Mafikizolo
JF-Expert Member
- May 8, 2014
- 3,487
- 1,626
hahahahaa sio mimi huyo? Lol.
so sad.... thats y I promised my self sintakaa nimuache mtoto wangu alelewe na single parent..........by the way huyo kubwa jinga mpotezee tuuu hana msaada wowote sanasana ukijaribu kumtafuta atazidi kukuumiza na kukudharua onyesha kama hana msaada wowote kwenye maisha yako
I speak through experience (nililelewa na mana tuu)huyu kubwa jinga they call him my dad pu.mbavu zake alimuachisha mama masomo mzumbe university (second year) mama akapata kazi benki baadae ikaja sera ya kupunguza watu maofisini mama akapunguzwa lile kubwa jinga likamkimbia and mama had nothing alikuwa ajui aanzie wapi I can't recall asking my lovely mum about that big a.ss ladba nikiwa mdogo sijielewi huyo mwanao akikuwa atazoea tuu na hatakusumbua cha muhimu usionyeshe unamchukia huyo kubwa jinga (mama yangu hajawai kumsema vibaya huyu kiazi) na hata pale alipotaka kuniona hakunizuia
unachotakiwa ni kukubali uhalisia ukiendelea kuukataa utaumia sana na utapoteza muda wako kwenye vitu visivyo na maana yoyote jipange kumlea mwanao kwa nguvu zako zote sometimes we (children) are stubborn lakini usife moyo jitahidi kumpatia mwanao kila kitu asihisi utofauti wowote (my lovely mum gave me everything I needed)
mama hakuniambia ni kwanini huyu pi.mbi alisepa hata hivyo wala sitaki kujua lakini alishawai kuniambia "alikuacha ukiwa na miaka mitano" dada yangu hawa mbuzi hawabadiliki kama mtu alikana kiumbe chake usitegemee ipo siku ata jirekebisha remember I speak through experience huyu big a.s.s alikuja kunitafuta nikiwa 20 years nilimpa golden chance yule mzee a tegeneze makosa yake (wanasema watoto tulioleewa na mama tuu tuna huruma sana)hakuonyesha kujali alishindwa hata kumpokea kijiti my lovely mum kunisomesha na uwezo anao nikambull shit tupa kule nimekuwa na maisha yangu na vijisenti vimeanza kuja kanajipendekeza ipo siku nitamtoa miguu....
good newz ni kuwa watoto walio lelewa na single mum wana bahati sana most of them they achieve very well in life (obama & co hata viongozi wengi wa taifa hili walilelewa na single mom)
.......hope u will get something. .........
zamda wangu kwani Abdulaziz alishawai kukusumbua kuhusu mzee wake
Dubwana liliniachisha masomo niko sekondari akaniacha nina mimba ya miezi mi3 bila mawasiliano bila huduma,alivosikia nina mtoto akapiga simu kutoa jina daniel wakati baba yangu RIP nipo hospitali kaota mtu kaja home nakumwambia mwanao kajifungua mtoto wa kiume akasema basi jina lake ni abdulaziz na anatumia hilo na ubini nimempa jina la kakayangu,mwezi wa 4 alikuja anaejifanya ni baba yake akamuulizia mtoto nikamwambia yuko shule akasema ada ya term hii nitakupa mimi siku imefika nampigia hapokei mara aseme yuko mbali mwisho akaniblock nimemchukulia poa kwakuwa sikumuomba wala sikumuita alijileta, yote mema mwanangu yuko form3,nilimuacha mwanangu anasiku6 nikarudi shule sasa hivi nina kazi namsomesha mwanangu na hamjui baba yake . Nashukuru ananipenda sana msg anazonitumia wakati mwingine nasoma nalia anaijua dini kasoma sana qurani haishi kunisisitiza kumtegemea Mungu.Babayake yuko hapo centre police kama mpelelezi,nipo dar tangu august sijamtafuta hata hamu ya kumuona sina.
Yote kwa yote maisha lazima yaendelee. Watoto wa hivi huwa wanakuja kuwa lulu baadae hadi babake atakuja kumtaman. Endelea kumlea tu.
In red: inaonyesha kabisa kwamba mtoto mwenye malezi ya mama tu ana mataitizo. umesikiliza upande wa mama tu akakujaza sumu kuhusu baba yako ila hujajua upande wa baba ako ukoje wewe unaishia kumtukana baba ako,wana wake wengine wana nyodo sana unaweza kua umempa mimba kisha akakwambia mimba sio yako kisha naada ya miezi kadhaa akaja kukwambia kwamba mimba ni yako kwa nini usikatae,je una uhakika mama ako hakua na tabia kama hizo?tusipende kuwalaumu wanaume tu,kuna mambo mengine wazazi wa kike wanasababisha.
unajichanganya sana,kama mama ako asingemsema baba ako vibaya usingemtukana hivyo,alichokifanya mama ako ni kuhamisha chuki zake kwa baba ako na kukupa wewe uziendeleze na ndio unachokifanya.
In blue: sio guarantee. kwa hiyo usidanganye watu
Basi na wewe niache na mie nitoe maoni yangu, ni wapi nimemlazimisha afanye asichotaka? Nimeweka arguments zangu mezani, ziponde kama zilivyo.
Sijui unaposema hizi haki hazima maana unakuwa unamaanisha nini? Kwa nini mtu akiua mwanae anafungwa? Au akitelekeza kichanga ama kutoa mimba? Si mwanae bana, what do you care, labda hana uwezo wa kumtuza.
Kwa hiyo, huyu mtoto anyimwe haki yake kwa kuhofia yaliyotokea kwa wengine? Yaani sababu mtoto mmoja alitaka kubakwa na baba yake, basi kila mwanamke akizaa aogope kumjulisha baba mtoto kwa kuhofia atambaka? Does not make any sense to me.
Kumtaarifu baba mtoto ni A, mama kuumizwa na majibu ya baba mtoto ni B, havina uhusiano.
Kumjulisha baba existance ya mtoto ni A, baba mtoto kukataa kulea ni B, havihusiani.
Nilimponda kwa sababu alitaka kujua haki zake kisheria, wakati huo huo hakuwa ameweka wazi madai anayotaka kusaidiwa ni yapi na hakuwa ameweka wazi kama yeye ni mke halali ama lah. Sasa hapo asaidiweje?
Lakini pia nilikuwa najaribu kumuonesha vita anayotaka kuipigana ina tija? Uhangaike na kesi RITA weee, afu unapewa 50K kwa mwezi? Si bora huo muda utumie kuchoma vitumbua.
Duh, Kamanda Kova nini!
ndo wewe kwani kuna mwingine.....
Aisee namtetea kilaza hapa,wala hajasema mamaake amemjaza chuki dhidi ya babaake na mama yake wala haongei vibaya,na keshasema alimpa baba nafasi nyingine lakini hakuitumia kufuta makosa yake,
I rest my case, some battles are best fought in silence. And just so you know my decision was never based on emotions, it was a well thought decision which has worked out for the best of everyone. Nikutakie siku njema mpendwa.
In red: inaonyesha kabisa kwamba mtoto mwenye malezi ya mama tu ana mataitizo. umesikiliza upande wa mama tu akakujaza sumu kuhusu baba yako ila hujajua upande wa baba ako ukoje wewe unaishia kumtukana baba ako,wana wake wengine wana nyodo sana unaweza kua umempa mimba kisha akakwambia mimba sio yako kisha naada ya miezi kadhaa akaja kukwambia kwamba mimba ni yako kwa nini usikatae,je una uhakika mama ako hakua na tabia kama hizo?tusipende kuwalaumu wanaume tu,kuna mambo mengine wazazi wa kike wanasababisha.
unajichanganya sana,kama mama ako asingemsema baba ako vibaya usingemtukana hivyo,alichokifanya mama ako ni kuhamisha chuki zake kwa baba ako na kukupa wewe uziendeleze na ndio unachokifanya.
In blue: sio guarantee. kwa hiyo usidanganye watu
In red: inaonyesha kabisa kwamba mtoto mwenye malezi ya mama tu ana mataitizo. umesikiliza upande wa mama tu akakujaza sumu kuhusu baba yako ila hujajua upande wa baba ako ukoje wewe unaishia kumtukana baba ako,wana wake wengine wana nyodo sana unaweza kua umempa mimba kisha akakwambia mimba sio yako kisha naada ya miezi kadhaa akaja kukwambia kwamba mimba ni yako kwa nini usikatae,je una uhakika mama ako hakua na tabia kama hizo?tusipende kuwalaumu wanaume tu,kuna mambo mengine wazazi wa kike wanasababisha.
unajichanganya sana,kama mama ako asingemsema baba ako vibaya usingemtukana hivyo,alichokifanya mama ako ni kuhamisha chuki zake kwa baba ako na kukupa wewe uziendeleze na ndio unachokifanya.
In blue: sio guarantee. kwa hiyo usidanganye watu
Mkuu mtu hatakiwi kueleza kila kitu ili ujue kwamba jambo flani liko hivi,soms katakati ya mstari(read between the lines) utaelewa kilichojificha. huyu mkuu kalishwa mambo mabaya na mama ake kuhusu mzee wake ndio maana ana chuki na hasira na mzee wake vinginevyo huyu mkuu atakua na matatizo. sikatai kua wana ume wengine huwa wazembe lakini mara nyingi watoto huwa wanasikiliza upande wa mama bila kumsikiliza baba maana hawezi kumkalisha au kuwakalisha kikao akajua nani alikua mbaya basi huchukua ya mama tu na kutoa hitimisho.
Mkuu mtu hatakiwi kueleza kila kitu ili ujue kwamba jambo flani liko hivi,soms katakati ya mstari(read between the lines) utaelewa kilichojificha. huyu mkuu kalishwa mambo mabaya na mama ake kuhusu mzee wake ndio maana ana chuki na hasira na mzee wake vinginevyo huyu mkuu atakua na matatizo. sikatai kua wana ume wengine huwa wazembe lakini mara nyingi watoto huwa wanasikiliza upande wa mama bila kumsikiliza baba maana hawezi kumkalisha au kuwakalisha kikao akajua nani alikua mbaya basi huchukua ya mama tu na kutoa hitimisho.
jamaaaniiii. vibaya hivyo. keshasema mama yake hakuwahi kumsema baba yake vibaya na wewe umepapigia mstari. na kuna mahali kasema akiwa in his 20s alijaribu kumpa nafasi baba yake ila baba akashupaza shingo. kwa hiyo kama ni chuki zimekuja baada ya yeye mwenyewe kushuhudia laiv vituko vya baba. Halafu kama mwanamke akikuambia ni mjamzito na ukatilia shaka suluhisho si kumkana mtoto. subiri mtoto azaliwe uthibitishe ndo uchukue maamuzi kulingana na matokeo. vinginevyo utakuwa unatafuta visingizio tu vya kukimbia.
jamaaaniiii. vibaya hivyo. keshasema mama yake hakuwahi kumsema baba yake vibaya na wewe umepapigia mstari. na kuna mahali kasema akiwa in his 20s alijaribu kumpa nafasi baba yake ila baba akashupaza shingo. kwa hiyo kama ni chuki zimekuja baada ya yeye mwenyewe kushuhudia laiv vituko vya baba. Halafu kama mwanamke akikuambia ni mjamzito na ukatilia shaka suluhisho si kumkana mtoto. subiri mtoto azaliwe uthibitishe ndo uchukue maamuzi kulingana na matokeo. vinginevyo utakuwa unatafuta visingizio tu vya kukimbia. Halafu hata mimi nikisoma between the lines michango yako inaonyesha kuna kitu (labda hakihusiani na hii mada) kinachokusukuma umshambulie kilaza kwa kumponda baba yake. kama mama yake angekuwa amemlisha sumu ni kwa nini kilaza ahangaike kumpa baba yake nafasi ya pili? Kama baba alikuwa na ya kusema juu ya mzazi mwenzie au kuwa labda kilaza si mwanae ni kwa nini hakumweleza kilaza alipomuonyesha kumkubali? kijana wa miaka 20 na.. ni mkubwa, angeelewa tu.
Kuna sababu zinazomfanya mtu aseme "I AM HAPPY TO BE A SINGLE MUM" unajua amepitia dhoruba gani akafikia hapo?Kuna umuhimu gani wa kuwa pamoja na baba asiyetambua majukumu yake?Kuna haja ya kuwa na mtu ambae ukiwa nae uko mpweke kuliko ukiwa mwenyewe?Kuna umuhimu wa kuwa na mtu anayekuongezea mzigo wa maisha na si kukupunguzia?Hamna maelewano mnagombana mpaka mnataka kubwatuana mbele ya mtoto!Ni bora uwe peke yako ujijuje upo peke yako kuliko uwe na mtu na ujihisi uko peke yako!KILA KITU KINA FAIDA NA HASARA KAMA ILIVYO NDOA NA HIVOHIVO USINGLE PARENTED.Yeah. Kuna watu wanawadanganya wanawake wengine kwamba usingle mother unalipa na ni mzuri. Wanaishia kuwa na msongo wa mawazo na kusononeka kusikoisha. Hebu imagine mtoto anauliza baba yuko wapi? Halafu asipate jibu la kueleweka, na mtu anadai I am happy kuwa single mother na sijawahi kujutia! Hell No!
Mkuu mtu hatakiwi kueleza kila kitu ili ujue kwamba jambo flani liko hivi,soms katakati ya mstari(read between the lines) utaelewa kilichojificha. huyu mkuu kalishwa mambo mabaya na mama ake kuhusu mzee wake ndio maana ana chuki na hasira na mzee wake vinginevyo huyu mkuu atakua na matatizo. sikatai kua wana ume wengine huwa wazembe lakini mara nyingi watoto huwa wanasikiliza upande wa mama bila kumsikiliza baba maana hawezi kumkalisha au kuwakalisha kikao akajua nani alikua mbaya basi huchukua ya mama tu na kutoa hitimisho.
keshasema alimpa baba nafasi nyingine lakini hakuitumia kufuta makosa yake,