Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
tiWe utakuwa na matatizo ya akili sio bure. Hao wanangu nilizaa na wewe??!!!
hahahaaaaaaaaaaaa!!!
umepaniki bro!!
calm down!!!
tiWe utakuwa na matatizo ya akili sio bure. Hao wanangu nilizaa na wewe??!!!
Ukweli unauma lakini ndo dawaMkuu watu hawataki kuwajibika kwa matendo yao. Yaani wanataka kuhurumiwa hurumiwa tu.
Of coz case kama hizi zipo ila pia hujatuambia kwa nini alimkataa. Kwa sababu kukataa mtoto aliyezaliwa na mtu unayemwita mke wangu sio rahisi kama unavyodhani. Tupe mkanda mzima sio hii ya upande mmoja tu.everthing happens for reasons
uzinzi upo na utaendelea kuwepo
wapo watu wameolewa na wametelekezwa pia
ngoja nkupe mf:mama angu mkubwa alikataliwa na baba wa mtoto 28years ago
miaka 20 iliyopita mamkubwa amefariki mtoto kalelew a na mama zetu wakubwa na mama angu mzazi na mamdogo tu
baba anajiweza na alimkataa mtoto
kasoma kwa shida sana leo ana kazi nzuri sana
miezi3iliyopita mamdogo kamuita yule binti akamwambia babako yupo na anahitaji kuongea na wewe
on the spot!!!akamwambia mamdogo sina baba leo ndo anajua km ana mtoto simtaki simtaki na sina haja nae
kumbe yule mzee hana mtoto mwingine na ni mtu mzima
so ndgu yangu mtu km huyo mzee akiitwa jibwa kuna ubaya
amekaaa miaka yote leo analeta kende zake kutaka mtoto kisa kule kungine hajazaa means angezaa asingemkumbuka
yaani alimfanya reserve
ila sie km ndg tumemwambia the choice is yours kumkubali au kukataa
amesema sina baba na sitaki hata kumuona
So many things have being said, yangu machache tu, respect and salute u single parents geniveros devota vijance charminglady Zamda Geuka Miss Kim Mamndenyi Babynice NANDERA Victoire msumeno and others.
so sad.... thats y I promised my self sintakaa nimuache mtoto wangu alelewe na single parent..........by the way huyo kubwa jinga mpotezee tuuu hana msaada wowote sanasana ukijaribu kumtafuta atazidi kukuumiza na kukudharua onyesha kama hana msaada wowote kwenye maisha yako
I speak through experience (nililelewa na mana tuu)huyu kubwa jinga they call him my dad pu.mbavu zake alimuachisha mama masomo mzumbe university (second year) mama akapata kazi benki baadae ikaja sera ya kupunguza watu maofisini mama akapunguzwa lile kubwa jinga likamkimbia and mama had nothing alikuwa ajui aanzie wapi I can't recall asking my lovely mum about that big a.ss ladba nikiwa mdogo sijielewi huyo mwanao akikuwa atazoea tuu na hatakusumbua cha muhimu usionyeshe unamchukia huyo kubwa jinga (mama yangu hajawai kumsema vibaya huyu kiazi) na hata pale alipotaka kuniona hakunizuia
unachotakiwa ni kukubali uhalisia ukiendelea kuukataa utaumia sana na utapoteza muda wako kwenye vitu visivyo na maana yoyote jipange kumlea mwanao kwa nguvu zako zote sometimes we (children) are stubborn lakini usife moyo jitahidi kumpatia mwanao kila kitu asihisi utofauti wowote (my lovely mum gave me everything I needed)
mama hakuniambia ni kwanini huyu pi.mbi alisepa hata hivyo wala sitaki kujua lakini alishawai kuniambia "alikuacha ukiwa na miaka mitano" dada yangu hawa mbuzi hawabadiliki kama mtu alikana kiumbe chake usitegemee ipo siku ata jirekebisha remember I speak through experience huyu big a.s.s alikuja kunitafuta nikiwa 20 years nilimpa golden chance yule mzee a tegeneze makosa yake (wanasema watoto tulioleewa na mama tuu tuna huruma sana)hakuonyesha kujali alishindwa hata kumpokea kijiti my lovely mum kunisomesha na uwezo anao nikambull shit tupa kule nimekuwa na maisha yangu na vijisenti vimeanza kuja kanajipendekeza ipo siku nitamtoa miguu....
good newz ni kuwa watoto walio lelewa na single mum wana bahati sana most of them they achieve very well in life (obama & co hata viongozi wengi wa taifa hili walilelewa na single mom)
.......hope u will get something. .........
Umeongea kwa uchungu kilaza. I feel you. Nna rafiki yangu nimeongea nae juzi. Yy ni binti na baba alimpa ujauzito mama ake akiwa anasomea unesi shule ya masista. Yule mama alifukuzwa shule kwa kosa la kupata mimba. Akarudi kijijini kuzaa then baadae akatafuta shule pengne akasoma. Kalea mwanae peke yake.
Big ass kiazi kama unavyomwita alikuja kumtafuta mwanae baada ya kujua kachaguliwa kwenda kusomea udaktari. Huwez amini yule dada alimfukuza baba yake na hata wakikutana barabarani ni shikamoo marahaba no story. Yule dada kwa sasa ni daktari na kaolewa ana watoto wawili. Mzed hata siku ya harusi hakukaribishwa na analalamika wamemuoza binti yake bila kumshirikisha. Watoto wanaokataliwa huwa Mungu anawainua sana baadae.
Uko sahihi ndugu yangu hata mimi ilinitokea hivyo aliniambia nitoe but nilikataa na mapenzi yakaisha tangu mimba mpaka sasa mtoto ana miaka mitano hajui anachokula anachovaa wala matibabu na anajua kama ana mtoto natamani nicngemwambia kama ni mtoto wake hataki hata kumuona nimemuongopea mpaka sasa nimeamua kumwambia ukweli baba yako hakutakimmh Mungu tusaidie.
Inauma sana sanaaaaaaaa!
Imagine mtoto kunasiku akiamua anakuita Fadher na siku nyingine mother.
Ukifikiria babayake ulivyomwambia uko na ujauzito wake alikuambia toa haraka iwezekanavyo
Kongosho amesema anayotaka kusema na mimi nimesema ninayotaka kusema sasa kama ww umeamua kuwa mshenga wake thats your business...And point of correction I AM AN OPENMINDED PERSON na nina uhuru wa kusema nikitakacho!kuna watu wengi tu wametoa udhaifu wa Miss Kim ukiachia mbali huyo mshenga wako na kwa busara sana tu!
Pole kwa majaribu ya dunia...
Ila hapo pa kuanza kumwambia mwanao wa darasa la pili mabaya ya baba yake sidhani kama ni jambo jema;
Nikiangalia mwanangu wa darasa la pili alivyo mdogo afu nianze kumsimulia matatizo yangu naona kama siyo fair...
Watoto wana haki ya ku enjoy utoto wao
Kwa kweli moyoni mwangu huwa nahuzuni sana i wish baba yangu na mama yangu wangeishi pamoja hata kama ni masikini kiasi gani. nimekuwa na baba wa kambo 2 maishani mwangu moja aliza wadogo zangu wawili huyu moja wa ukubwani nilie ishi naye amezaa mdogo wangu anayenifata hakika hamna raha hata kidogo kuongea naye hata nilipo kuwa naishi nyumba 1 ni shida salamu mpaka kesho tena salaamu.
Madhara ni makubwa kwa mtoto kwanza kutomjua baba yako hasa ukiwa mkubwa unaona ni kama una upungufu fulani hivi ni bora umjue afu uwe unajua sababu ya kutoishi naye.
Pili ukoo wa mtoto unakuwa mfinyu mfano mimi ninajua ndugu wa upande wa mama yangu tu simjui shangazi,ba mkubwa au ba mdogo na wengineo upande wa baba ukihitaji msaada wowote kama upande wa mama hawawezi basi ndo imisha toka.
Tatu,najua si vizuri kumchukulia mama yangu kama case study ila naomba nifanye hivyo labda itasaidia baadhi yenu kuwa na watoto na kila mtoto ana baba yake si vizuri hata kidogo nina waombeni kwa hilo ni mbaya kwa watoto tena sana.utawatesa wanao hata kama utawapatia kila kitu mfano una wtt wa 3 kila mtto na baba yake akaishi na baba wa mtt A hakika hawa 2 au 1 hata kuwa na raha /upendo kamili.asanteni Hope mtajifunza kitu ni story ambayo sijawahi kumwambia mtu yoyote maishani mwangu lakini nashangaa leo nimeweza isema kwa watu wengi ni moyo wangu ulijisikia kuandika tu ili wngne nao wajifunze.nina amini kuna wengi kama mimi na kuna wengi wenye kesi kama za kim na wengine humu humu lakini hawajaweza fanya hivi kuna ugumu wake katika hili.