Kacharimbe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 216
- 35
HILI LA MIEKUMILIKI KADI YA CHAMA ZAIDI YA KIMOJA SI WIMBO MPYA NI LA SIKU NYINGI, LAKINI NI LA KIPUUZI MAANA HATA NILIPOWAAMBIA WATOE USHAHIDI HATA WA KUSHIRIKI TU VIKAO VYA CCJ NITAJIUZULU HAWAKUWEZA MPAKA LEO WAKAISHIA KIGA KELELE BARABARANI BILA USHAHIDI..KWAHIYO HILI NI LA KIPUUZI.
NI MARANDO HUYU ANAYEWATETEA WATUHUMIWA WA KESI ZA EPA, MAHAKAMANI
Namheshimu sana sana Marando lakini anapofanya unafiki ni bora tuseme ili asije akawa mfano mbaya kwa vijana wasiomjua nao wakafuata unafiki wake...akibisha nitakuja na scan ya mawasiliano yake na Jeetu Patel hapa.. Tunaweza kumwamini huyu?
Bwana Nape, Pamoja na siasa mnazozifanya, haziondoi ukweli kuwa kuna wakubwa na wadogo. Kwa age yako si sahihi kutumia maneno makali kiasi hicho kwa mtu ambaye ni sawa na baba yako. Hayo maneno nilitegemea yatamkwe na Mangula au Kinana. Bwana Nape kumbuka huko CCM wewe ni mwajiriwa tu. Kesho na keshokutwa unaweza kuondoka. USIFIKIRI KUPEWA UENEZI NDO UMEYAMALIZA MAISHA, NO. Ni vizuri ukawa na staha