Simkumbuki Wakili mnafiki kuliko Marando

Simkumbuki Wakili mnafiki kuliko Marando

Mbona mmempa ban Nape ? huku ndiko kunasemwa kutokuwa wavumilivu kusikia pande ya pili. Watu wengine tutahusisha tukio na vile NAPE katishia kuja na scan docs za marando na Jeetu, ban inatafasirika kuwa takitaka ya kuupoza upepo huo ili asimwage ma docs.

WE don't DARE TALK OPENLY...... do you?
 
hata mimi sijawahi kuona kijana mnafiki kama nape, wale anaowaita mafisadi akina lowasa,ndo leo wanamlipa mshahara, kumbuka kuwa watuhumiwa anaowatetea marando siyo wezi wa epa, wezi epa ni aina chenge wewe,deep green,nk.

Bado namkumbuka Nape alivyowakomalia EL na Mzee Makamba kuuza/Kupangisha sehemu ya Jengo la vijana kwa mkataba mchafu wenye halufu ya rushwa 100%..then baada ya saga hilo eti akapewa ukuu wa wilaya na kunyamaza kimya tuliiiiiiiiiiiiii kama mtoto mchanga aliyepewa titi la mama yake, Kikubwa ninachojiuliza hivi hawa watu aina ya Nape huwa wanaamini kabisa kuwa wakimsema vibaya mtu fulani basi watanzania watawaamini kirahisi tu? mbona watu tukienda huko vijijini twaona jinsi watanzania walivyobadilika kiuelewa tofauti na enzi za akina Mzee Nnauye? waTz wa leo wanataka uwaeleze kitu chenye faida au kitakachowapunguzia makali yao kama CDM anavyofanya na sio personal attacks ambazo hazisaidii kuwa kwamua toka ktk uchumi duni walionao, Nape badilika uende na wakati ndipo chama chako kitakapokuona kuwa kweli unasimamia unachokiamini na sio ukigeugeu unaoonyesha bila aibu,
 
kwa hili halihitaji
ushahidi,lipo wazi kabisa,hili nalo linatia shaka sana,mpaka sasa badi
simwelewi mzee wetu marando,kwa kuwatetea hawa watu walioliangamiza
Taifa hili na kuiba mabilioni ya pesa,kwanini anawatetea? inamaana
anakubaliana na wizi huo? kwanini asijitoe kama kweli anaipenda Tanzania
iliyo huru? nina mengi ya kujiuliza juu ya hili la mzee Marando
kuwatetea wazee wa EPA

Yawezekana yakawa ya kama Ben Saanane "ushushushu"....
 
kwa hili halihitaji ushahidi,lipo wazi kabisa,hili nalo linatia shaka sana,mpaka sasa badi simwelewi mzee wetu marando,kwa kuwatetea hawa watu walioliangamiza Taifa hili na kuiba mabilioni ya pesa,kwanini anawatetea? inamaana anakubaliana na wizi huo? kwanini asijitoe kama kweli anaipenda Tanzania iliyo huru? nina mengi ya kujiuliza juu ya hili la mzee Marando kuwatetea wazee wa EPA
Ndugu yangu engmtolera hizi ni mwendelezo wa hoja hoja kipuuzi toka kwa nape.kumbuka MARANDO kama wakili anakuwa yupo kazini na ndiyo ajira yake hiyo,,hivyo kwa vile fisadi anatajwa na watanzania wengi na si marando tu,hivyo kwenye ushahidi marando anapokuwa mtetezi inabidi watanzania akiwemo nape 2najitokeza sasa kumnanga marando kwa ushahidi na si vinginevyo kwa kuwa pale marando anakuwa kazini.hope umenisoma
 
kwa hili halihitaji ushahidi,lipo wazi kabisa,hili nalo linatia shaka sana,mpaka sasa badi simwelewi mzee wetu marando,kwa kuwatetea hawa watu walioliangamiza Taifa hili na kuiba mabilioni ya pesa,kwanini anawatetea? inamaana anakubaliana na wizi huo? kwanini asijitoe kama kweli anaipenda Tanzania iliyo huru? nina mengi ya kujiuliza juu ya hili la mzee Marando kuwatetea wazee wa EPA

Kwanza anza kushangaa JK alivyomtetea Mramba mwenye kesi hadi leo wakati yeye sio wakili
 
Hivi huko chuo kikuu wanasheria wanafundishwa kutetea uongo? ama kupindisha ukweli? na fikiri maana ya sheria ni kutetea haki kutendea haki.
Ukiwa na uhakika kama wewe mwanasheria kuwa jamaa yule kaua, huna haki tena ya kumtetea huyo jamaa kwa msingi kwamba hakuua, wewe kama mwanasheria kimsingi unabidi ukubali jamaa kaua ila unamtetea kwa mambo mengine mfano asiadhibiwe kinyume ama zaidi ya kipimo.

Kumtetea mahakamani kwa kusema jamaa hakuiba harafu ukaenda jukwaani ukasema jamaa ni mwizi, hiyo ni zaidi ya UNAFIKI nawala siyo principal ya wanasheria, kifupi kwa neno jepesi ni UFISADI wa level ya juu kabisa.
 
Hakuna kazi yoyote duniani inayo mtaka mhusika kuwa kigeu geu ama kufanya anachoamini siyo. Tusitake kuidharirisha sheria kama ni hivyo mnaopigania utawala wa sheria ndo hii sheria ya namna hii mnayotaka?

Kwamba serikali itayokuja ya utawala wa sheria itakuwa kwamba hata viongozi wake wakiiba basi wanasheria wa kuu wa serikali hiyo watawatetea kwa nguvu zote. Kuna tofauti gani na waliopo sasa? jogoo yule yule ila kwa kilemba tofauti?
 
Kesho saa tatu kamili kwa Tanzania na Saa kumi kamili jioni Mashariki ya Mbali uliko ndugu Nape Nnauye, MDAHALO utaanza hapa JF,

Vuta subira mkuu, hayo yote huta yasema tena!
 
Kazi ya Uwakili usipokuwa muangalifu.....watu watashindwa kukutofautisha na watuhumiwa unaowatetea
 
Kuhusu unafiki wa Marando ngoja nimtetee kidogo. Marando as a politician anayo haki ya kukemea mafisadi na ufisadi. Marando as a lawyer anao wajibu wa kutetea washtakiwa mahakamani. Sioni unafiki hapo. Ni kama vile daktari aliyekula kiapo cha kutibu kila mgonjwa hata kama mgonjwa huyo alimpiga risasi dada yake.
Sio daktari tuu, huyu Nape alikuwa mstari wa mbele kuelezea UVUAJI GAMBA chamani wa mafisadi. Sasa kimya na anawatetea!!!!!!!!!!
 
Nimeshangazwa sana na shutuma za Marando juu yangu binafsi, Mwakyembe na Mzee Samweli Sitta.. Shutuma hizi zimenukuliwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari likiwemo gazeti la TanzaniaDaima..alidai kabla ya kusema kuwa wengine wana kadi zaidi ya moja ya vyama tujiangalie. Sitawajibia kina Mwakyembe na Mzee Sitta lakini nitasema kidogo ninavyomfahamu Mzee wangu sana Marando. HILI LA MIEKUMILIKI KADI YA CHAMA ZAIDI YA KIMOJA SI WIMBO MPYA NI LA SIKU NYINGI, LAKINI NI LA KIPUUZI MAANA HATA NILIPOWAAMBIA WATOE USHAHIDI HATA WA KUSHIRIKI TU VIKAO VYA CCJ NITAJIUZULU HAWAKUWEZA MPAKA LEO WAKAISHIA KIGA KELELE BARABARANI BILA USHAHIDI..KWAHIYO HILI NI LA KIPUUZI.

NI MARANDO HUYU ANAYEWATETEA WATUHUMIWA WA KESI ZA EPA, MAHAKAMANI ANAWATETEA, JUKWAANI ANADAI NI MAFISADI NI MPAKA ALIPOTAKIWA KUJIELEZA NA BABAANGU JEETU PATEL, NI KWA KIASI GANI AENDELEE KUAMINIWA KUWA WAKILI WAKE WAKATI AMESHAMUHUKUMU KWENYE MAJUKWAA YA KISIASA KUWA YEYE NI FISADI, MASIKINI MARANDO KWA UNYENYEKEVU NA UANAFIKI WA HALI YA JUU KABISA AKAAANDIKA KWA MKONO WAKE KUWA, MANENO ALIYOYASEMA KUWA MIMI NAPE NIMEKULA PESA ZA EPA KUTOKA KWA JEETU YALIKUWA YAKISIASA NA KWAMBA ALISHINIKIZWA NA CHAMA CHAKE KUYASEMA..KWAMBA ETI ALIKUTA WAMESHAANDIKA ILE STORI YA KUTUNGA NA YEYE AKATAKIWA KUISOMA KAMA ILIVYO...HATA ALIPOWAKATALIA ALILAZIMISHWA KUYASEMA YALE... NAYE KWA UNAFIKI MKUBWA AKAKAA MBELE YA WAANDISHI WA HABARI NA KUROPOKA KUWA ETI Nape alikula pesa za EPA!!! Mtu mzima huyu!!!

Namheshimu sana sana Marando lakini anapofanya unafiki ni bora tuseme ili asije akawa mfano mbaya kwa vijana wasiomjua nao wakafuata unafiki wake...akibisha nitakuja na scan ya mawasiliano yake na Jeetu Patel hapa.. Tunaweza kumwamini huyu?

wewe ni kijana uneaiumauma nini? sema hii tabia ya kiccm vijana mnaipata wapi? kuwa ccm ndiyo wotw wazee kwa kijana mnafanana? hakuna unafuu ya kijana na mzee aise mgodongu nape rudi zako CHIUTA kalime
 
Yaani NAPE wewe ndio unasema kuambiwa una kadi mbili ni UPUUZI!!! kama ni UPUUZI kwanini wewe ushadadie kadi 2 za Dr Slaa?!! wewe NAPE UNAPIGA kelel sana sana ukiguswa wewe mwenyewe hapo juu unamwita JEETU BABA YAKO ...wakati huo huo huo unasema Fisadi...ajabu kweli wote wewe na Marando wanafiki...yeye anachummia tumbo na wewe siasa njaa..
 
Kwanza anza kushangaa JK alivyomtetea Mramba mwenye kesi hadi leo wakati yeye sio wakili


hahahahahahahaha
tanzania oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
pigeni pesa watu wa epa,hakuna msafi ktk Tanzania hiii,tusipige tena kelele kama tunawatetea waiba pesa za EPA
 
Kuhusu unafiki wa Marando ngoja nimtetee kidogo. Marando as a politician anayo haki ya kukemea mafisadi na ufisadi. Marando as a lawyer anao wajibu wa kutetea washtakiwa mahakamani. Sioni unafiki hapo. Ni kama vile daktari aliyekula kiapo cha kutibu kila mgonjwa hata kama mgonjwa huyo alimpiga risasi dada yake.

kama sikosei ni kuwa marando anawatetea jamaa then anaenda kwenye majukwaa ya kisiasa anawataja hao hao kama mafisadi ndo maana jitu la pateli likamuuliza kwa nini limwamini.
 
Ndugu yangu engmtolera hizi ni mwendelezo wa hoja hoja kipuuzi toka kwa nape.kumbuka MARANDO kama wakili anakuwa yupo kazini na ndiyo ajira yake hiyo,,hivyo kwa vile fisadi anatajwa na watanzania wengi na si marando tu,hivyo kwenye ushahidi marando anapokuwa mtetezi inabidi watanzania akiwemo nape 2najitokeza sasa kumnanga marando kwa ushahidi na si vinginevyo kwa kuwa pale marando anakuwa kazini.hope umenisoma

nakubaliana na wewe kabisa
mfano jambazi limeingia nyumbani na limeniibia pesa zangu,kesho naenda polisi na kulipoti juu ya wizi huo,na polisi wanapolikamata jambazi hilo na kulipeleka mahakamani,mimi niliye ibiwa naingia mahakamani kulitetea jambazi hilo.Kiukweli nalisema toka moyoni,kwa upande wangu nikiwa mpenda mabadiliko sikuridhishwa na kitendo cha cha mzee wetu marando kuhalamisha halamu na kuitetea,naomba niwe muwazi ktk hili.
 
nakubaliana na wewe kabisa
mfano jambazi limeingia nyumbani na limeniibia pesa zangu,kesho naenda polisi na kulipoti juu ya wizi huo,na polisi wanapolikamata jambazi hilo na kulipeleka mahakamani,mimi niliye ibiwa naingia mahakamani kulitetea jambazi hilo.Kiukweli nalisema toka moyoni,kwa upande wangu nikiwa mpenda mabadiliko sikuridhishwa na kitendo cha cha mzee wetu marando kuhalamisha halamu na kuitetea,naomba niwe muwazi ktk hili.

Utalitetea hilo jambazi kama limekulipa pesa zaidi ya ile pesa ambayo jambazi huyo amekuibia. Ha ha ha hebu iite hiyo hali kwa neno lake halisi.
 
Nape,
Tatizo lako ni kwamba una tendency ya kuanzisha mada halafu tukianza kukuuliza maswali unasepa. Inakuwa vigumu kwa watu makini kuchangia kwa sababu hiyo.

Jasusi, nilishawahi kuuliza inakuwaje ukishakuwa mwanasiasa kichwa kinaenda likizo isiyo na malipo juu ya kufikiria?
 
Yaani NAPE wewe ndio unasema kuambiwa una kadi mbili ni UPUUZI!!! kama ni UPUUZI kwanini wewe ushadadie kadi 2 za Dr Slaa?!! wewe NAPE UNAPIGA kelel sana sana ukiguswa wewe mwenyewe hapo juu unamwita JEETU BABA YAKO ...wakati huo huo huo unasema Fisadi...ajabu kweli wote wewe na Marando wanafiki...yeye anachummia tumbo na wewe siasa njaa..

Labda ndo sababu kapigwa stop, maana alichomnanga nacho Dr Slaa leo amegeuka kukiita upuuzi sijuwi anasimamia wapi!
 
Back
Top Bottom