Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,256
- 13,367
Mimi ni mjane,nimekuwa single mother,yaani ni kazi kwa kweli wakati mwingine nalia natamani baba yao angekuwepo ila ndo hivyo,kulea watoto peke yako ni pasua kichwa.sitaki mwanaume tena maishani mwangu naogopa atachukua nafasi ya wanangu.Mungu anisaidie kwa kweli naamini wanangu watakua na kuwa history maker katika hiii dunia
pole sana dada