amepata guts za kusema ujue ni pride aloisimamia!
We nani kakwambia hatuheshimu maamuzi yake??!! Hapa tunajadili tu atakachofanya ni uamuzi wake. Kumbuka kuheshimu/kutoheshimu maamuzi na kukubaliana/kutokubaliana nayo ni vitu viwili tofauti kabisa.
 
Kuna dada namfahamu, aliacha watoto wake wawili sehemu, mmoja akiws 3yrs na mwingine 1yr hadi watoto wakasahau kama Kuna mama. Hadi wapo 23 kwa 21 ndio amewaona. Na believe me...hawataki hata kusukia kuhusu mama Yao. Haya mambo hapo kwa jinsia zote.
Wanaume mara nyingi huwa hatuna tabia ya kulialia ndio maana husikii wanaume wakisema.
 
ndio,hawana elimu ya kutosha ya kujikinga/matumizi ya kinga,kuongelea ngono ni taboo,serekali haisaidii wala kuhudumia wathirika wa janga hilo na vilevile hata mtu akizaa hawezi kijikimu anakuwa helpless!
Dhiki inapelekea mtu mpaka kuchanganyikiwa,kwa mtazamo wangu wanaotupa watoto hawako sawa upstairs!
Sasa wewe umejuaje Miss Kim ana elimu ya kutosha kuamua alichoamua?! Has it occurred to you that may be she is misinformed somehow?
 
Kauli kama hiyo nyekundu hapo ni dalili za "inferiority complex". Ni sawa na kauli kama "I am happy to be black". Kwani kuna haja gani ya kuongezea neno black? Kwa nini usiseme "I am happy" peke yake? What does it matter whether you are black,single mum or whatever?

jameni eee hawa singo nini nini tukinyamaza kuna watu wanapata muwasho mara hiki mara kile. mtu akinyanyua mdomo na kusema kweli hafurahii hali yake atazodolewa ooh anajitiisha huruma hakuna jipya, ni changamoto kama zingine. akisema kulea peke yake hakumpi shida na anaona fahari utaskia ooo anadanganya.... akijitaja na kusema kwa hakika anachoamini kuhusu yeye utaskia ana inferiority complex. mtu hawezi kusema anaona ufahari kuwa mweusi kama hakuna mtu mweupe aliyeona weusi ni tatizo. kama hakuna kelele mtu hawezi kupayuka ili asikike. kila mtu akimaind mambo yake na kuelewa maisha hayafanani na kizuri kwa asha ni kibaya kwa mwajabu hakuna atakayepayuka. hii habari ya watu wasioishi ulimwengu mmoja kuongelea ulimwengu mwingine kwa uhakika kuliko wanaoishi humo ndo tatizo. mfano mtu anasema kwa hakika mtoto akiwa mkubwa hatamsamehe mzazi wake kwa kumficha sijui nini wakati kuna watu tunakaribia nusu karne hatujawahi hata kuulizia hao watu na wazazi wetu hawajawahi kunena mabaya juu yao, na tunawapenda waliotulea na kuwaenzi kwa kujipinda kutulea.
 
Sasa wewe umejuaje Miss Kim ana elimu ya kutosha kuamua alichoamua?! Has it occurred to you that may be she is misinformed somehow?

nimesoma comments zako ila nafkri zimekosa hekma na busara
watu hujifunza kupitia makosa kuna watu humu hawachangii wanasoma na wanajifunza pia
inaonyesha we ushatelekeza sana watoto hvyo mkuki moyoni
acha hyo tabia people speak their minds here we usihukumu watu
fata wanao uombe msamaha mda bado upo bro
 
swaga za kukamata ndege kiulaini kwi kwi kwi

lolololoooh...hapana si hiyo, haya ni mastory ya jf tu ndugu yangu usifikiri ndiyo kweli eeh, nshajizeekea mimi hata dushe haifanyi kazi tena!
 
nimesoma comments zako ila nafkri zimekosa hekma na busara
watu hujifunza kupitia makosa kuna watu humu hawachangii wanasoma na wanajifunza pia
inaonyesha we ushatelekeza sana watoto hvyo mkuki moyoni
acha hyo tabia people speak their minds here we usihukumu watu
fata wanao uombe msamaha mda bado upo bro

msome vizuri huyo miss, HAJATELEKEZEWA MTOTO, amedhulumu mtoto!
 
nimesoma comments zako ila nafkri zimekosa hekma na busara
watu hujifunza kupitia makosa kuna watu humu hawachangii wanasoma na wanajifunza pia
inaonyesha we ushatelekeza sana watoto hvyo mkuki moyoni
acha hyo tabia people speak their minds here we usihukumu watu
fata wanao uombe msamaha mda bado upo bro
teh teh teh we endelea kudhani dhani tu. Nilisema kwenye moja ya mabandiko kwenye huu uzi kuwa njooni mmwage povu maana nilijua kuna watu kama wewe. Sasa ukikosea ndio hao uliowavulia nguo wanakuwa madubwana? We kama unaweza kuvulia nguo dubwana unadhani wewe unajiweka kwenye kundi gani??!!! Whom you sleep with is a reflection of who you are for most part.
 
Sasa wewe umejuaje Miss Kim ana elimu ya kutosha kuamua alichoamua?! Has it occurred to you that may be she is misinformed somehow?
Hapo mm sijamuongelea Miss Kim mr Mjasiri naomba usome mada uelewa nimegeneralize!na ndio maana kabla sijaandika hio comment nikasema tunatoka nje ya mada!!
 
Last edited by a moderator:
We nani kakwambia hatuheshimu maamuzi yake??!! Hapa tunajadili tu atakachofanya ni uamuzi wake. Kumbuka kuheshimu/kutoheshimu maamuzi na kukubaliana/kutokubaliana nayo ni vitu viwili tofauti kabisa.

Utasemaje unaheshimu maamuzi yake wakati unakaa na kumhukumu kama mkosaji,maisha yake anayoyafanya ni juu yake.Si kila mtu lazima afikirie kama unavyotaka ww.Mimi binfasi namheshimu Miss Kim kwa kuchukua ujasiri wa kueleza historia ya maisha yake hata kama haiwapendezi wote haimaanishi ndo tumdhihaki wala tumpinpoint.Ndo maana watanzania hatuendelei sisi kwasababu hatupo wawazi na ole wake mtu awe muwazi matokeo ndo kama haya!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom