Sinagogi hili la Siloam Ministries

Sinagogi hili la Siloam Ministries

Si ndio kanisa analosali pididy wa JF?

Alipokufa Munuo alileta taarifa huku kuwa Nabii wao amepaa mbinguni
Ila munuo.alikuwa na nguvu za ajabu sana.aliwezaje kuwamiliki watu akili zao kiasi hiki?alafu kafa ghafla tu.kiufupi jamaa alikuwa ni free Mason.
 
Ishia hapohapo mpumbavu ni wewe usiye heshimu imani za watu. Imani tumeletewa na watu wa mataifa, sie tulikuwa tunaabudu mizimu. Heshimu imani ya mtu, hata kama mtu anaabudu shimo la choo elewa ndiko imani yake ilikolalia we heshimu tu hutapungukiwa na kitu
Shikaneno
 
Gari wao wanaita farasi, kimbembe sasa ni kwny majina ya mikoa...... yani yote imebadilishwa majina wametunga ya kwao tu, halafu hawa jamaa c ndo kiongozi wao alikufaga kwa tetenus wao wanang'ang'aina kutuaminisha eti alipaa mbinguni
Kupaa mchezo.wamezika kwake mapinga bagamoyo.
 
Wanaitwa Shalomu nakumbuka hata uwanja wa Kanisa wakiuziwa na Mzee Kishimbo hapo Mbezi.
Mzee aliuza kiasi wakamteka akawa msirika wao ila baada ya muda akasukuma pote saaa hizi nasikia anaishi Wazzo hill.
Daaah.... Hao jamaaa acha.
 
Na kwenye kiapo chao cha ndoa hakuna neno shida pale mnaposema katika shida na raha ugonjwa na taabu wao ni raha tupu wanadai ukisema ayo mengine ni dhambi unajijengea laana mwenyewe
Duuuu
 
Mke wangu akifiwa na baba yake mkubwa,tukaenda kuzika. Kumbe alishahamia huko kwenye hilo dhehebu kutoka lutheran. Sasa sisi tunamfahamu kama mzee Tito,kumbe kule keshapewa jina jingine la UFAHAMU. Nilichoka. Wana mambo ya ajabu sijawahi kuona. Niliapa kukitokea msiba mwingine nyumba hiyo na wanaozika ni hao siloam sikanyagi. Bora ndoa ivunjike.
 
Wana bifu sababu ya hela.KANISA (Mke wa marehemu Eliya kizazi cha nne) anataka kuwapanda kichwani kina MIAKA 1000(Ambaye Eliya alimkabidhi huduma).Sasa WAKUU WA NJIA hawamkubali MIAKA 1000,wameenda kumchoma kwa KANISA.KANISA amepata kiburi akazira kusali hapo makao makuu mbezi.
 
Siloam Church ni believers ambao wana ufahamu mkubwa sana, hoja za mtoa mada ni dhaifu. Pilipili ziko shambani, wewe zinakuwashia nini?
 
ukikosa akili kwenye mambo ya imani utachezewa sana,yaani wakisha ona umekua mbumbumbu wa kutosha,ndo utafanyiwa kila kitu kibaya,kuna mama nigeria alikuwa anakanyagwa hadi sehem za siri eti atapata mtoto,wengine wamemwagiwa spray ya dawa ya mende wengine wamelala chini alafu mtumishi wao anapita juu yao na kuwakanyaga,wengi wamekufa kwa kukataa tiba nk,ni shida sana kwa kweli
 
Na wanadai hakuna mchana na usiku kuna majira ya mchana ambayo huanza kumi na mbili asubuhi mpaka kumi na mbili jioni na majira ya nuruni kuanzia saa moja usiku
 
5c59d71f254c8430e4e2a0a0fd2026fe.jpg

Mama yangu Amefika hatua hii
Kisahawaruhusiwi kwenda hospitali
Mh pole sana na hizo drip mikononi?
 
Back
Top Bottom