Sinagogi hili la Siloam Ministries

Sinagogi hili la Siloam Ministries

Hahaa kuna kanisa lingine nasikia ukiwa na watoto wa kuwazaa inabidi uwakane unapewa watoto wa kiroho ambao unawakuta mle kanisani hao ndio wanakuwa wa kwako unawalea unawasomesha yaani huku ndipo laana zinapoanzia ndio maana hatupati mvua
Hivi ile resach ya moja ya nne tulielewa vibaya ulikuwa kati ya wanne watatu sio wazima pyuuuuui akili za kusomewa biblia Mimi siwezi
 
Kughani maneno kwa kurudiarudia ni moja ya techiques za mind control.hao wanawafanya waumini wao kuwa mazombi
 
Hahaa kuna kanisa lingine nasikia ukiwa na watoto wa kuwazaa inabidi uwakane unapewa watoto wa kiroho ambao unawakuta mle kanisani hao ndio wanakuwa wa kwako unawalea unawasomesha yaani huku ndipo laana zinapoanzia ndio maana hatupati mvua
ahaaaa wapi huko tena
 
Hivi ile resach ya moja ya nne tulielewa vibaya ulikuwa kati ya wanne watatu sio wazima pyuuuuui akili za kusomewa biblia Mimi siwezi
Kusomewa Biblia kivipi embu dadavua hapo nati zangu hazijashika vyema ulikuwa unamaanisha?
 
Kitanda wanaita madhabahu kuna jamaa tulikua tunakaa nae room moja anasali hilo kanisa,sasa one time akawa anaongea na demu wake kwenye simu akamwambia demu " mi niko madhabahuni" yaani kitandani.
Zanzibar wanaita kaanani, kuna siku jamaa akapata safari ya kwenda Zenji akawa anatuaga " jamani mi naenda kaanani" Dah! tulichoka.
Jina la jamaa sasa WISDOM GOD OF MERCY
ahaaa mkuu umenisababisha nimecheka hadi boss kanifuma
 
Hahaa kuna kanisa lingine nasikia ukiwa na watoto wa kuwazaa inabidi uwakane unapewa watoto wa kiroho ambao unawakuta mle kanisani hao ndio wanakuwa wa kwako unawalea unawasomesha yaani huku ndipo laana zinapoanzia ndio maana hatupati mvua
Kumbe unasikia na huna uhakika wowote,
Kwahiyo unatema hisia zako tu??
 
Wanakera kweli kuna jirani yangu hapa yaani usiku kucha ni kusali tu kwa kupokezana alafu kwa nguvu kweli
 
Ila munuo.alikuwa na nguvu za ajabu sana.aliwezaje kuwamiliki watu akili zao kiasi hiki?alafu kafa ghafla tu.kiufupi jamaa alikuwa ni free Mason.
Hakufa ghafla mkuu.

Alichomwa na msumari mkononi,akapata tetenas,badala ya kwenda hospitali akawa anaombewa na wafuasi wake,akafa,wakamweka kanisani siku tatu wakipiga maombi ili afufuke holaaaa,wakaamua kumzika.

Siku aliyozikwa ni ile siku jua lilikuwa na pete(kwa mujibu wa jiografia) basi wafuasi wake wakaamini like jua ni malaika wamempokea nabii mbinguni.

Ni sheeeeeeder.
 
Kuna kikanisa mtaani kwetu..kuanzia jtatu mpk jtatu kanisa liko on firee kuanzia asubuhi wanatumia vipaza sauti na spika kubwa...ukipita unakuta ni watu wawili au watatu tu..ss najiulizaga kazi ya kipaza sauti ni nini..km mko wawili si mnahubiriana na kuimba kwa sauti ya kawaida tu mnasikilizana..
microphone tesT
 
Mshana jr Hembu kama unaelewa utupe historia kidogo eti lile hekalu pale nyuma ya petrol station ya pale kinondoni Morocco huwa wanasali watu gani na siku gani na ibada zao zipoje unaruhusiwa kwenda mtu yeyote au kwa watu maalum na huwa linaitwaje
nyuma ya yard flan hv!!
 
Back
Top Bottom