Hilo nalo neno. Inaitwa conflict of interest. Lakini Marando kama wakili hakuwa na mahusiano yeyote ya karibu na watuhumiwa ambayo yangeleta mgongano wa kimaslahi na kwa hiyo anao wajibu kisheria kuwatetea.siku moja nilimsikia prof Safari, akimkatalia jamaa mmoja aliyekuwa na kesi akituhumiwa kutumia jina la Marehemu DR OMARY ALLY JUMA kutapeli mamilioni hapa mjini. Prof Safari aliitikia wito wa yule bwana, alipoelezewa kuwa wakili wa yule bwana, nilimsikia akimjibu yule bwana , kama ni kesi hii ,mimi naheshimiana saana na marehemu DR OMARY ALLY JUMA, utanisamehe siwezi kufanya kazi hiyo. tafuta wakili mwingine. Profesa SAFARI alionyesha weledi.
Nimeshangazwa sana na shutuma za Marando juu yangu binafsi, Mwakyembe na Mzee Samweli Sitta.. Shutuma hizi zimenukuliwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari likiwemo gazeti la TanzaniaDaima..alidai kabla ya kusema kuwa wengine wana kadi zaidi ya moja ya vyama tujiangalie. Sitawajibia kina Mwakyembe na Mzee Sitta lakini nitasema kidogo ninavyomfahamu Mzee wangu sana Marando. HILI LA MIEKUMILIKI KADI YA CHAMA ZAIDI YA KIMOJA SI WIMBO MPYA NI LA SIKU NYINGI, LAKINI NI LA KIPUUZI MAANA HATA NILIPOWAAMBIA WATOE USHAHIDI HATA WA KUSHIRIKI TU VIKAO VYA CCJ NITAJIUZULU HAWAKUWEZA MPAKA LEO WAKAISHIA KIGA KELELE BARABARANI BILA USHAHIDI..KWAHIYO HILI NI LA KIPUUZI.
NI MARANDO HUYU ANAYEWATETEA WATUHUMIWA WA KESI ZA EPA, MAHAKAMANI ANAWATETEA, JUKWAANI ANADAI NI MAFISADI NI MPAKA ALIPOTAKIWA KUJIELEZA NA BABAANGU JEETU PATEL, NI KWA KIASI GANI AENDELEE KUAMINIWA KUWA WAKILI WAKE WAKATI AMESHAMUHUKUMU KWENYE MAJUKWAA YA KISIASA KUWA YEYE NI FISADI, MASIKINI MARANDO KWA UNYENYEKEVU NA UANAFIKI WA HALI YA JUU KABISA AKAAANDIKA KWA MKONO WAKE KUWA, MANENO ALIYOYASEMA KUWA MIMI NAPE NIMEKULA PESA ZA EPA KUTOKA KWA JEETU YALIKUWA YAKISIASA NA KWAMBA ALISHINIKIZWA NA CHAMA CHAKE KUYASEMA..KWAMBA ETI ALIKUTA WAMESHAANDIKA ILE STORI YA KUTUNGA NA YEYE AKATAKIWA KUISOMA KAMA ILIVYO...HATA ALIPOWAKATALIA ALILAZIMISHWA KUYASEMA YALE... NAYE KWA UNAFIKI MKUBWA AKAKAA MBELE YA WAANDISHI WA HABARI NA KUROPOKA KUWA ETI Nape alikula pesa za EPA!!! Mtu mzima huyu!!!
Namheshimu sana sana Marando lakini anapofanya unafiki ni bora tuseme ili asije akawa mfano mbaya kwa vijana wasiomjua nao wakafuata unafiki wake...akibisha nitakuja na scan ya mawasiliano yake na Jeetu Patel hapa.. Tunaweza kumwamini huyu?
.
Mbona Osoni hiyo iko wazi Nyani kakwambia ethically Mr Marando yuko saa but in Political moral yuko sahihi.Kila mtu anahaki ya kutafuta utetezi kwenye mahakama yoyote duniani endapo ameshitakiwa hata kama aliua.iyo ndiyo ethical ya sheria,lakini moral mtetezi wa Muuaji uenda akakabili na maadili ya utsahi wake toka kwa imani yake au dini yake.Nje ya hapo kila myu ruksa kutetewa hata kama ulikamatwa unazini na mwanao, lakini mbele ya umma [Public] ,una moral obligation lakini linapokuja ethically kisheria unastahiki utetezi kwa mujibu wa ushahid wako dhidi yw watuhumu wako.
Kwa hiyo hakuna tatizo kati ya vitu hivyo viwili,Moral & ethical kama unatambua vina maanisha nini. Morals ina kanuni na imani, wakati Ethics ina kanuni, imani na sheria.
Hivyo akiwa Kama Wakili na Mwanasiasa kitendo cha yeye kuwatetea wezi wa EPA kina picha hizi zifuatazo
1: Kisheria Mahakamani Mzee Marando hana kosa na ni haki yake anatumia Ethics kuendesha shughuri hiyo nzima.Kwa kuwa Watuhumiwa kisheria wana haki hiyo ya kutetewa.
2: Kisiasa jambo hilo hilo ni madhara kwa kuwa ni Moral.Kwa yeye kuwatetea watu ambao watuhumiwa kuibia umma
Kwani amepigwa ban kwa ajili ya kutaja majina?!wangapi wanataja majina humuHajajua kuwa kuwa jf haitaki kutaja taja majina... nimjuavyo laizma atalalamika fb kuwa jf ni ya cdm kisa kamsema malando mtu wa cdm
Nimeshangazwa sana na shutuma za Marando juu yangu binafsi, Mwakyembe na Mzee Samweli Sitta.. Shutuma hizi zimenukuliwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari likiwemo gazeti la TanzaniaDaima..alidai kabla ya kusema kuwa wengine wana kadi zaidi ya moja ya vyama tujiangalie. Sitawajibia kina Mwakyembe na Mzee Sitta lakini nitasema kidogo ninavyomfahamu Mzee wangu sana Marando. HILI LA MIEKUMILIKI KADI YA CHAMA ZAIDI YA KIMOJA SI WIMBO MPYA NI LA SIKU NYINGI, LAKINI NI LA KIPUUZI MAANA HATA NILIPOWAAMBIA WATOE USHAHIDI HATA WA KUSHIRIKI TU VIKAO VYA CCJ NITAJIUZULU HAWAKUWEZA MPAKA LEO WAKAISHIA KIGA KELELE BARABARANI BILA USHAHIDI..KWAHIYO HILI NI LA KIPUUZI.
NI MARANDO HUYU ANAYEWATETEA WATUHUMIWA WA KESI ZA EPA, MAHAKAMANI ANAWATETEA, JUKWAANI ANADAI NI MAFISADI NI MPAKA ALIPOTAKIWA KUJIELEZA NA BABAANGU JEETU PATEL, NI KWA KIASI GANI AENDELEE KUAMINIWA KUWA WAKILI WAKE WAKATI AMESHAMUHUKUMU KWENYE MAJUKWAA YA KISIASA KUWA YEYE NI FISADI, MASIKINI MARANDO KWA UNYENYEKEVU NA UANAFIKI WA HALI YA JUU KABISA AKAAANDIKA KWA MKONO WAKE KUWA, MANENO ALIYOYASEMA KUWA MIMI NAPE NIMEKULA PESA ZA EPA KUTOKA KWA JEETU YALIKUWA YAKISIASA NA KWAMBA ALISHINIKIZWA NA CHAMA CHAKE KUYASEMA..KWAMBA ETI ALIKUTA WAMESHAANDIKA ILE STORI YA KUTUNGA NA YEYE AKATAKIWA KUISOMA KAMA ILIVYO...HATA ALIPOWAKATALIA ALILAZIMISHWA KUYASEMA YALE... NAYE KWA UNAFIKI MKUBWA AKAKAA MBELE YA WAANDISHI WA HABARI NA KUROPOKA KUWA ETI Nape alikula pesa za EPA!!! Mtu mzima huyu!!!
Namheshimu sana sana Marando lakini anapofanya unafiki ni bora tuseme ili asije akawa mfano mbaya kwa vijana wasiomjua nao wakafuata unafiki wake...akibisha nitakuja na scan ya mawasiliano yake na Jeetu Patel hapa.. Tunaweza kumwamini huyu?
kwa hili halihitaji ushahidi,lipo wazi kabisa,hili nalo linatia shaka sana,mpaka sasa badi simwelewi mzee wetu marando,kwa kuwatetea hawa watu walioliangamiza Taifa hili na kuiba mabilioni ya pesa,kwanini anawatetea? inamaana anakubaliana na wizi huo? kwanini asijitoe kama kweli anaipenda Tanzania iliyo huru? nina mengi ya kujiuliza juu ya hili la mzee Marando kuwatetea wazee wa EPADSN,
Swala la Mzee wanguMarando kuwa mtetezi wa watuhumiwa wa EPA Mahakamani na huku jukwaani akiwaita mafisadi LINAHITAJI USHAHIDI?
Kwani amepigwa ban kwa ajili ya kutaja majina?!wangapi wanataja majina humu
QUOTE=Mr Dhaifu;5301139]Kama Jitu ni baba yake kumbe ni mtoto wa Fisadi.
Mimi ni shahidi nilipigwa Ban kwa kutaja majina.Kwa hiyo usimtetee Nape hapa.