Single mums and dads come this way

Single mums and dads come this way

mkuu hatuishi kwa kukariri na huwa binadamu tunatumia vichwa vyetu kufikiri sio kufugia nywele tuu kama wewe unavyofanya

nimeandika hiyo post kwakuwa nimeguswa na koment ya dada yangu aliyekanwa na mume (sitakagi kuliongelea hilo )
binadamu walinielewa (eli 79. zamda .Nandera. and e.t.c) lakini
mbuzi ndio wanaotaka nirudierudie hapa

kwanza nikuonye put my mama out of this she is a genius of her own kind ni msomi ni mrembo na ni mrembo kwelikweli sikui alitoka wapi na yule taira (wanasemaga ndege mjanja ananasa tundu bovu) na amenilelea vizuri kuliko hata ulivyolelewa wewe trust me

mama yangu hajawai kuniambia lolote kuhusu huyu kiazi boya mbuzi kende pi.mbi big fat a.s.s becoz I ddnt show any interest naye wala sijawai kumuulizia na wala sitaki kuuliza mimi ni mtu mzima hata kama walikuwa na ugomvi wao hasira yake ndio anihamishie mimi???????

Tunapiga stori nyingi sana za utotoni nilivyokuwa mtundu n.k hata nilivyoanza kutongoza videmu alikuwa ananishauri vizuri tu bila aibu nakumbuka alikuwa ananiambia
"lets talk like friends nasio kama mtu na mama yake "
elimu aliyonipa ni zaidi ya chuo kikuu

nilichogundua ni kuwa wewe ulimtelekeza mtoto hivyo unaogopa asije akawa na akili kama zangu

hapo kwenye blue
ngoja nikutajie wachache
bill Clinton. 50 cent .mariah carey . B.I.G .p diddy.Armstrong. Tom cruz.jammie fox .jay z .Enrique. jet lee .madonna.Eddie Murphy. Obama. Ronaldhinho.Tupac.kanye west.e.t.c

In red: kwa hiyo unamfsifia mama ako ili mimi nifanyeje,elimu yake,uzuri wake unanihusu nini?

In green: Hakuna kipimo cha malezi kwamba huyu kalelewa vyema na huyu kalelewa vizuri,ni subjective,kama kakulea vyema ni wewe maana hujui malezi yangu,alafu why should i trust you?

Bold black: FYI sina mtoto wala sijawahi kumpa mtu mimba nikakataa mtoto.

Blue: waswahili husema jina linasadifu yaliyomo,kweli wewe kilaza,wapi nimebisha kwamba sio kweli au kutaka ushahidi hadi unitajie waliolelewa na mama tu?nimekwambia sio guarantee maana ingekua hivyo basi waote waliolelewa na mama tu wangekua wamefanikiwa sana duniani kote.
 
In red: kwa hiyo unamfsifia mama ako ili mimi nifanyeje,elimu yake,uzuri wake unanihusu nini?

In green: Hakuna kipimo cha malezi kwamba huyu kalelewa vyema na huyu kalelewa vizuri,ni subjective,kama kakulea vyema ni wewe maana hujui malezi yangu,alafu why should i trust you?

Bold black: FYI sina mtoto wala sijawahi kumpa mtu mimba nikakataa mtoto.

Blue: waswahili husema jina linasadifu yaliyomo,kweli wewe kilaza,wapi nimebisha kwamba sio kweli au kutaka ushahidi hadi unitajie waliolelewa na mama tu?nimekwambia sio guarantee maana ingekua hivyo basi waote waliolelewa na mama tu wangekua wamefanikiwa sana duniani kote.

wewe sio mzima nakushauri ukapime akili
 
wakati mwingine huu usingo mum/dad unasababishwa na hao masingo mum/dad wenyewe..

true experience.. ya kwangu mwenyewe..

nimezaa na mdada moja.. na mapenzi yalikuwa moto moto wakti tupo wote chuo...
tumemaliza chuo miezi miwili baadae ndo akamzaa huyu mtt wa kiume..
visa vikaanza.. ugomvi hauishi hadi akantakia kuwa hana mpango wa kuja kuolewa.. nikagive up...
leo nataka nioe na mchumba nishampata yy ndo anakuja juu na kunipa masharti yakumpatia nusu mshahara wangu wa kila mwezi ili aniruhusu kuoa vinginevyo atakuja amjaze mtt mambo yatakayomfanya asitake kuniona maishani mwake kama Kilaza anavyomchukia baba ake..
hapa ninakosa gani?
 
Last edited by a moderator:
May be, may be not...
Ukisoma btn the lines, utaona baadhi ya waandishi wanaonesha kama ni 'ushujaa usio wa kawaida' kwa kuweza kulea peke yake? Kwa nini? Deep down kuna feelings za kujiona aidha 'weak au abnormal' kwa kulea peke yake. Anyway, mtizamo wangu, na sijawahi mwita mtu single parent wala kuhisi amepungukiwa.

Kwa nini wanaolea wawili hawajilebo kama 'double parents'? Wako okay na walivyo.

Ndo maana hii 'haki za wanawake' sijui 'usawa wa kijinsia', between the line huwa mushkeli (hata wanaodai haki wenyewe deep down wanajiona dhaifu, ila majukwaani wanajikakamua), kama uko happy na ulivyo, kwa nini upige kelele sana ili usikike?
Mtu mmoja akifanya kazi ya wawili is out of normal!Mkiwa wawili mambo hayaendi msondo na wote mnafanya kazi na mnasaidiana na je ukiwa peke yako? This is very easy to understand hata mtoto mdogo anaelewa. Huwezi kuelewa uzito wa kuwa single parent kama hujalelewa na single parent au si single parent.Na kokote utakapoenda wanajua kuwa single parent ni kazi ngumu.Take my word!
 
Kuna sababu zinazomfanya mtu aseme "I AM HAPPY TO BE A SINGLE MUM" unajua amepitia dhoruba gani akafikia hapo?Kuna umuhimu gani wa kuwa pamoja na baba asiyetambua majukumu yake?Kuna haja ya kuwa na mtu ambae ukiwa nae uko mpweke kuliko ukiwa mwenyewe?Kuna umuhimu wa kuwa na mtu anayekuongezea mzigo wa maisha na si kukupunguzia?Hamna maelewano mnagombana mpaka mnataka kubwatuana mbele ya mtoto!Ni bora uwe peke yako ujijuje upo peke yako kuliko uwe na mtu na ujihisi uko peke yako!KILA KITU KINA FAIDA NA HASARA KAMA ILIVYO NDOA NA HIVOHIVO USINGLE PARENTED.

Well said mamito...
 
Kuwa single mom sio sifa... hata hivyo sidhani kama kuna mtu hupenda itokee hivyo .... wengi hupenda walee watoto wao na baba akiwepo.
Ila likikufika unapatana nalo tu hata kama hulipendi....
 
In red: kwa hiyo unamfsifia mama ako ili mimi nifanyeje,elimu yake,uzuri wake unanihusu nini?

In green: Hakuna kipimo cha malezi kwamba huyu kalelewa vyema na huyu kalelewa vizuri,ni subjective,kama kakulea vyema ni wewe maana hujui malezi yangu,alafu why should i trust you?

Bold black: FYI sina mtoto wala sijawahi kumpa mtu mimba nikakataa mtoto.

Blue: waswahili husema jina linasadifu yaliyomo,kweli wewe kilaza,wapi nimebisha kwamba sio kweli au kutaka ushahidi hadi unitajie waliolelewa na mama tu?nimekwambia sio guarantee maana ingekua hivyo basi waote waliolelewa na mama tu wangekua wamefanikiwa sana duniani kote.

Dah unaenda mbali sana aisee,naomba uachane na hii kitu unaenda kuvunja heshima za watu wakati maisha ya kilaza hayakuhusu ni yake binafsi,samahani lakini kama nitakuudhi.
 
Kuwa single mom sio sifa... hata hivyo sidhani kama kuna mtu hupenda itokee hivyo .... wengi hupenda walee watoto wao na baba akiwepo.
Ila likikufika unapatana nalo tu hata kama hulipendi....

Ni kweli usemayo,yametokea tunapambana no way.
 
wakati mwingine huu usingo mum/dad unasababishwa na hao masingo mum/dad wenyewe..

true experience.. ya kwangu mwenyewe..

nimezaa na mdada moja.. na mapenzi yalikuwa moto moto wakti tupo wote chuo...
tumemaliza chuo miezi miwili baadae ndo akamzaa huyu mtt wa kiume..
visa vikaanza.. ugomvi hauishi hadi akantakia kuwa hana mpango wa kuja kuolewa.. nikagive up...
leo nataka nioe na mchumba nishampata yy ndo anakuja juu na kunipa masharti yakumpatia nusu mshahara wangu wa kila mwezi ili aniruhusu kuoa vinginevyo atakuja amjaze mtt mambo yatakayomfanya asitake kuniona maishani mwake kama Kilaza anavyomchukia baba ake..
hapa ninakosa gani?

kuna kitu sijaelewa unataka kusema mimi nimejazwa.......
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni mjane,nimekuwa single mother,yaani ni kazi kwa kweli wakati mwingine nalia natamani baba yao angekuwepo ila ndo hivyo,kulea watoto peke yako ni pasua kichwa.sitaki mwanaume tena maishani mwangu naogopa atachukua nafasi ya wanangu.Mungu anisaidie kwa kweli naamini wanangu watakua na kuwa history maker katika hiii dunia
 
Mimi ni mjane,nimekuwa single mother,yaani ni kazi kwa kweli wakati mwingine nalia natamani baba yao angekuwepo ila ndo hivyo,kulea watoto peke yako ni pasua kichwa.sitaki mwanaume tena maishani mwangu naogopa atachukua nafasi ya wanangu.Mungu anisaidie kwa kweli naamini wanangu watakua na kuwa history maker katika hiii dunia

Nimekupenda bure mwaya.
 
Na sielewi kwanini watu wanamhukumu Miss Kim its not fair kwa kweli.Hatujui kwann deep down amechukua maamuzi alochukua.And who are we to judge her anyway?She is the mother and she knows whats best for her child."SOME MISTAKES IN LIFE WE MAKE,LEARN FROM THEM AND RUN FROM THEM" You dont want to stick with a mistake for the rest of your life!!!Tukumbuke mzazi ni "ROLLEMODELL" kwa mtoto ni mtu ambae mtoto anamuiga nyendo zake na kuwa mfano kwake.Sasa kama mzazi mwenzio drug addict/ abuser ,alcohol addict,child malestor n.k kuna umuhimu amjue mtoto wako?Kama mzazi atakuwa mfano gani kwa mtoto?Come on people some things are better to stay untouched!
 
Last edited by a moderator:
Aisee! Polen sana single moms . Mm kwa upande wangu naona tusielekeze sana lawama kwa baba moja kwa moja sometime mama na wao husababisha kuimbiwa na wenza wao.
Naongea haya kutoka na haya niliyowahi kutaona kwa rafki yangu.
......................... ...........
Nina jamaa yangu ambaye ni rafik yangu wa mda mrefu tangu tukiwa watoto mpaka leo hii.
Kisa hiki nilianza kukisikia nilipokuwa darasa la kwanza ,

huyu jamaa yangu nilikuwa namfahamu vzr baba yake pamoja na mama yake cos tulikuwa tunakula na wakat mwingne kulala pamoja namaanisha kwao au kwetu.

Kuna kipindi flan tukiwa tunatoka shule tulikuwa tunaonana na mzee mmoja njian alikuwa anatununulia soda na kutupa vijisent kidogo huku akimwambia yule rafki yangu ww ni mtoto wangu.

Kutokana na udogo wa akili mm nikajua atakuwa labda ni ndg yao,
yule mzee akazidi kulete zawadi kwa rafki yangu na jamaa akawa anazipokea,

skumoja nikamuuliza huyu mzee anasema ni baba yako mbona mm simfaham inamaana ni mdogo wa babayako?

Jamaa akanijibu mama anasema ni ndg yetu.
Bas tukawa tunaendelea kuwa karibu naye na kupokea zawadi zake.

Miaka ikaenda tulipofika darasa la 5 ndipo rumous zikaanza kusambaa kuwa jamaa ambaye n rafiki yangu sio mtoto halali wa mzee ambaye mm namtambua kama baba yake au ambaye ndiye anaishi na mama yake.

Ikaanza kusemekana kuwa yule mama kipindi anaolewa na huyu baba aliolewa akiwa na ujauzito wa mtu mwingne na aliificha ili aolewe na huyu baba kwa vile alikuwa na kipato kikubwa.

Maneno hayo yalienea mpaka kumfikia huyu baba ambaye ndiye anamlea rafki yangu na wakat wote huo yeye alijua huyu rafki yangu ni mwanaye halisi,.

Likaanza varangati hapo mpaka kupelekana mahakaman, mpaka wakaenda kuchukua vipimo na ikaonekana yule rafik yangu siyo mtoto halis wa yule baba ambaye ndio anaishi naye..

Kwahasira yule baba alimfukuza mama wa rafik yangu pamoja mwanaye ambaye ni rafk yangu.

Upande wa yule baba yake halisi ambaye alikuwa anatupa vijisent kipind hcho kumbe anafanya yote yale ili kumkomoa mama wa rafki yangu amvunjie ndoa yake kwa vile alimnyang'anya dam yake.
----
hapo mama zetu wakat mwingne hamuwi wakweli,. Siwatetei wanaume wala siwalaumu.
Wapo kweli wanaume wajinga wanakimbia majukum ya kulea mtoto na vilevile wakina mama wengne ndiyo wanakuwa chanzo cha kukimbiwa na walio wapa mimba.
Hapa ingekuwa vzr sana tungesiliza upande wa akina baba waliowahi kumbia kulea mimba na watoto ili tujue chanzo ni nn hasa.
 
Sijajua unachojaribu kunieleza, ila kama ilivyo haki kwa mama kumtambua mtoto wake, vivo hivyo kwa baba. Kama mzazi ana pose threat kwa welfare ya mtoto, zipo restrain order kisheria.

Nachosema mie, baba na mtoto wapewe nao nafasi ya kuamua kama wanahitajiana ama lah.


siwezi ku-quote yote ila hakuna mahali nimepingana na wewe bali hoja zako. Hakuna nilikosema haki haki hazina maana bali "wakati mwingine hizi haki hazina maana". Kitendo cha binti kuponea kubakwa na babake hakiondoi haki ya mtoto au baba kupewa taarifa ila kinamzuia mwenye wajibu huo kutokutoa taarifa ili kumlinda mtoto. Hivyo, si kila utkelezaji wa haki una faida tarajiwa. Yule uliyemponda kwa kudai haki mahakamani kwa hoja kuwa malezi si material hakuwa na sababu ya kuleta details zake hapa ili kuhalalisha kitendo chake cha kwenda mahakamani. Mzazi yeyote bila kujali mazingira ya kupata mtoto huyo ana haki ya kwenda mahakamani kudai haki ya malezi ya kimwili (material) ya mwanae. Kitakachotofautiana ni majina tu wakayoitwa hao wazazi washtakiwa. Mwanandoa ataitwa biological parent, na asiye na ndoa ataitwa putative parent (mzazi husika). By the way 50k kwa mwezi si ndogo. inatosha kabisa kumpatia mtoto protein anayohitaji mwezi mzima. na akisoma shule ya kayumba inamtosha nauli na mihogo mwezi mzima. hata mama akiichukua kila mwezi akiiweka saccos sijui vikoba inamtosha kumsomesha mtoto shule yenye mazingira yenye afadhali. cha msingi ni mtu kuwajibika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom