Single mums and dads come this way

Single mums and dads come this way

Nina swali pia ndugu zangu je ukishaoa alafu mdada akakuzingua na Tayari mmejaliwa Mtoto na ukaamua kumtema lkn mtt wako unampenda na unauwezo wa kumsomesha hadi amalize masomo utafanyaje? Pls naomba ushauri
 
Baada ya kiwanda kufa Baba wa hiyari hakuwa na elimu ya kumwezesha kupambana na maisha ya mjini ilibidi arejee kijijini naambiwa kachakaa haswa nadhani unajua maisha ya kijijini mzunguko wa fedha ni mdogo sana.

mkuu ngongo huyo dogo alishawai kukutana tena na huyo kiazi aliyemkana

hahaha nauhakika mzee sasa hivi kiroho kinamuuma
 
Very true some battles are best fought in silence, you don't have to justify to everybody what
you did, na hata ukianza ku justify not all of them will Understand..,

mie nawaelewa sana jamani kudos to Miss Kim ram, devote vijance charminglady NANDERA na wengineo wote mliocomment experience zenu kwenye hii thread. Kilaza umenichekesha

mkuu siku nyingine usiseme kilaza sema Mheshimiwa kilaza

nafurai kusikia nafata nyayo za mr.bean
 
Last edited by a moderator:
Nina swali pia ndugu zangu je ukishaoa alafu mdada akakuzingua na Tayari mmejaliwa Mtoto na ukaamua kumtema lkn mtt wako unampenda na unauwezo wa kumsomesha hadi amalize masomo utafanyaje? Pls naomba ushauri

hahahahah
hii thread kiboko naona waliotelekeza wanataka ushauri

ngoja wanakuja
 
Inategemea umri wa mtoto..
Mnaweza mkaona ndoa ife, lakini mkawa ni wastaharabu enough kutowaingiza watoto kwenye differences zenu...
Otherwise kuna swala la kisheria pia ambapo kwa TZ mtoto kama ni mkubwa na baba ana sifa za kumlea anaweza kudai kuishi nae kisheria...

Hapo wamama ndio wanapokuwa victims...maana mtoto kiafrika ni wa baba...akifika 7 yrs ukakomaa unapewa uishi nae...

Hii inaweza ikawa inachangia baadhi ya wadada wenye uwezo kuficha mimba ni ya nani; kuhofia kunyang'anywa watoto wao...maana inauma...

Nina swali pia ndugu zangu je ukishaoa alafu mdada akakuzingua na Tayari mmejaliwa Mtoto na ukaamua kumtema lkn mtt wako unampenda na unauwezo wa kumsomesha hadi amalize masomo utafanyaje? Pls naomba ushauri
 
Nikidhani single parenting ilikuwa sana nchi za magharibi, lakini saivi nachelea kusema hata africa rate ya single parents inaongezeka sana.
 
Nina swali pia ndugu zangu je ukishaoa alafu mdada akakuzingua na Tayari mmejaliwa Mtoto na ukaamua kumtema lkn mtt wako unampenda na unauwezo wa kumsomesha hadi amalize masomo utafanyaje? Pls naomba ushauri
Nenda jukwaa la sheria pliz utapata msaada huko!
 
Kongosho haya Bwana,kulea kazi jamani halafu wanangu wako 6,3 na 2yrs,nipe pole mwenzako.Ila maombi ni silaha


Pole dia kwa kufiwa......mwenyezi Mungu akufanyie wepesi katika safari ya malezi. Ni shughuli nzito lakini kwa msaada wa Mungu hakuna linaloshindikana. Ila usifunge moyo dia......akitokea mtu amekupenda basi reciprocate maana hatma yetu na watoto wetu iko mikononi mwa Mungu.
 
So unadhani dhiki ni justification ya kutosha kufanya vile?

ndio,hawana elimu ya kutosha ya kujikinga/matumizi ya kinga,kuongelea ngono ni taboo,serekali haisaidii wala kuhudumia wathirika wa janga hilo na vilevile hata mtu akizaa hawezi kijikimu anakuwa helpless!
Dhiki inapelekea mtu mpaka kuchanganyikiwa,kwa mtazamo wangu wanaotupa watoto hawako sawa upstairs!
 
Sijaona sababu ya wewe kukasirika...
Kulea mtoto hakukupi haki ya kuwa baba yake..

Baba atabaki kuwa baba...mjomba atabaki kuwa mjomba...

Sababu ipo tena kubwa sana

miaka yote hiyo amelea mtt mpaka amekuwq mtu mzima kwa nini asipewe heshima yake kama mjomba??au hata mlezi!!!!

Ugumu uko wapi kumshirikisha ktk huo utambulisho labda alishakataa kuwa hatakubali kijana atambulishwe upande wa me.
 
Mtoto asiye wako si wako ndugu yangu...ni ukweli mgumu kumeza

Mfano ulee mtoto wa mumeo afu siku anaoa au kuolewa ulalamike mama yake kupokea mahari???

Mama wa kambo ni mama wa kambo; mjomba ni mjomba...mama/baba ni mama/baba...
kila mtu aheshimiwe kwa position yake na tusijidanganye kuchukua position za wenzetu...tutaumia bure kama hivi...

Kuna wajomba wangapi wanalea wapwa zao na hawaombi kuwa replace baba zao?

Sababu ipo tena kubwa sana

miaka yote hiyo amelea mtt mpaka amekuwq mtu mzima kwa nini asipewe heshima yake kama mjomba??au hata mlezi!!!!

Ugumu uko wapi kumshirikisha ktk huo utambulisho labda alishakataa kuwa hatakubali kijana atambulishwe upande wa me.
 
I am proudly a single parent and i have never regretted my decision to become one. Actually becoming a mother has been one of my greatest achievements so far. Waking up each morning besides my beautiful baby is a true blessing and i always thank God for this beautiful opportunity to be called a mother.

Just to recap a bit about my past.....nakumbuka ilikua mkwa 2010 nilipokutana na huyu kaka and right from the word go i knew he was bad news ila i have always had a thing for "bad boys", huwa niko attracted to such. Basi one thing led to another and all was beautiful & dreamy, everything i would have imagined about him came true. He gave me 6 good months of nothing but pleasure & heaven on earth (hihihihihiii). Anyways to cut the long story short, nikaja gundua i was 2 weeks pregnant surprisingly i was at peace with myself. Right from the word go i knew i wanted to have this baby and one thing i was certain about was that there was no way i was getting this dude involved. So taratibu i started cutting him loose, nikaanza punguza mawasiliano, akitaka tuonane mm nampiga chenga. Kuna kipindi akawa anatamani sana tuonane but mm nikawapa natafuta visingizio, luckily tupo mikoa tofauti & didn't have common friends so interaction was minimal.

Nikiwa almost 9 months pregnant nikakutana na ndugu yake kwa bahati mbaya, huyo ndugu yake si akaenda mwambia jamaa. He flew from wherever he was to where i was to come confirm if i was truly pregnant, tena alinifanyia suprise nisijue kama anakuja. We talked a lot that evening, akaniuliza maswali mengi sana & i never gave him the answers he was looking for. Eventually akarudi zake kwao na life likaendelea. He comes to visit whenever he's around & he supports us as a friend na hadi leo hii sijawahi mwambia kama yy ndo baba wa mtoto wangu.

Ukweli ni kwamba i had my reasons for keeping him at bay about my son's father's identity, hiyo ni siri yangu & i believe that God will understand, hopefully my son will come to understand me when he finally grows up enough to comprehend such things.

Being a single parent has been a blessing in disguise, nimepata breakthroughs za ajabu mno katika shughuli zangu & my life has changed for the best. Lifestyle yangu has changed for good & if i had a second chance at life i wouldn't change a thing about it! I am happy & thankful every single day.

Mnisamehe kwa Kiswaglish changu na story ndefu..hihihihiihihhiii... bottom line is i am a proud parent to the most amazing boy under the sun & would forever be grateful to my "bad boy" for giving me such a beautiful baby, by boy is gonna go places, Mungu atupe uzima tu!
It is good except that you are raising another bad boy. You may not see it now but it is what it is.
 
nyumba kubwa kila mtu aheshimiwe kwa position yake na tusijidanganye kuchukua position za wenzetu...tutaumia bure kama hivi... Mbona yeye hakupata heshima yake kama MJOMBA AU MLEZI japo taarifa tu apewe!!!! Kuna wajomba wangapi wanalea wapwa zao na hawaombi kuwa replace baba zao?[/QUOTE said:
Wapo wengi sana ila sidhani kama hata yeye ameiomba nafasi ya kuwa baba ila kama mtu ambaye alikuwa na jukumu la kulea ni vizuri angepewa taarifa!!
 
Lazima atakuwa ameangalia faida na hasara za maamuzi yake...
Ila nasikia bora watoto wa kike...watoto wa kiume wana demand kujua baba zao hata kama baba alikuwa na makosa kiasi gani...
Whatever reasons she has do not justify her decision to deny her child's basic birth right!!!! You do not justify that!! Na huyo mtoto akikua hataelewa, we mwache ajipe moyo hapa.
 
Thank you for your concern ila kuna mambo hutoweza kuelewa and unfortunately i cannot make you understand. Sijamdhulumu mwanangu haki yake na ipo siku atakuja elewa tu kwann it had to be this way. Namshukuru Mungu the people in my life understood my reasons for doing so & respected my decision to do so, maisha sio kama uyajuavyo tu, there's always a second side to the coin.
Understanding your decision and respecting it does not mean it is right or acceptable. It just means they have decided to mind their own business.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom