Simkumbuki Wakili mnafiki kuliko Marando

Simkumbuki Wakili mnafiki kuliko Marando

Kuhusu unafiki wa Marando ngoja nimtetee kidogo. Marando as a politician anayo haki ya kukemea mafisadi na ufisadi. Marando as a lawyer anao wajibu wa kutetea washtakiwa mahakamani. Sioni unafiki hapo. Ni kama vile daktari aliyekula kiapo cha kutibu kila mgonjwa hata kama mgonjwa huyo alimpiga risasi dada yake.
siku moja nilimsikia prof Safari, akimkatalia jamaa mmoja aliyekuwa na kesi akituhumiwa kutumia jina la Marehemu DR OMARY ALLY JUMA kutapeli mamilioni hapa mjini. Prof Safari aliitikia wito wa yule bwana, alipoelezewa kuwa wakili wa yule bwana, nilimsikia akimjibu yule bwana , kama ni kesi hii ,mimi naheshimiana saana na marehemu DR OMARY ALLY JUMA, utanisamehe siwezi kufanya kazi hiyo. tafuta wakili mwingine. Profesa SAFARI alionyesha weledi.
 
[h=1]Nnauye Jr
user-offline.png

Banned
verified.png

reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
[/h]
Thread hii imemletea ban.
 
Nape,
Tatizo lako ni kwamba una tendency ya kuanzisha mada halafu tukianza kukuuliza maswali unasepa. Inakuwa vigumu kwa watu makini kuchangia kwa sababu hiyo.

ndio zake huyo !!!! ni popoooooooooooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!11
kigeugeuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!! wapi magamba uliyoyavua ?
 
Nape Jr ndiyo mnafiki namba moja;Samwel Sitta unamuita "Mzee"lkn Dr Slaa ambaye kiumri ni mdogo kwa Samwel Sitta unamuita"kibabu"!

Then ni ww unayetakiwa uthibitishe kama sio mwanachama wa CCJ na wala sio Mabere Maucho Marando!Mbona akina Sitta wapo wazi tu na huwa wanasema kuwa"ni kweli walikuwa wanachama hai wa CCJ na walifuatwa kujiunga na chama hicho kwa sababu ya utumishi wao uliotukuka"

Sidhani kama kuna uongo kama ww hukuwahi kujiunga na CCJ otherwise unless with preponderance of evidence thibitisha kama sio kweli!

Kwani kuna tofauti gani kati ya babu na mzee? teh teh teh
Mzee na fikiri ni neno la jumla kwa mbuzi,kondoo, wanawake, wananume nk. Lakini neno babu ni very specific kwa njisia moja ya binandamu kama ilivyo neno bibi, ajuza nk.

Babu ama bibi kwangu mie halihusiani na umri, bali linahusiana na majanibu husika. Unaweza kuwa na miaka 30 ukaitwa babu ama mzee.
Kwangu mie neno KIKONGWE na KIJANA ndilo lina mahusiano ya moja kwa moja na umri.
Mfano BABU KIKONGWE ama BABU KIJANA.
 
Nimeshangazwa sana na shutuma za Marando juu yangu binafsi, Mwakyembe na Mzee Samweli Sitta.. Shutuma hizi zimenukuliwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari likiwemo gazeti la TanzaniaDaima..alidai kabla ya kusema kuwa wengine wana kadi zaidi ya moja ya vyama tujiangalie. Sitawajibia kina Mwakyembe na Mzee Sitta lakini nitasema kidogo ninavyomfahamu Mzee wangu sana Marando. HILI LA MIEKUMILIKI KADI YA CHAMA ZAIDI YA KIMOJA SI WIMBO MPYA NI LA SIKU NYINGI, LAKINI NI LA KIPUUZI MAANA HATA NILIPOWAAMBIA WATOE USHAHIDI HATA WA KUSHIRIKI TU VIKAO VYA CCJ NITAJIUZULU HAWAKUWEZA MPAKA LEO WAKAISHIA KIGA KELELE BARABARANI BILA USHAHIDI..KWAHIYO HILI NI LA KIPUUZI.

NI MARANDO HUYU ANAYEWATETEA WATUHUMIWA WA KESI ZA EPA, MAHAKAMANI ANAWATETEA, JUKWAANI ANADAI NI MAFISADI NI MPAKA ALIPOTAKIWA KUJIELEZA NA BABAANGU JEETU PATEL, NI KWA KIASI GANI AENDELEE KUAMINIWA KUWA WAKILI WAKE WAKATI AMESHAMUHUKUMU KWENYE MAJUKWAA YA KISIASA KUWA YEYE NI FISADI, MASIKINI MARANDO KWA UNYENYEKEVU NA UANAFIKI WA HALI YA JUU KABISA AKAAANDIKA KWA MKONO WAKE KUWA, MANENO ALIYOYASEMA KUWA MIMI NAPE NIMEKULA PESA ZA EPA KUTOKA KWA JEETU YALIKUWA YAKISIASA NA KWAMBA ALISHINIKIZWA NA CHAMA CHAKE KUYASEMA..KWAMBA ETI ALIKUTA WAMESHAANDIKA ILE STORI YA KUTUNGA NA YEYE AKATAKIWA KUISOMA KAMA ILIVYO...HATA ALIPOWAKATALIA ALILAZIMISHWA KUYASEMA YALE... NAYE KWA UNAFIKI MKUBWA AKAKAA MBELE YA WAANDISHI WA HABARI NA KUROPOKA KUWA ETI Nape alikula pesa za EPA!!! Mtu mzima huyu!!!

Namheshimu sana sana Marando lakini anapofanya unafiki ni bora tuseme ili asije akawa mfano mbaya kwa vijana wasiomjua nao wakafuata unafiki wake...akibisha nitakuja na scan ya mawasiliano yake na Jeetu Patel hapa.. Tunaweza kumwamini huyu?
Ndugu yangu Nape, huu ndiyo wakati wa kurudisha imani kwa vijana walio makini. Weka hiyo scan ya barua tuione. Kama huwezi tumia hata mtu mwingine aje aimwage hapa. Kwani ktk hili inawezekana Marando ni mwanasiasa anapokuwa jukwaani na wakili anapokuwa mahakamani.
 
Ila kwel dunia haina usawa,nape bila hata haya leo unaaongelea unafki?mnafki wa kwanza ni ww na cyo tu ktk swala la ccj ila hata ishu ya magamba..ww c ulipiga vuvuela kw lowassa na mafisad wengine,iko wap leo?
Haha haaaaha hafu kwel bdo ccj iko damun ktk mda wote unaokaa pale lumumba ukiita waandishi unatafta rangi ya njano itokee..au hua unawapa sign pm7
 
Nnauye Jr
user-offline.png

Banned
41135_151424024879019_7019432_n.jpg
verified.png

reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Thread hii imemletea ban.
Hajajua kuwa kuwa jf haitaki kutaja taja majina... nimjuavyo laizma atalalamika fb kuwa jf ni ya cdm kisa kamsema malando mtu wa cdm
 
Wabongo kwa unafiki, sasa hamjui kuwa Marando ni mnafiki? kwa nini anawatetea mafisadi? Hili halina ubishi wala uchama hapa! Au kwa kuwa ni CDM, ondoeni fikra za kipumbavu vichwani mwenu!
 
Hata mimi naamini ni politically incorrect kuwatetea mafisadi wa EPA mahakamani wakati huo huo ukiwalaani majukwaani. Sasa kama mtu kambaka mkeo nawe ni wakili utamtetea mahakamani, simply because ni haki yake kupata legal services kutoka kwa wakili yeyote?
 
Hamjui kwann nape kaboreka na message ya marando! He is automatically dissqualified for the post as pe ccm constitution!
 
Naamini kwa yote yanayotokea ni matokeo ya kumomonyoka kwa maadili ya taifa na viongozi wake kwa ujumla.
Watu wengi hasa wanasiasa wana impact kubwa sana katika taifa letu kwa kuwa wana wafuasi bila kujali kama ni wa upinzani au watawala, kwa kuwa hawafahamu hadhi yao katika jamii wanafanya mambo kama watoto wa shule za chekechea!
Haiingii akilini kwamba jukwaani unamchana mtu kwamba ni mwizi halafu mahakamani ambapo huku ndiko kuna madhara makubwa kijamii kama taaluma yako inaweza kutumika kumsafisha mtu ambaye ki kweli ni mhalifu halafu ukasema unatumikia taaluma hii si sawa hata kidogo.

Na ndio maana haiwezekani mtu kakuibia wewe mwenyewe halafu utegemee kwamba atakuja kuku kodi kama sheria umtetee huu ni lazima tuuite unafiki.
 
Hamjui kwann nape kaboreka na message ya marando! He is automatically dissqualified for the post as pe ccm constitution!
 
Marando na watetezi wa unafiki wake nijibuni swali moja tu na mawakili wengine pia msaidieni mods usiunganishe thread hii pls ili isiwe ya kichama Bali kitaaluma zaidi...

HIVI MARANDO MBAKAJI WA MKEO AU BINTI YAKO AKIJA UKAMTETEE MAHAKAMANI UTAENDA KISA ANAKULIPA NA WEWE NI WAKILI??!!!!
 
Acha kuuliza maswali ya kipuuzi hapa jamvini. Huna kazi ya kufanya? Mngese nini?
 
Marando na watetezi wa
unafiki wake nijibuni swali moja tu na mawakili wengine pia msaidieni
mods usiunganishe thread hii pls ili isiwe ya kichama Bali kitaaluma
zaidi...

HIVI MARANDO MBAKAJI WA MKEO AU BINTI YAKO AKIJA UKAMTETEE MAHAKAMANI
UTAENDA KISA ANAKULIPA NA WEWE NI WAKILI??!!!!

Unaomba huruma ya mods... Mods futeni huu upuuz, bwana wao nape ameanzisha ujinga kama huu tena usiku wa manane, maswali yalipokuwa mengi akakimbia...
 
Nnauye Jr kabla hujaita wengne kuwa ni wanafki nakuomba ukumbuke vile vikao, ahadi. Unakumbuka kuwa vile vikao vilikuwa vinahusiana na uasi ndio maana inakuwa ngumu wewe kukamatika moja kwa moja kwa sababu ilikuwa ni siri. Kumbuka jinsi mlpokuwa mnahamahama kumbi kadhaa pale ambapo mlihisi kufuatiliwa. Kumbuka ambavyo kikao kimoja kilivyokuwa kinafanyka katka kumbi 4 au 5 tofaut kwa siku 1. Kumbuka vizuri kile kikao mlichokaa na viongozi wa Chadema ili nyie CCJ muungane na Chadema katika uchaguzi wa 2010. Kumbuka jinsi ambavyo ulikuwa unashinikiza uteuliwe wewe kugombea ubunge wa Ubungo kupitia muunganiko wa Chadema na CCJ. Kumbuka jinsi ambavyo ulikuwa unamwomba Mnyika asigombee ili akuunge mkono. Kumbuka jinsi ambavyo ulikataliwa kuungana na CHADEMA. Kumbuka lugha ulizotoa siku ile.. Wewe Nape Nnauye ni mnafiki sana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom