Simba na TFF msimchezeshe Kibu Denis mechi za kimataifa kuepuka kujutia

Uraia alionao na tuliompa after the fact unaweza kupingwa kwenye mahakama za juu za mpira kama timu iliyofungwa na Simba au taifa stars ilimchezesha Kibu Denis kwenye mechi zake.

Kibu alisajiliwa na Simba kama raia wa Tanzania na kucheza mechi za ndani na nje ya Nchi kama raia wa tz wakati hakuwa raia.

Kibu, TFF na Simba walipaswa kuadhibiwa kwa kosa hili badala ya wao kumuombea uraia uhamiaji na hatimaye kupewa uraia wa fasta after the fact.

Kuna wakati inaweza kutolea timu zilizofungwa na Simba kwenye mechi za CAF champions na FIFA kutafuta pa kutolea. Yaaani watamkatia rufaa Denis na kupewa point tatu.

Kwanini tufike huko?⁵
Kwani Simba kuchezesha mchezaji asiye raia wa Tanzania ni kosa?
 
Back
Top Bottom