Simba haiepukiki...ni kama mkojo wa asubui...ukitaka utakojoa usipotaka utajikojolea...
KhaaaaKuna team 1 tyuh Bongo nayo ni SIMBA, epuka matapeliiii.
Tupia picha tuone huo mkojo wa asubuhi ulivyo ili tuthibitishe kama ni kweli.🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Simba haiepukiki...ni kama mkojo wa asubui...ukitaka utakojoa usipotaka utajikojolea...
Kimkazacho mtu ndio kimtokacho. Kasema lile lililopo Moyoni mwake huyu Kolo 5imba FCHahahaha msomali amekataa kuvaa jezi ya uto yeye ana vaa ya simba tu.
... pamoja kwa umoja.....🤝🤝🤝
"Mawaziri tutaongoza Watanzania, tutakuwepo kiwanjani na siku hiyo mimi na Waziri tutavaa jezi za hiyo timu inayocheza siku hiyo, kama ni Simba tutavaa Simba kama ni Yanga tutavaa Simba."
Kumbe waziri wa michezo...rais wa tff ni mashabiki wa simba ? Imekaa vzr sana hii
"Mawaziri tutaongoza Watanzania, tutakuwepo kiwanjani na siku hiyo mimi na Waziri tutavaa jezi za hiyo timu inayocheza siku hiyo, kama ni Simba tutavaa Simba kama ni Yanga tutavaa Simba."
Ulimi hauna mfupa wewe hukosei acheni ukitimba
"Mawaziri tutaongoza Watanzania, tutakuwepo kiwanjani na siku hiyo mimi na Waziri tutavaa jezi za hiyo timu inayocheza siku hiyo, kama ni Simba tutavaa Simba kama ni Yanga tutavaa Simba."
Vzr hajajifichaKimkazacho mtu ndio kimtokacho. Kasema lile lililopo Moyoni mwake huyu Kolo 5imba FC
Unamaanisha paka au 5imbachawene😄 mimi natoka Malawi ila sifahamu timu nyingine zaidi ya Yanga na Azam kutoka TanzaniaKuna team 1 tyuh Bongo nayo ni SIMBA, epuka matapeliiii.
Mbona waziri juz pale Serena kwenye event ya Simba alijinasibu kabisa kuwa yeye ni mnyama lialiaKumbe waziri wa michezo...rais wa tff ni mashabiki wa simba ? Imekaa vzr sana hii
"Mawaziri tutaongoza Watanzania, tutakuwepo kiwanjani na siku hiyo mimi na Waziri tutavaa jezi za hiyo timu inayocheza siku hiyo, kama ni Simba tutavaa Simba kama ni Yanga tutavaa Simba."
Mtu yoyote anaweza kuchapia
"Mawaziri tutaongoza Watanzania, tutakuwepo kiwanjani na siku hiyo mimi na Waziri tutavaa jezi za hiyo timu inayocheza siku hiyo, kama ni Simba tutavaa Simba kama ni Yanga tutavaa Simba."
Ndio maana nimesema hivyo kumbe waziri na rais tff ni simba scMbona waziri juz pale Serena kwenye event ya Simba alijinasibu kabisa kuwa yeye ni mnyama lialia