Single mums and dads come this way

Single mums and dads come this way

I am proudly a single parent and i have never regretted my decision to become one. Actually becoming a mother has been one of my greatest achievements so far. Waking up each morning besides my beautiful baby is a true blessing and i always thank God for this beautiful opportunity to be called a mother.

Just to recap a bit about my past.....nakumbuka ilikua mkwa 2010 nilipokutana na huyu kaka and right from the word go i knew he was bad news ila i have always had a thing for "bad boys", huwa niko attracted to such. Basi one thing led to another and all was beautiful & dreamy, everything i would have imagined about him came true. He gave me 6 good months of nothing but pleasure & heaven on earth (hihihihihiii). Anyways to cut the long story short, nikaja gundua i was 2 weeks pregnant surprisingly i was at peace with myself. Right from the word go i knew i wanted to have this baby and one thing i was certain about was that there was no way i was getting this dude involved. So taratibu i started cutting him loose, nikaanza punguza mawasiliano, akitaka tuonane mm nampiga chenga. Kuna kipindi akawa anatamani sana tuonane but mm nikawapa natafuta visingizio, luckily tupo mikoa tofauti & didn't have common friends so interaction was minimal.

Nikiwa almost 9 months pregnant nikakutana na ndugu yake kwa bahati mbaya, huyo ndugu yake si akaenda mwambia jamaa. He flew from wherever he was to where i was to come confirm if i was truly pregnant, tena alinifanyia suprise nisijue kama anakuja. We talked a lot that evening, akaniuliza maswali mengi sana & i never gave him the answers he was looking for. Eventually akarudi zake kwao na life likaendelea. He comes to visit whenever he's around & he supports us as a friend na hadi leo hii sijawahi mwambia kama yy ndo baba wa mtoto wangu.

Ukweli ni kwamba i had my reasons for keeping him at bay about my son's father's identity, hiyo ni siri yangu & i believe that God will understand, hopefully my son will come to understand me when he finally grows up enough to comprehend such things.

Being a single parent has been a blessing in disguise, nimepata breakthroughs za ajabu mno katika shughuli zangu & my life has changed for the best. Lifestyle yangu has changed for good & if i had a second chance at life i wouldn't change a thing about it! I am happy & thankful every single day.

Mnisamehe kwa Kiswaglish changu na story ndefu..hihihihiihihhiii... bottom line is i am a proud parent to the most amazing boy under the sun & would forever be grateful to my "bad boy" for giving me such a beautiful baby, by boy is gonna go places, Mungu atupe uzima tu!

This is being selfish and violation of child rights. You child has the right to know his father and enjoy fatherly love. Na hii haikusaidii chochote sana sana inakukandamiza kiuchumi. Let the father know and bear his responsibility. Atakavyokuwa mkubwa anaweza kukusuplise kwa kukulaumu.
 
Ukiwa na hint kuwa umezalisha mtu mahali ndo unaweza kudai, lakini kama huna hint kabisa utadaije?
Na akina mama hii ya kujua the dirty truth behind the scene inatupa kiburi sana. Kuna mdada alizaa na kijana kabla hawajafunga ndoa, kila wakigombana yule dada anamwambie mchumba wake, una hakika gani hata huyu mtoto ni wako?

Yule kijana akaona isiwe tabu, akamwambia, kama huyu mmoja tu na hatujaoana kila tukigombana ni hivi, je wakiwa watanona tumeoana? Alimwachia yule binti pete ya uchumba na kifunga uchumba na kwenda kuanza upya.

Sijui kwa wengine, ila hata mie mtu ku temper na partenity ya mtoto ni -100% wrong, regardless sie wazazi tumekwaruzana kiasi gani.

Kama mzazi with sincerity anataka kumjua mtoto wake kuna kanuni za kisheria zinazomsupport kwanini asizitumie hizo?kama anajua huyu mwanamke alikuwa na ujauzito wake na mtoto ni wake kwann asidai haki yake?Mama ndo anajua the whole dirty truth behind the whole story kwahio yeye pekee ndo anajua kwann anamzuia mtoto asizoeane na babaake!
 
Sijajua unachojaribu kunieleza, ila kama ilivyo haki kwa mama kumtambua mtoto wake, vivo hivyo kwa baba. Kama mzazi ana pose threat kwa welfare ya mtoto, zipo restrain order kisheria.

Nachosema mie, baba na mtoto wapewe nao nafasi ya kuamua kama wanahitajiana ama lah.

Unajua kuna baadhi ya makabila binti akipata ujauzito ni lazima aonyeshe wazazi alompa mimba...atake asitake...

Sasa nimeanza kuelewa...

Wadada wengi wanatumia hasira kufanya maamuzi makubwa...

Bila intervention ya familia yaweza kuwa balaa baadae...

Yaani utasema baba wa mtoto ni nani...hata kama mimba kaikataa...

Na inapswa tufahamu wanaume wengi sana ni rahisi kukana mimba...lakini ni sababu ya woga...haina maana atakataa mtoto wake forever...

Tuwape muda ...akili ikikomaa watakumbuka watoto wao...

Nina shemeji yangu alizaa na binti jirani yao...
Akakana kuwa mimba si yake..
Mama mkwe wangu akamfuata yule binti na wazazi wake, akawaambia tulieni; mtoto akizaliwa kama ni wa mwanangu nitajua...na niko tayari kumlea...

Kweli mtot kazaliwa carbon copy...

Mama mkwe kamchukua akiwa na 1.5 years kamlea mwenyewe maana mama wa mtoto alipata bwana akaolewa...
Sasa hivi shemeji yangu humwambii kitu kuhusu huyu first born wake...

Mama mkwe anamtaniaga jinsi alivyokaataa kuwa mimba si yake...
Kilichofanya akatae ni kwa kuwa hakuwa na kazi, alikuwa first year UD; sasa akafikiria ndoa ya mkeka akaona isiwe shida...mimba si yangu...
 
Mimi ni mjane,nimekuwa single mother,yaani ni kazi kwa kweli wakati mwingine nalia natamani baba yao angekuwepo ila ndo hivyo,kulea watoto peke yako ni pasua kichwa.sitaki mwanaume tena maishani mwangu naogopa atachukua nafasi ya wanangu.Mungu anisaidie kwa kweli naamini wanangu watakua na kuwa history maker katika hiii dunia

pole sana mama
 
having a child is not an achievement...Any dumb woman can get pregnanct... It requires a higher IQ to understand in advance that the child will have necessary needs especially the kind loving care of both parents..
 
Nilidhani nimetokea pluto peke yangu.

Mie jamaa yetu alikana mimba na kutuficha, tuligundua mtoto akiwa kama 2yrs, sasa hivi anaisi kwa shangazi yake na anasoma, binti responsible kabisa, very bright. Afu ujue nini, yule jamaa hadi leo ndoa haijazaa matunda, so macho yake yote ni kwa binti wa kwanza.

Nadhani hata kwetu ni hivyo, danganya yoooote, lakini baba wa mtoto si kitu cha kuchezea kabisa, ni haki ya mtoto ya msingi, hata awe mwehu.

Mama kuumizwa na baba, bado haimpi haki ya kumnyima mtoto kumjua baba yake. Kuna wanawake/wanaume wanaachana na wao kubaki na watoto, basi wanawajaza maneno ya chuki dhidi ya wazazi wao wengine. Hii haimsaidii wala mtoto, ni kumuumiza tu, mtoto anashindwa hata kufurahia mzazi wake mwingine.

Huwa najisemea, Mungu nipe kifua cha kubeba maumivu yangu, nisiyahamishie kwa watoto dhidi mzazi mwenzangu/mume.

Unajua kuna baadhi ya makabila binti akipata ujauzito ni lazima aonyeshe wazazi alompa mimba...atake asitake...

Sasa nimeanza kuelewa...

Wadada wengi wanatumia hasira kufanya maamuzi makubwa...

Bila intervention ya familia yaweza kuwa balaa baadae...

Yaani utasema baba wa mtoto ni nani...hata kama mimba kaikataa...

Na inapswa tufahamu wanaume wengi sana ni rahisi kukana mimba...lakini ni sababu ya woga...haina maana atakataa mtoto wake forever...

Tuwape muda ...akili ikikomaa watakumbuka watoto wao...

Nina shemeji yangu alizaa na binti jirani yao...
Akakana kuwa mimba si yake..
Mama mkwe wangu akamfuata yule binti na wazazi wake, akawaambia tulieni; mtoto akizaliwa kama ni wa mwanangu nitajua...na niko tayari kumlea...

Kweli mtot kazaliwa carbon copy...

Mama mkwe kamchukua akiwa na 1.5 years kamlea mwenyewe maana mama wa mtoto alipata bwana akaolewa...
Sasa hivi shemeji yangu humwambii kitu kuhusu huyu first born wake...

Mama mkwe anamtaniaga jinsi alivyokaataa kuwa mimba si yake...
Kilichofanya akatae ni kwa kuwa hakuwa na kazi, alikuwa first year UD; sasa akafikiria ndoa ya mkeka akaona isiwe shida...mimba si yangu...
 
Hivi wewe leo aje kijana ana miaka 15, out of blue anakwambia wewe ni baba yake, ni kwamba ulipokonywa taarifa ya kuwa umetia mimba mahali utajisiakiaje? Nini kita compasate muda mliopotezewa wa kufahamiana.

Tuwaache watu waandike historia zao, sio sie tuwaandikie.
In all fairness ni haki ya msingi ya mtoto kumjua mzazi wake. Kumnyima haki hiyo ni ubinafsi tu. Sijui sheria za nchi kuhusu hili lakini sidhani kama kuna sababu inaweza kumfanya mtu kuzuiwa kumfahamu mzazi wake.
 
Duh Kilaza siwezi kukulaumu wala siwezi kukupongeza nilichojifunza hapa ni kwamba bado una hasira na Baba yako tena baada ya kujitambua.Unajua mara nyingi watoto walioangukia katika fungu lako si kwamba walikosa mapenz na malezi ya wazazi wote wawili katika maisha yao lakini pia sheria na wakati mwingine mila zinawaweka kando katika kupata haki.

Binafsi nimelea mtoto wa Dada yangu baada ya kupata ujauzito akiwa chuo,nikaamua kumchukua mjomba nikamsomesha hadi akafikia mahali pa kijitegemea.Kipindi chote napambana na malezi yake sikumwona Baba wala nani toka hiyo familia ingawa sikupenda awe karibu nayo kwasababu za kiimani (niliogopa wangeweza kumbadilisha).

Dada yangu alikuja kuolewa na mwanaume mwingine ambaye pia sikupenda abebe mzigo usiomhusu.Maajabu yalikuja tokea wakati kijana yupo Chuo cha Ushirika Moshi Baba yake akishirikiana na Dada yangu wakafanikisha mipango ya kumtambulisha katika familia ya Baba bila kunishirikisha.Ukweli ni kwamba nilikasirika sana tena sana kiasi nakosa maelezo sahihi ya kuelezea hasira niliyokuwa nayo dhidi ya Dada na huyu Baba mtoto.Ifahamike nilianza kuishi na mtoto hata sijaoa halafu anajitokeza Pimb.i anajifanya anampenda leo.

so sad.... thats y I promised my self sintakaa nimuache mtoto wangu alelewe na single parent..........by the way huyo kubwa jinga mpotezee tuuu hana msaada wowote sanasana ukijaribu kumtafuta atazidi kukuumiza na kukudharua onyesha kama hana msaada wowote kwenye maisha yako

I speak through experience (nililelewa na mana tuu)huyu kubwa jinga they call him my dad pu.mbavu zake alimuachisha mama masomo mzumbe university (second year) mama akapata kazi benki baadae ikaja sera ya kupunguza watu maofisini mama akapunguzwa lile kubwa jinga likamkimbia and mama had nothing alikuwa ajui aanzie wapi I can't recall asking my lovely mum about that big a.ss ladba nikiwa mdogo sijielewi huyo mwanao akikuwa atazoea tuu na hatakusumbua cha muhimu usionyeshe unamchukia huyo kubwa jinga (mama yangu hajawai kumsema vibaya huyu kiazi) na hata pale alipotaka kuniona hakunizuia

unachotakiwa ni kukubali uhalisia ukiendelea kuukataa utaumia sana na utapoteza muda wako kwenye vitu visivyo na maana yoyote jipange kumlea mwanao kwa nguvu zako zote sometimes we (children) are stubborn lakini usife moyo jitahidi kumpatia mwanao kila kitu asihisi utofauti wowote (my lovely mum gave me everything I needed)

mama hakuniambia ni kwanini huyu pi.mbi alisepa hata hivyo wala sitaki kujua lakini alishawai kuniambia "alikuacha ukiwa na miaka mitano" dada yangu hawa mbuzi hawabadiliki kama mtu alikana kiumbe chake usitegemee ipo siku ata jirekebisha remember I speak through experience huyu big a.s.s alikuja kunitafuta nikiwa 20 years nilimpa golden chance yule mzee a tegeneze makosa yake (wanasema watoto tulioleewa na mama tuu tuna huruma sana)hakuonyesha kujali alishindwa hata kumpokea kijiti my lovely mum kunisomesha na uwezo anao nikambull shit tupa kule nimekuwa na maisha yangu na vijisenti vimeanza kuja kanajipendekeza ipo siku nitamtoa miguu....

good newz ni kuwa watoto walio lelewa na single mum wana bahati sana most of them they achieve very well in life (obama & co hata viongozi wengi wa taifa hili walilelewa na single mom)

.......hope u will get something. .........
 
Last edited by a moderator:
Wengine Mola wetu alitupatia mtihani mkubwa,,, kwa uwezo wake Allah maisha yanasonga,, na watoto wanasoma Alhamdulillah japo wanakosa guidance ya mama... Halaumiwi aliye juu ya kila kitu ila it is real hard

Pole sana kakaangu allah atakuongoza inshallah
 
Kama mzazi with sincerity anataka kumjua mtoto wake kuna kanuni za kisheria zinazomsupport kwanini asizitumie hizo?kama anajua huyu mwanamke alikuwa na ujauzito wake na mtoto ni wake kwann asidai haki yake?Mama ndo anajua the whole dirty truth behind the whole story kwahio yeye pekee ndo anajua kwann anamzuia mtoto asizoeane na babaake!
But miss Kim's story is different. Kamnyima Baba haki ya kumfahamu mtoto wake. Hata ujauzito alimficha. Do you think its fair? Kwa nini basi aamue kuzaa nae?
 
But miss Kim's story is different. Kamnyima Baba haki ya kumfahamu mtoto wake. Hata ujauzito alimficha. Do you think its fair? Kwa nini basi aamue kuzaa nae?
Hili inabidi alijibu Miss Kim!Na mimi sijui kwanini amechukua maamuzi yake na kama nilielewa alisema sehemu alipata ujauzito accidentally!!
 
mkuu hatuishi kwa kukariri na huwa binadamu tunatumia vichwa vyetu kufikiri sio kufugia nywele tuu kama wewe unavyofanya

nimeandika hiyo post kwakuwa nimeguswa na koment ya dada yangu aliyekanwa na mume (sitakagi kuliongelea hilo )
binadamu walinielewa (eli 79. zamda .Nandera. and e.t.c) lakini
mbuzi ndio wanaotaka nirudierudie hapa

kwanza nikuonye put my mama out of this she is a genius of her own kind ni msomi ni mrembo na ni mrembo kwelikweli sikui alitoka wapi na yule taira (wanasemaga ndege mjanja ananasa tundu bovu) na amenilelea vizuri kuliko hata ulivyolelewa wewe trust me

mama yangu hajawai kuniambia lolote kuhusu huyu kiazi boya mbuzi kende pi.mbi big fat a.s.s becoz I ddnt show any interest naye wala sijawai kumuulizia na wala sitaki kuuliza mimi ni mtu mzima hata kama walikuwa na ugomvi wao hasira yake ndio anihamishie mimi???????

Tunapiga stori nyingi sana za utotoni nilivyokuwa mtundu n.k hata nilivyoanza kutongoza videmu alikuwa ananishauri vizuri tu bila aibu nakumbuka alikuwa ananiambia
"lets talk like friends nasio kama mtu na mama yake "
elimu aliyonipa ni zaidi ya chuo kikuu

nilichogundua ni kuwa wewe ulimtelekeza mtoto hivyo unaogopa asije akawa na akili kama zangu

hapo kwenye blue
ngoja nikutajie wachache
bill Clinton. 50 cent .mariah carey . B.I.G .p diddy.Armstrong. Tom cruz.jammie fox .jay z .Enrique. jet lee .madonna.Eddie Murphy. Obama. Ronaldhinho.Tupac.kanye west.e.t.c

Mkuu una bitterness kali mno...unavyoongea tu,ni result ya kumkosa baba as a father figure...hao macelebrity uliotaja hapo wote ni nothing
 
I am proudly a single parent and i have never regretted my decision to become one. Actually becoming a mother has been one of my greatest achievements so far. Waking up each morning besides my beautiful baby is a true blessing and i always thank God for this beautiful opportunity to be called a mother.

Just to recap a bit about my past.....nakumbuka ilikua mkwa 2010 nilipokutana na huyu kaka and right from the word go i knew he was bad news ila i have always had a thing for "bad boys", huwa niko attracted to such. Basi one thing led to another and all was beautiful & dreamy, everything i would have imagined about him came true. He gave me 6 good months of nothing but pleasure & heaven on earth (hihihihihiii). Anyways to cut the long story short, nikaja gundua i was 2 weeks pregnant surprisingly i was at peace with myself. Right from the word go i knew i wanted to have this baby and one thing i was certain about was that there was no way i was getting this dude involved. So taratibu i started cutting him loose, nikaanza punguza mawasiliano, akitaka tuonane mm nampiga chenga. Kuna kipindi akawa anatamani sana tuonane but mm nikawapa natafuta visingizio, luckily tupo mikoa tofauti & didn't have common friends so interaction was minimal.

Nikiwa almost 9 months pregnant nikakutana na ndugu yake kwa bahati mbaya, huyo ndugu yake si akaenda mwambia jamaa. He flew from wherever he was to where i was to come confirm if i was truly pregnant, tena alinifanyia suprise nisijue kama anakuja. We talked a lot that evening, akaniuliza maswali mengi sana & i never gave him the answers he was looking for. Eventually akarudi zake kwao na life likaendelea. He comes to visit whenever he's around & he supports us as a friend na hadi leo hii sijawahi mwambia kama yy ndo baba wa mtoto wangu.

Ukweli ni kwamba i had my reasons for keeping him at bay about my son's father's identity, hiyo ni siri yangu & i believe that God will understand, hopefully my son will come to understand me when he finally grows up enough to comprehend such things.

Being a single parent has been a blessing in disguise, nimepata breakthroughs za ajabu mno katika shughuli zangu & my life has changed for the best. Lifestyle yangu has changed for good & if i had a second chance at life i wouldn't change a thing about it! I am happy & thankful every single day.

Mnisamehe kwa Kiswaglish changu na story ndefu..hihihihiihihhiii... bottom line is i am a proud parent to the most amazing boy under the sun & would forever be grateful to my "bad boy" for giving me such a beautiful baby, by boy is gonna go places, Mungu atupe uzima tu!


Pole na hongera for standing up for your self;

Ila for whatever valid reasons you may put for keeping that man at bay from your child, you are playing it very very WRONG for your child and for him. At times its not just for our sake to be happy and content , but for the sake of the ones we are responsible to.

You may claim to be happy but with time u will realize its fake for your child. The minute your child realisez what treasure you took away from him, u are doomed. Mind you, even if a father is the worst living bastard on earth he can still be the best (slightly close to that) father on earth....I know ur doing mpyssss but oooh Yes i have seen from experience. Hivyo tusijidanganye ohhh am so happy blah blah blah...so long as u baba mtoto hajakataa katu katu usimyime mtoto haki ya kujua baba yake. Search from Amazon a book called " heaven is real" sio cha kidini sana as the title suggests but u can see a soul of a world renowned neurosurgeon inavyo-suffer kuconnect na mzazi wake even when no body told him he had one....souls search other and in the end the truth separates itself from all fakes we may cover it with.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom