Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,521
- 36,922
Nikimuona Boko ni foward anacheza na timu yangu wala sina pressureKwa Timu ya Simba kuwa na mshambuliaji ambaye dakika tisini hapigi hata shuti Moja GOLINI ni afadhali na Mimi ambaye sijaamua kuitapeli fani ya Mpira.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ufundi Wa Morrison pale hata wachezaji wenu wote wangekaa golini ili wadake ule mpira wasingeweza
Ndicho mlichobaki nachoMama katoka kubondwa na faza house, beki 3 kajichanganya kavunja kikombe sasa hasira zote za mama kubondwa kahamishia kwa beki 3
Amkeni jamani amkeni na leo Majilani wamepata sare huko kwa Namungo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mume shoga bwana kaoa tar 8 siku chache mbele KAOLEWA na KIJANA WA KINONDONI HATAR
Manara anadai eti sahizi mnaitwa MNYERA United!Simba nguvu moya(in zaheras voice)
Ah sawa na nyie tu, mnaitwa utopolo siku hiziManara anadai eti sahizi mnaitwa MNYERA United!
Kama nawaona vile mnavyohaha kuhamisha magoli, baada ya majina yenu mliojipa wenyewe kutrend, utopolo FC, mabonde Kuinama, mlenda United, Mkunungu sports club, gingowazi, vyura, dah mengine mtaongezea wenyewe..Wabongo bwana, Aisha Manula kasema ukweli juu ya ubora wa faulo ilopigwa na Morrison lakini Manara Haji amechukia na kukasirika hadi kawapa jina jipya Leo hadi napata ukakasi wa kulitamka. Amesema mnaitwa "MNYER..." United, Malizieni wenyewe mana nyie mbumbumbu mnaendana