Kama hayo ni maagizo, mama kapigwa changa la macho na walewale walioleta mtafaruku kwa kusogeza muda wa mechi ya simba na yanga kutoka saa 10 jioni hadi 12 jioni na kusababisha mechi kuahiirishwa na watu kupata hasara ya muda na fedha zao.
Kwani Simba kuchezesha mchezaji asiye raia wa Tanzania ni kosa?Uraia alionao na tuliompa after the fact unaweza kupingwa kwenye mahakama za juu za mpira kama timu iliyofungwa na Simba au taifa stars ilimchezesha Kibu Denis kwenye mechi zake.
Kibu alisajiliwa na Simba kama raia wa Tanzania na kucheza mechi za ndani na nje ya Nchi kama raia wa tz wakati hakuwa raia.
Kibu, TFF na Simba walipaswa kuadhibiwa kwa kosa hili badala ya wao kumuombea uraia uhamiaji na hatimaye kupewa uraia wa fasta after the fact.
Kuna wakati inaweza kutolea timu zilizofungwa na Simba kwenye mechi za CAF champions na FIFA kutafuta pa kutolea. Yaaani watamkatia rufaa Denis na kupewa point tatu.
Kwanini tufike huko?⁵
Kwenye soka hawaulizi makabilaKabila gani mkuu? Baba yake na mama yake wako wapi, babu na bibi zake, ndugu zake wengine wako wapi.