Mwamposa aibuka na kumtetea TB Joshua

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,566
Mwamposa anadai waliotoa tuhuma kuhusu TB Joshua ni wale waliowahi kufukuzwa kwenye kanisa hilo. Kama wangetaka kujua ukweli wangefuata watoto wa TB Joshua.

Anaongeza kuwa, hata mtu atakayefukuzwa katika kanisa lake la Rise and Shine hawezi kusema mazuri kuhusu kanisa lake baada ya kufukuzwa.

Aidha, Mwamposa anahoji kwanini shutuma dhidi ya TB Joshua zimeibuka baada ya kifo chake?

Pia soma:
- Mwamposa ni kopi halisi ya mwendazake TB Joshua

- Uchunguzi: TB Joshua aliwanyanyasa na kuwabaka wafuasi wake
 
“Waliofukuzwa”
”Atakaefukuzwa”


Kwanini kufukuzwa,nimefanya nini hadi mimi muumini unifukuze/mnifukuze?huyo hao wajinga wajinga anaowadumaza akili sijui amewaroga kwa uchawi wa wapi maana watu wazima vitu vinafanyika kabisa kwa style ya kisanii but hawaelewi.
 
Back
Top Bottom