Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,119
- 136,863
Acha uvivu wa kufikiri ndugu yangu, tofautisha siasa na kazi ya mtu...mbona mawakili hao hao ndio mnawakimbilia pale ndugu zenu wakiwa na kesi nzito kama wizi, rushwa, mauaji.....si muwaache waozee jela......kazi ni kazi na siasa ni siasa
Wewe hujaelewa kabisa.
Huyu Marando kwenye majukwaa ya kisiasa ana wa bash hao mafisadi.
Halafu huyo huyo hao watu anao wa bash kwenye majukwaa ya kisiasa wakimjia kununua huduma zake anakubali kwenda kuwatetea.
Huyo ni mnafiki. There is nothing behind his words. Hana principles.
Mbele ya pesa atamtetea hata mhalifu aliyembaka mama yake.
Marando ni mnafiki, period, end of sentence.