Hawa jamaa nimewavulia kofia.yule mtume wao aliyekufa walikuwa wanamuita yesu wa kizazi cha NNE.Hahahahaha
Hata huku kwetu Mwanza wapo,yaani akiamua kusema kuja,anairudia mpaka ahakikishe sauti yake inazidi jogoo wote wanaowikaDini ya leo ni biashara inayolipa sana na kila mwenye uelewa kidogo wa theolojia hutaka kuanzisha kanisa lake
Kuna baadhi licha ya pesa Kuna mambo ya siri wanafanya au wana taratibu zao zenye kuacha maswali mengi
Hivi karibuni nilikutana na mwamimi aliyekimbia kanisa la Sialom mkoani pwani akanihadithia mengi ya kushangaza
-kwao majina si kama haya yetu bali majina yao ni kama haya..Siku yake!Ahadi!Agano! Kimbilio! Jaribu nk nk
-Chakula kwao wanaita karamu
-Maji yanaitwa damu yake
-wakipigiwa simu hawataji eneo husika bali wanasema wako mlima wa moto ili adui asijue uko wapi
-Wanaamini makombo ni tiba (makombo ya Chakula wanakula makuhani wao )
-viongozi wao wanajulikana kwa jina la makuhani
-ibada zao huanza saa sita alfajiri kwa kughani maneno ya kujirudiarudia tena kwa sauti ya juu (kupayuka)
-nguo zao ni suruari fupi nyeupe na kanzu
Maisha yao kwa sehemu kubwa wanategemea malipo kwa wale wanaokuja kuponywa kanisani
Hii ni imani lakini ni vema ukaamini kitu kisicho na ukakasi...muumini huyu amefanikiwa kukimbia na sasa yuko huru
Wana hela chafu.ni magari ya kanisa.kweli acha wafu wazikane.Kuuumbe,nashukuru nimejua,hao watu wamekuja kujenga kanisa lao hapa ila halina msalaba wala nn na hata jina majirani hatujui ila tunawajua kwa mavazi yao meupe,basi.na wanafijo hao na magari nahisi kila muumini ana gari
Shika neno tenda neno mtumishi, ukiwa wa imani tofauti hata salamu hupati na wanaoana wao kwa wao, ukimtaka mtumishi lazima ukasali kanisani kwake na uvae kanzu/gauni jeupe na ushinde kanisani siku nzima




Kiukweli mimi juzi nililala mahali karibu na kanisa lao kuna kipindi neno moja likitamkwa mpaka inakuwa kama teja yule wa kariakoo kariakoo kariakoo wakati huo gari ishafika magomeniHata huku kwetu Mwanza wapo,yaani akiamua kusema kuja,anairudia mpaka ahakikishe sauti yake inazidi jogoo wote wanaowika
Mmh jirani yangu kumbeHawa wapo pia Mbezi beach makonde, yaani ni shida asee! majirani hatulali
Haikuwa kwa mchepuko huko? Ni imagination tu uko kwa mchepuko alafu usiku mzima ni maombi yanaendele.Kiukweli mimi juzi nililala mahali karibu na kanisa lao kuna kipindi neno moja likitamkwa mpaka inakuwa kama teja yule wa kariakoo kariakoo kariakoo wakati huo gari ishafika magomeni
Nadhani hawana kazi za kufanya alafu ukiwaona watu na heshima zao wengi ni wanawakeHawana kazi sijui?
Na kuwatumia visivyo
Chakaza banaHivi mshana haya makanisa kabla ya kuanza si yanasajiliwa kisheria kwanza? Sasa hakuna hata bodi ya kuchunguza mwenendo wa waanzisha kanisa na itikadi zao kabla ya usajili?
Maana sasa huko tuendako usije kuta mtu anaibuka na kuanzisha mshana jr Jamiiforums ministries kisha unakutana na taratibu za ili uombewe lazima ule viboko hamsa wa ishirini na kutoa kipozeo cha laki kwa noti za elfumojamoja

hawa tenda neno shika neno wako mbezi ya kimara pia ni shida.Umesahau huwa wananawishwa miguu na kufutwa miguu wallah hizi ni nyakati za mwisho kisa cha kuambikizana mifangasi nini Tenda Neno shika Neno
Hahahahahaha nimecheka kwa sauti hadi watu wananishangaaHatari sana,kuna jirani yetu mkewe kaingia kwenye hiyo dini.
Kwa sasa anamuita mumewe kichwa.
namnukuu...jamani mmekutana na kichwa changu leo.?...
Mbezi beachhawa tenda neno shika neno wako mbezi ya kimara pia ni shida.