Simba na TFF msimchezeshe Kibu Denis mechi za kimataifa kuepuka kujutia

Kaka inaelekea hujui sheria za CAF kwa uhalal wa wachezaj... Ngazi ya club CAF haiangalii uraia inangalia uhalali wa mchezaj kucheza team husika kama amesajiliwa kihalal iwe ni raia wa inakotoka hiyo club ama sio raia... CAF haitajali Kibu ni raia wa wapi..

Sasa hiyo club itakayomkatia rufaa kibu inamkatia on what grounds... Kwamba sio mtanzania au? Maana pia Simba ina raia wa kigen wengi, na isitoshe kwa upande wa CAF club inasajili hadi wachezaji 40.. So iwe wamweke mtanzania au sio mtanzania bado hakuna ambapo simba itaathirika

Na kwa issue ya team ya Taifa tunaweza kuadhibiwa kwa mechi zilizopita kama kweli hakuwa mtanzania.. Ila zinazokuja hata akicheza tayari mamlaka imeshasema.ni mtanzania sasa hizo team za taifa za nje zinakataje rufaa ...

Anaepinga anatakiwa atoe vielelezo sio apinge halafu vielelezo vya ku support hayo mapingamiz atoe yule anaeshtakiwa

Nikikwambia mie naitwa XYZ ukasema sio jina langu ukaniambia jina langu ni ABC unatakuwa ww ndo uote vielelezo vya kuwa mie ni ABC sio XYZ lakin sio utake mie tena nitoe vielelezo vya kuwa mie ni ABC yaani Upinge ww kisha vielelezo vya ku support case yako nitoe mie

Pia jua kuwa kama team za nje zikipinga uraia wa Kibu wao wanatakiwa watoe vielelezo kuwa Kibu ni raia wa wapi na aliwah kuchezea team gan ya taifa au club nje ya TZ.. Sio wapinge halafu watake TZ ndo itoe vielelezo vya kusupport mapingamiz yao
Club itamkatia rufaa kwa kutokuwa mchezaji hali wa Simba, amevunja kanuni za TFF ni mhalifu. Kwanini sio mchezaji halali wa Simba? Sio halali kwakuwa alidanganya uraia na kusajiliwa kama mtanzania wakati yeye sio mtz. Yaani Simba ilifaidika kwa kuwa na wachezaji 13 wa kigeni badala ya 12 ambao timu nyingine zililazimishwa kusajili.
 
Kibu alitakiwa iwe amekamatwa na kuwekwa sero kama kama mhalifu kama alikuwa sio mtanzania kwa kosa la kuwa nchini na kufanyakazi bila vibali. Huku ni kuhatarisha usalama wa taifa kipuuzi kabisa kwa kisingizio Cha hovyo kabisa.
Mkuu, punguza hasira, Kibu ni mtanzania mwenzetu.
Tusitoane roho bure, duniani tunapita tu.
 
Aliyekwambia hakuwa raia nani,uraia wake ulikuwa na utata,waziri kaondoa utata kwa kumgrant uraia,utopolo mrudi shule
Utata maana yake nini? Unaweza kumchagua Rais mwenye uraia tata? Acha uzembe.
 
Wewe ndiye usiekuwa na akili kabisa. Huyo mchezaji kama hakuwa raia aliwezaje kufanyakazi bila working permit? Kwa kuwepo kwake kinyemela nchini ni mambo na Siri ngapi za nchi amezipata na kuzipeleka wapi kwa matumizi gani. Huyu ni mhalifu sawa na wale wahabeshi tunaowakamata kwenye malori. Mjinga kabisa wewe.
Umejuaje kama alikua anafanya kazi bila hicho ulichokiita working permit ?
 
Lakini kumbuka hajawai kuichezea Simba katika mashindano rasmi. So Simba wapo on the safe side. And by the way, mchezaji kutoka nchi yotote anaweza kuchezea klabu yoyote duniani. So hata kama hakuwa raia wa Tanzania sio kusa kuchezea klabu ya Tanzania.

Pia hata kwenye team za taifa kuna sheria zake. Mchezaji hata kama ni raia wa nchi fulani anaweza kuiwakilisha nchi nyingine (kwa nchi zenye kuruhusu uraia pacha). Kuna vigezo tu kuwa kabla ya kuiwakilisha nchi nyingine asiwe amecheza kuzidi asilimia kadhaa ya mechi za team ya taifa analotaka kuhama.

Nadhani unafahamu mtu kama Diego Costa ni Mbrazil lakini amechezea Spain, Deco Brazil kacheza Ureno. Mifano ipo mingi.

So cha muhimu ni kuwa kama Kibu ameshakuwa declared au kupewa urai wa Tanzania basi klabu ipo upande salama na Taifa Stars ipo upande salama. Zaidi soma hapo kuhusu eligibility ya mchezaji.

Umenena vema, lakini mifano yako haiendani na huu wa Kibu. Kibu ni mhalifu hao unaowasema sio wahalifu, wanafahamika kuwa sio raia hivyo wanapewa uraia ili wachezee mataifa husika. Huyu wa kwetu alishirikiana na timu na TFF kujifanya ni raia wa tz hadi pale whistle blowers walivyofichua Siri hiyo. Kutokujua kuwa yeye sio raia sio kinga kwenye kosa lake. Yeye ni mhalifu akina Diego sio wahalifu.
 
Aliyekwambia hakuwa raia nani,uraia wake ulikuwa na utata,waziri kaondoa utata kwa kumgrant uraia,utopolo mrudi shule
Hapo kwenye utata ndipo pana shida msichukulie simple, uraia haugawi kama njugu
 
Uraia hauamuliwi kwa hisia ni issue ya kisheria ndugu
Chukua hatua za kisheria, nenda mahakamani ukapinge uraia wa Kibu.

Naona hapa jukwaani unaleta HISIA tu.
Acha kuleta hisia kwenye uraia wa mtanzania mwenzako mkuu.
Take some legal measures.
 
Club itamkatia rufaa kwa kutokuwa mchezaji hali wa Simba, amevunja kanuni za TFF ni mhalifu. Kwanini sio mchezaji halali wa Simba? Sio halali kwakuwa alidanganya uraia na kusajiliwa kama mtanzania wakati yeye sio mtz. Yaani Simba ilifaidika kwa kuwa na wachezaji 13 wa kigeni badala ya 12 ambao timu nyingine zililazimishwa kusajili.
Ok nafikiria hoja yako imebase upande wa ligi ya ndan.. Maana kwa upande wa CAF idaid ya wachezaji kwenye mashindano ya CAF haitegemei na idadi ya kwenye ligi ya ndani.. TFF wana idadi yao na CAF wanaidadi yao

Sasa kwa upande ndani nafikiri kama kuna club wanataka kukata rufaa labda walau ni waliocheza na Simba kwenye hizi mechi mbili lakini sio watakaokuja kucheza na simba na hata hawa bado itakuwa ni wao againts serikali wala sio simba au TFF

Maana tayar Kibu amethibitishwa ni Mtanzania... Sasa wao watakata rufaa on what grounds... Na hata waliocheza na Simba bado itakuwa ni wao dhidi ya serikali sio TFF wala.Simba.. Sababu Kibu alikuwa na Passport ya TZ ndo maana alisafir na Team ya taifa

So simba hawawez kunyang'anywa point sababu hawakufanya makusudi ikiwa mtu aliwakilisha Nchi
 
Club itamkatia rufaa kwa kutokuwa mchezaji hali wa Simba, amevunja kanuni za TFF ni mhalifu. Kwanini sio mchezaji halali wa Simba? Sio halali kwakuwa alidanganya uraia na kusajiliwa kama mtanzania wakati yeye sio mtz. Yaani Simba ilifaidika kwa kuwa na wachezaji 13 wa kigeni badala ya 12 ambao timu nyingine zililazimishwa kusajili.
Nafikri hoja yako imebase kwenye ligi ya ndani maana kwa upande wa mashindano ya CAF idadi ya wachezaj hategemei sheria za TFF... CAF wana mwongozo wao na TFF wana wa kwao

Pia Kumbuka Kibu ana passport ya Tanzania ndo maana alisafiri na team ya Taifa... Sasa uthibitisho upi unaotaka kuonyesha kibu ni Mtanzania... Kama aliongopa basi ni case ya kwake na mamlaka iliompa passport.. simba na TFF hawahusiki maana wao uthibitisho wa Utanzania wake waliupata kwenye Passport yake
 
Suala la huyu mchezaji ni ushahidi tosha nchi yetu ina mambo mengi ya uswahili na ubabaishaji.

Na mfano tukienda kuwachimba wanasiasa, basi huko ndiyo tutashuhudia mauza uza ya kutisha. Huenda tukakutana na Wahamiaji haram wa kutosha tu.
 
Chukua hatua za kisheria, nenda mahakamani ukapinge uraia wa Kibu.

Naona hapa jukwaani unaleta HISIA tu.
Acha kuleta hisia kwenye uraia wa mtanzania mwenzako mkuu.
Take some legal measures.
Shida hapa ni TFF na Simba, na issue sio timu ya taifa. Yaani TFF uko radhi kujitoa ufahamu ilimradi mchezaji aende kuisaidia Simba hata kwa kuvunjwa sheria kama ilivyokuwa kwa Morrison.
 
Uraia alionao na tuliompa after the fact unaweza kupingwa kwenye mahakama za juu za mpira kama timu iliyofungwa na Simba au taifa stars ilimchezesha Kibu Denis kwenye mechi zake.

Kibu alisajiliwa na Simba kama raia wa Tanzania na kucheza mechi za ndani na nje ya Nchi kama raia wa tz wakati hakuwa raia.

Kibu, TFF na Simba walipaswa kuadhibiwa kwa kosa hili badala ya wao kumuombea uraia uhamiaji na hatimaye kupewa uraia wa fasta after the fact.

Kuna wakati inaweza kutolea timu zilizofungwa na Simba kwenye mechi za CAF champions na FIFA kutafuta pa kutolea. Yaaani watamkatia rufaa Denis na kupewa point tatu.

Kwanini tufike huko?⁵
Bado hueleweki unazungumzia mechi zijazo au zilizopita.

Kama zijazo, CAF inaruhusu kusajili wachezaji hadi 40 bila kujali uraia wao, kwa hiyo kikomo cha idadi yao kitaamuliwa na chama cha soka, kwa case yetu ni TFF. Kwa hiyo kimataifa, Simba ingeweza kumtumia bila hata kubadili uraia na hakungekuwapo tatizo, ila idadi ya wachezaji wa kimataifa iliyowekwa na TFF ndio ingemfanya acheze mechi za Klabu Bingwa tu bila kucheza ligi (kama ilivyokuwa Kahata). Kwa sasa, TFF yenyewe ndio imemuombea uraia (sio Simba), na ameupata, kwa hiyo TFF haiwezi tena kumuhesabu kama mchezaji wa kigeni wakati yenyewe ndio imemuombea.

Kama zilizopita, Kibu Denis hajawahi kuichezea Simba mechi ya mashindano kabla hajawa raia wa Tanzania
 
Ok nafikiria hoja yako imebase upande wa ligi ya ndan.. Maana kwa upande wa CAF idaid ya wachezaji kwenye mashindano ya CAF haitegemei na idadi ya kwenye ligi ya ndani.. TFF wana idadi yao na CAF wanaidadi yao

Sasa kwa upande ndani nafikiri kama kuna club wanataka kukata rufaa labda walau ni waliocheza na Simba kwenye hizi mechi mbili lakini sio watakaokuja kucheza na simba na hata hawa bado itakuwa ni wao againts serikali wala sio simba au TFF

Maana tayar Kibu amethibitishwa ni Mtanzania... Sasa wao watakata rufaa on what grounds... Na hata waliocheza na Simba bado itakuwa ni wao dhidi ya serikali sio TFF wala.Simba.. Sababu Kibu alikuwa na Passport ya TZ ndo maana alisafir na Team ya taifa

So simba hawawez kunyang'anywa point sababu hawakufanya makusudi ikiwa mtu aliwakilisha Nchi
Nani alimpa passport ya tz mtu mwenye uraia tata? Majipu?
 
Rufaa yao Itakuwa kuwa Kibu sio

Waadhibiwe kwa kumpa ajira mtu asiyekuwa raia. Iko wazi kabisa. TFF imempa kandarasi mtu asiyekuwa raia bila kufuata utaratibu. Kutokujua sheria sio kinga kwenye kufanya kosa, wote waliohusika lazima waadhibiwe kwa manufaa ya taifa na iwe funzo kwa wengine. Hii inahatarisha usalama wa taifa letu.
kibu ni mtanzania
na ni mchezaji halali wa simba
wewe unachotakiwa kufanya ni kusema amen tu
dua ishasomwa
 
Back
Top Bottom