MarianaTrench
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,212
- 942
Ha ha ha haHalafu wana shuhuda za kushangaza kweli eti kuna binti alifanikiwa kupata mchumba hapo kanisani kwa kula makombo ya kuhani na mwingine aliponywa meno
Mshana unawasingizia.
Ha ha ha haHalafu wana shuhuda za kushangaza kweli eti kuna binti alifanikiwa kupata mchumba hapo kanisani kwa kula makombo ya kuhani na mwingine aliponywa meno
Wewe nitakupiga aisee... nimecheka mbele ya watu wanaoniheshimu.Hiyo siku nimekaa mahali napiga bia zangu wakapita wanajadiliana eti mmoja anamwambia mwenzie Jana umeme ulikatika ile anaanza kusali, babaaa.... Umeme hapo hapo ukarudi..nilichke sana
Na wanadai hakuna mchana na usiku kuna majira ya mchana ambayo huanza kumi na mbili asubuhi mpaka kumi na mbili jioni na majira ya nuruni kuanzia saa moja usikukwao wiki inaanza alhamisi
Ningekuwa Rais wa Tanzania, ningeyafunga na viongozi wangepelekwa nanii ili wa pone.Ila jama katika majipu naona na Viongozi wetu wangeanzia humu kwenye haya makanisa yaliyochipukia sasa ule uhuru wa kuabudu naona umevuka mipaka kuna mambo ya ajabu sana humu mtu tooka asubuhi mpaka jioni sijui mikesha mwanzo mwisho hizo kazi huwa wanafanya saa ngapi alafu useme maisha magumu
Mbona sikuelewi ...WAKUU WA NJIA ni akina nani?Wana bifu sababu ya hela.KANISA (Mke wa marehemu Eliya kizazi cha nne) anataka kuwapanda kichwani kina MIAKA 1000(Ambaye Eliya alimkabidhi huduma).Sasa WAKUU WA NJIA hawamkubali MIAKA 1000,wameenda kumchoma kwa KANISA.KANISA amepata kiburi akazira kusali hapo makao makuu mbezi.
Kumbe ulisikia
Pia wanabadili jina la ubini mf. mshana kuhani badala ya mshana Jr:Dini ya leo ni biashara inayolipa sana na kila mwenye uelewa kidogo wa theolojia hutaka kuanzisha kanisa lake
Kuna baadhi licha ya pesa Kuna mambo ya siri wanafanya au wana taratibu zao zenye kuacha maswali mengi
Hivi karibuni nilikutana na mwamimi aliyekimbia kanisa la Sialom mkoani pwani akanihadithia mengi ya kushangaza
-kwao majina si kama haya yetu bali majina yao ni kama haya..Siku yake!Ahadi!Agano! Kimbilio! Jaribu nk nk
-Chakula kwao wanaita karamu
-Maji yanaitwa damu yake
-wakipigiwa simu hawataji eneo husika bali wanasema wako mlima wa moto ili adui asijue uko wapi
-Wanaamini makombo ni tiba (makombo ya Chakula wanakula makuhani wao )
-viongozi wao wanajulikana kwa jina la makuhani
-ibada zao huanza saa sita alfajiri kwa kughani maneno ya kujirudiarudia tena kwa sauti ya juu (kupayuka)
-nguo zao ni suruari fupi nyeupe na kanzu
Maisha yao kwa sehemu kubwa wanategemea malipo kwa wale wanaokuja kuponywa kanisani
Hii ni imani lakini ni vema ukaamini kitu kisicho na ukakasi...muumini huyu amefanikiwa kukimbia na sasa yuko huru
Ndugu yangu ukisema hamna lolote unakosea. Kwa taarifa yako haya yote ni mpango wa Mungu. Mungu anao uwezo wa kufanya watu wote kuwa kitu kimoja lakini hakutaka iwe hivyo. Ndiyo maana Yesu alitamka bayana kwamba "sikuja kuleta amani bali mafarakano", akiwa na maana wapo watakao muamini na watakao mkataa na kutokana na hilo watu watafarakana. Siku ya pentekost Roho Mtakatifu aliwashukia wale tu waliokuwa wakisali pamoja na wanafunzi wa Yesu si kwa watu wote na ndio ulikuwa mwanzo wa kanisa. Ni vizuri kuamini katika Roho Mtakatifu lakini si vyema kusema wasio amini katika hilo ni hamna lolote. Ukifanya hivyo tofauti yako na wale wa IS (dola la kiislam) hamna tofauti, sema tu hujapata silaha. Nakushauri simamia imani yako. Waweza kuangalia bila kukashifu imani ya mwingine usije kuwa chanzo cha vita ya dini. Tumsifu Yesu Kristu!Hamna lolote hili dhehebu ni tatizo Mimi nilishtuka na kuogopa waliponiambia kwamba shetani alishauwawa na huyo mwazilishi wao Elia. Bila maono ya Roho Mtakatifu wengi wataangamia.
hii lugha...ni hatari....mkuu wa njia...mara kichwa...mara...nuru.....Mbona sikuelewi ...WAKUU WA NJIA ni akina nani?
Pole sana. Chukueni hatua haraka, bila hivyo mtampoteza![]()
Mama yangu Amefika hatua hii
Kisahawaruhusiwi kwenda hospitali
Wale wa ngoma eti wanaombewa. Ningekuwa na mamlaka ningefutilia mbali hizi ajira binafsi.Ukiumwa hakuna kwenda hospitali, ni maombi tu.
Asee kazi kwelikweli
Ishia hapohapo wewe usiye heshimu imani za watu. Imani tumeletewa na watu wa mataifa, sie tulikuwa tunaabudu mizimu. Heshimu imani ya mtu, hata kama mtu anaabudu shimo la choo elewa ndiko imani yake ilikolalia we heshimu tu hutapungukiwa na kituHa ha ha mkuu mshana jr, shika neno.....
Watu wanaojiita wakristo ni wapumbavu sijawahi ona
Nimecheka sana, daahHatari sana,kuna jirani yetu mkewe kaingia kwenye hiyo dini.
Kwa sasa anamuita mumewe kichwa.
namnukuu...jamani mmekutana na kichwa changu leo.?...
miss natafuta dili hiloahahhhh