Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Matokeo ilikuwa Yebo Yebo 3 - 0 Maji MajiLete matokeo ya Yebo yebi tafadhali. Mushi upo?
Matokeo ilikuwa Yebo Yebo 3 - 0 Maji MajiLete matokeo ya Yebo yebi tafadhali. Mushi upo?
Wadau wa Msimbazi tujiandae kwa game ya Mwanza, nayo ni ngumu lakini kushinda ni muhimu sana
.....mechi ya leo ni muhomu kujengea heshima kwa sababu TOTO[yanga watoto au tawi la yanga mwanza]...walitusumbuwa mwaka jana hapo kirumba.....sijui wamezika mamba pale ndani!!...lakini Mungu ni mshindi!!...tutawapiga kama misri alivyompiga algeria!!!
wadau wa mwanza jiandaeni kuturushia updates..wengine tupo safarini nje ...ya nchi....tunategemea internet...!!
Lete matokeo ya Yebo yebi tafadhali. Mushi upo?
Wekundu popote mlipo nawaombeni tubalishane mawazo na kupeana updates kuhusu chama letu.Kuna mdau katu-update hapo down kuwa unaweza kuchangia chama letu kwa kutuma ujumbe,tuma neno SIMBA kwenda namba 15556 .maelekezo zaidi utayakuta ndani ya thread. hata kandambili mnaotukubali mnaruhusiwa.gonga basi thanks hapo down kama vipi. GUD TYM.
Pakeni rangi kwanza jengo lenu ndo mje mjishaue hapa.
Jengo halina hata vyoo watu wanakunya kunya vichochoroni na kwenye korido halafu mnakuja kufungua thread....toeni upuuzo wenu huu
Jana Arsenal na Ghana walinihuzunisha, lakini Simba ikanifariji!
Pakeni rangi kwanza jengo lenu ndo mje mjishaue hapa.
Jengo halina hata vyoo watu wanakunya kunya vichochoroni na kwenye korido halafu mnakuja kufungua thread....toeni upuuzo wenu huu
Na wewe kapake rangi jukwaa lenu la yanga... kama hamna basi punzika!!! soma jukwaa la arsenal
Bra Sinka yaani kama mimi pia, yaani nilijua Ghana angenifurahisha lakini pia nikajua Man U lazima achezee kichapo uku nikiwa na uhakika wa mnyama Simba kumaliza game mapemaaaa. Lakini ni Simba pekee ndie aliyenipa amani jana.Jana Arsenal na Ghana walinihuzunisha, lakini Simba ikanifariji!
kwani Simba mpaka hivi leo hajapoteza mechi, aah huyu Phiri basi atakua kocha bora sana.
..Yawezekana Patrick Phiri na Simba wakaingia kwenye Guiness book of the World..Ngoja tupige mechi zote 22 bila droo wala kupoteza.
Sahihisho: Simba haijapoteza pointi yoyote...hajatoa hata sare.
Sababu ya kutopoteza hata pointi moja, ni ushirikiana na mshikamano kutoka kila mtu anayetaka mafanikio ya timu mwaka huu...tumejipanga vizuri, tunawasikilisa wachezaji, kocha mahitaji yake yanatekelezwa na nidhamu iko hali ya juu...Kuna njama zilifanywa mwanza lakini hawakufanikiwa..tumejipanga kupingana vizuri...baadhi yetu tunainigia Bukoba kesho kuhakikisha mambo yako vizuri ili ubingwa tupewe mapema kabala ya kucheza michuano ya kimataifa mwezi wa machi..aluta continuakwani Simba mpaka hivi leo hajapoteza mechi, aah huyu Phiri basi atakua kocha bora sana.