majina mengine umeyaacha mbona,wanaume wengine ni mafisi bora mbwa wanalinda nyumba.
hahahaha
majina mengine umeyaacha mbona,wanaume wengine ni mafisi bora mbwa wanalinda nyumba.
I am proudly a single parent and i have never regretted my decision to become one. Actually becoming a mother has been one of my greatest achievements so far. Waking up each morning besides my beautiful baby is a true blessing and i always thank God for this beautiful opportunity to be called a mother.
Just to recap a bit about my past.....nakumbuka ilikua mkwa 2010 nilipokutana na huyu kaka and right from the word go i knew he was bad news ila i have always had a thing for "bad boys", huwa niko attracted to such. Basi one thing led to another and all was beautiful & dreamy, everything i would have imagined about him came true. He gave me 6 good months of nothing but pleasure & heaven on earth (hihihihihiii). Anyways to cut the long story short, nikaja gundua i was 2 weeks pregnant surprisingly i was at peace with myself. Right from the word go i knew i wanted to have this baby and one thing i was certain about was that there was no way i was getting this dude involved. So taratibu i started cutting him loose, nikaanza punguza mawasiliano, akitaka tuonane mm nampiga chenga. Kuna kipindi akawa anatamani sana tuonane but mm nikawapa natafuta visingizio, luckily tupo mikoa tofauti & didn't have common friends so interaction was minimal.
Nikiwa almost 9 months pregnant nikakutana na ndugu yake kwa bahati mbaya, huyo ndugu yake si akaenda mwambia jamaa. He flew from wherever he was to where i was to come confirm if i was truly pregnant, tena alinifanyia suprise nisijue kama anakuja. We talked a lot that evening, akaniuliza maswali mengi sana & i never gave him the answers he was looking for. Eventually akarudi zake kwao na life likaendelea. He comes to visit whenever he's around & he supports us as a friend na hadi leo hii sijawahi mwambia kama yy ndo baba wa mtoto wangu.
Ukweli ni kwamba i had my reasons for keeping him at bay about my son's father's identity, hiyo ni siri yangu & i believe that God will understand, hopefully my son will come to understand me when he finally grows up enough to comprehend such things.
Being a single parent has been a blessing in disguise, nimepata breakthroughs za ajabu mno katika shughuli zangu & my life has changed for the best. Lifestyle yangu has changed for good & if i had a second chance at life i wouldn't change a thing about it! I am happy & thankful every single day.
Mnisamehe kwa Kiswaglish changu na story ndefu..hihihihiihihhiii... bottom line is i am a proud parent to the most amazing boy under the sun & would forever be grateful to my "bad boy" for giving me such a beautiful baby, by boy is gonna go places, Mungu atupe uzima tu!
Kama mzazi with sincerity anataka kumjua mtoto wake kuna kanuni za kisheria zinazomsupport kwanini asizitumie hizo?kama anajua huyu mwanamke alikuwa na ujauzito wake na mtoto ni wake kwann asidai haki yake?Mama ndo anajua the whole dirty truth behind the whole story kwahio yeye pekee ndo anajua kwann anamzuia mtoto asizoeane na babaake!
Sijajua unachojaribu kunieleza, ila kama ilivyo haki kwa mama kumtambua mtoto wake, vivo hivyo kwa baba. Kama mzazi ana pose threat kwa welfare ya mtoto, zipo restrain order kisheria.
Nachosema mie, baba na mtoto wapewe nao nafasi ya kuamua kama wanahitajiana ama lah.
akushukuru sana nimefunika kombe.....
Mimi ni mjane,nimekuwa single mother,yaani ni kazi kwa kweli wakati mwingine nalia natamani baba yao angekuwepo ila ndo hivyo,kulea watoto peke yako ni pasua kichwa.sitaki mwanaume tena maishani mwangu naogopa atachukua nafasi ya wanangu.Mungu anisaidie kwa kweli naamini wanangu watakua na kuwa history maker katika hiii dunia
Unajua kuna baadhi ya makabila binti akipata ujauzito ni lazima aonyeshe wazazi alompa mimba...atake asitake...
Sasa nimeanza kuelewa...
Wadada wengi wanatumia hasira kufanya maamuzi makubwa...
Bila intervention ya familia yaweza kuwa balaa baadae...
Yaani utasema baba wa mtoto ni nani...hata kama mimba kaikataa...
Na inapswa tufahamu wanaume wengi sana ni rahisi kukana mimba...lakini ni sababu ya woga...haina maana atakataa mtoto wake forever...
Tuwape muda ...akili ikikomaa watakumbuka watoto wao...
Nina shemeji yangu alizaa na binti jirani yao...
Akakana kuwa mimba si yake..
Mama mkwe wangu akamfuata yule binti na wazazi wake, akawaambia tulieni; mtoto akizaliwa kama ni wa mwanangu nitajua...na niko tayari kumlea...
Kweli mtot kazaliwa carbon copy...
Mama mkwe kamchukua akiwa na 1.5 years kamlea mwenyewe maana mama wa mtoto alipata bwana akaolewa...
Sasa hivi shemeji yangu humwambii kitu kuhusu huyu first born wake...
Mama mkwe anamtaniaga jinsi alivyokaataa kuwa mimba si yake...
Kilichofanya akatae ni kwa kuwa hakuwa na kazi, alikuwa first year UD; sasa akafikiria ndoa ya mkeka akaona isiwe shida...mimba si yangu...
In all fairness ni haki ya msingi ya mtoto kumjua mzazi wake. Kumnyima haki hiyo ni ubinafsi tu. Sijui sheria za nchi kuhusu hili lakini sidhani kama kuna sababu inaweza kumfanya mtu kuzuiwa kumfahamu mzazi wake.Hivi wewe leo aje kijana ana miaka 15, out of blue anakwambia wewe ni baba yake, ni kwamba ulipokonywa taarifa ya kuwa umetia mimba mahali utajisiakiaje? Nini kita compasate muda mliopotezewa wa kufahamiana.
Tuwaache watu waandike historia zao, sio sie tuwaandikie.
so sad.... thats y I promised my self sintakaa nimuache mtoto wangu alelewe na single parent..........by the way huyo kubwa jinga mpotezee tuuu hana msaada wowote sanasana ukijaribu kumtafuta atazidi kukuumiza na kukudharua onyesha kama hana msaada wowote kwenye maisha yako
I speak through experience (nililelewa na mana tuu)huyu kubwa jinga they call him my dad pu.mbavu zake alimuachisha mama masomo mzumbe university (second year) mama akapata kazi benki baadae ikaja sera ya kupunguza watu maofisini mama akapunguzwa lile kubwa jinga likamkimbia and mama had nothing alikuwa ajui aanzie wapi I can't recall asking my lovely mum about that big a.ss ladba nikiwa mdogo sijielewi huyo mwanao akikuwa atazoea tuu na hatakusumbua cha muhimu usionyeshe unamchukia huyo kubwa jinga (mama yangu hajawai kumsema vibaya huyu kiazi) na hata pale alipotaka kuniona hakunizuia
unachotakiwa ni kukubali uhalisia ukiendelea kuukataa utaumia sana na utapoteza muda wako kwenye vitu visivyo na maana yoyote jipange kumlea mwanao kwa nguvu zako zote sometimes we (children) are stubborn lakini usife moyo jitahidi kumpatia mwanao kila kitu asihisi utofauti wowote (my lovely mum gave me everything I needed)
mama hakuniambia ni kwanini huyu pi.mbi alisepa hata hivyo wala sitaki kujua lakini alishawai kuniambia "alikuacha ukiwa na miaka mitano" dada yangu hawa mbuzi hawabadiliki kama mtu alikana kiumbe chake usitegemee ipo siku ata jirekebisha remember I speak through experience huyu big a.s.s alikuja kunitafuta nikiwa 20 years nilimpa golden chance yule mzee a tegeneze makosa yake (wanasema watoto tulioleewa na mama tuu tuna huruma sana)hakuonyesha kujali alishindwa hata kumpokea kijiti my lovely mum kunisomesha na uwezo anao nikambull shit tupa kule nimekuwa na maisha yangu na vijisenti vimeanza kuja kanajipendekeza ipo siku nitamtoa miguu....
good newz ni kuwa watoto walio lelewa na single mum wana bahati sana most of them they achieve very well in life (obama & co hata viongozi wengi wa taifa hili walilelewa na single mom)
.......hope u will get something. .........
Wengine Mola wetu alitupatia mtihani mkubwa,,, kwa uwezo wake Allah maisha yanasonga,, na watoto wanasoma Alhamdulillah japo wanakosa guidance ya mama... Halaumiwi aliye juu ya kila kitu ila it is real hard
athante kilaza,ila ulijipa hili jina kwa nini wakati naamini unaakili mingimingi tu?unaona unatukanwa?
But miss Kim's story is different. Kamnyima Baba haki ya kumfahamu mtoto wake. Hata ujauzito alimficha. Do you think its fair? Kwa nini basi aamue kuzaa nae?Kama mzazi with sincerity anataka kumjua mtoto wake kuna kanuni za kisheria zinazomsupport kwanini asizitumie hizo?kama anajua huyu mwanamke alikuwa na ujauzito wake na mtoto ni wake kwann asidai haki yake?Mama ndo anajua the whole dirty truth behind the whole story kwahio yeye pekee ndo anajua kwann anamzuia mtoto asizoeane na babaake!
Hili inabidi alijibu Miss Kim!Na mimi sijui kwanini amechukua maamuzi yake na kama nilielewa alisema sehemu alipata ujauzito accidentally!!But miss Kim's story is different. Kamnyima Baba haki ya kumfahamu mtoto wake. Hata ujauzito alimficha. Do you think its fair? Kwa nini basi aamue kuzaa nae?
mkuu hatuishi kwa kukariri na huwa binadamu tunatumia vichwa vyetu kufikiri sio kufugia nywele tuu kama wewe unavyofanya
nimeandika hiyo post kwakuwa nimeguswa na koment ya dada yangu aliyekanwa na mume (sitakagi kuliongelea hilo )
binadamu walinielewa (eli 79. zamda .Nandera. and e.t.c) lakini
mbuzi ndio wanaotaka nirudierudie hapa
kwanza nikuonye put my mama out of this she is a genius of her own kind ni msomi ni mrembo na ni mrembo kwelikweli sikui alitoka wapi na yule taira (wanasemaga ndege mjanja ananasa tundu bovu) na amenilelea vizuri kuliko hata ulivyolelewa wewe trust me
mama yangu hajawai kuniambia lolote kuhusu huyu kiazi boya mbuzi kende pi.mbi big fat a.s.s becoz I ddnt show any interest naye wala sijawai kumuulizia na wala sitaki kuuliza mimi ni mtu mzima hata kama walikuwa na ugomvi wao hasira yake ndio anihamishie mimi???????
Tunapiga stori nyingi sana za utotoni nilivyokuwa mtundu n.k hata nilivyoanza kutongoza videmu alikuwa ananishauri vizuri tu bila aibu nakumbuka alikuwa ananiambia
"lets talk like friends nasio kama mtu na mama yake "
elimu aliyonipa ni zaidi ya chuo kikuu
nilichogundua ni kuwa wewe ulimtelekeza mtoto hivyo unaogopa asije akawa na akili kama zangu
hapo kwenye blue
ngoja nikutajie wachache
bill Clinton. 50 cent .mariah carey . B.I.G .p diddy.Armstrong. Tom cruz.jammie fox .jay z .Enrique. jet lee .madonna.Eddie Murphy. Obama. Ronaldhinho.Tupac.kanye west.e.t.c
umeona eeeeehhhh....
I am proudly a single parent and i have never regretted my decision to become one. Actually becoming a mother has been one of my greatest achievements so far. Waking up each morning besides my beautiful baby is a true blessing and i always thank God for this beautiful opportunity to be called a mother.
Just to recap a bit about my past.....nakumbuka ilikua mkwa 2010 nilipokutana na huyu kaka and right from the word go i knew he was bad news ila i have always had a thing for "bad boys", huwa niko attracted to such. Basi one thing led to another and all was beautiful & dreamy, everything i would have imagined about him came true. He gave me 6 good months of nothing but pleasure & heaven on earth (hihihihihiii). Anyways to cut the long story short, nikaja gundua i was 2 weeks pregnant surprisingly i was at peace with myself. Right from the word go i knew i wanted to have this baby and one thing i was certain about was that there was no way i was getting this dude involved. So taratibu i started cutting him loose, nikaanza punguza mawasiliano, akitaka tuonane mm nampiga chenga. Kuna kipindi akawa anatamani sana tuonane but mm nikawapa natafuta visingizio, luckily tupo mikoa tofauti & didn't have common friends so interaction was minimal.
Nikiwa almost 9 months pregnant nikakutana na ndugu yake kwa bahati mbaya, huyo ndugu yake si akaenda mwambia jamaa. He flew from wherever he was to where i was to come confirm if i was truly pregnant, tena alinifanyia suprise nisijue kama anakuja. We talked a lot that evening, akaniuliza maswali mengi sana & i never gave him the answers he was looking for. Eventually akarudi zake kwao na life likaendelea. He comes to visit whenever he's around & he supports us as a friend na hadi leo hii sijawahi mwambia kama yy ndo baba wa mtoto wangu.
Ukweli ni kwamba i had my reasons for keeping him at bay about my son's father's identity, hiyo ni siri yangu & i believe that God will understand, hopefully my son will come to understand me when he finally grows up enough to comprehend such things.
Being a single parent has been a blessing in disguise, nimepata breakthroughs za ajabu mno katika shughuli zangu & my life has changed for the best. Lifestyle yangu has changed for good & if i had a second chance at life i wouldn't change a thing about it! I am happy & thankful every single day.
Mnisamehe kwa Kiswaglish changu na story ndefu..hihihihiihihhiii... bottom line is i am a proud parent to the most amazing boy under the sun & would forever be grateful to my "bad boy" for giving me such a beautiful baby, by boy is gonna go places, Mungu atupe uzima tu!
Sio uwongo nafsi zinawasuta kiukweli.