Simba na TFF msimchezeshe Kibu Denis mechi za kimataifa kuepuka kujutia

Kuna tofauti kati ya hayo mawili ?
Maana naona yote yana end up kuthibithisha kwamba KIBU DENIS NI MTANZANIA.
Ipo tofauti, kupewa uraia maana yake hakuwa raia hapo kabla sasa unapatiwa rasmi uraia wa Tanzania, kuwa declared uraia ni baada ya kuonekana kunashaka na uhalali wa Uraia wako so Taasisi husika inadeclaer kuwa wewe ni mtanzania.

La kwanza hapo juu kama ulipewa inamaana awali haukuwa raia wa Tanzania, Mambo yote uliyafanya as kama raia wa Tanzania inakuwa Batili na ni kosa kisheria
 
Ai
Either of the the two gives him the legal status of a Tanzanian.

That's the point.
Sina mashaka na kupewa uraia wake au wamedeclear hoja hoja kama walimpa uraia means hakuwa raia kabla yote aliyafanya kama raia ilikuwa ni kosa
 
Ai
Sina mashaka na kupewa uraia wake au wamedeclear hoja hoja kama walimpa uraia means hakuwa raia kabla yote aliyafanya kama raia ilikuwa ni kosa
Lakini kumbuka hajawai kuichezea Simba katika mashindano rasmi. So Simba wapo on the safe side. And by the way, mchezaji kutoka nchi yotote anaweza kuchezea klabu yoyote duniani. So hata kama hakuwa raia wa Tanzania sio kusa kuchezea klabu ya Tanzania.

Pia hata kwenye team za taifa kuna sheria zake. Mchezaji hata kama ni raia wa nchi fulani anaweza kuiwakilisha nchi nyingine (kwa nchi zenye kuruhusu uraia pacha). Kuna vigezo tu kuwa kabla ya kuiwakilisha nchi nyingine asiwe amecheza kuzidi asilimia kadhaa ya mechi za team ya taifa analotaka kuhama.

Nadhani unafahamu mtu kama Diego Costa ni Mbrazil lakini amechezea Spain, Deco Brazil kacheza Ureno. Mifano ipo mingi.

So cha muhimu ni kuwa kama Kibu ameshakuwa declared au kupewa urai wa Tanzania basi klabu ipo upande salama na Taifa Stars ipo upande salama. Zaidi soma hapo kuhusu eligibility ya mchezaji.

 
Ipo tofauti, kupewa uraia maana yake hakuwa raia hapo kabla sasa unapatiwa rasmi uraia wa Tanzania, kuwa declared uraia ni baada ya kuonekana kunashaka na uhalali wa Uraia wako so Taasisi husika inadeclaer kuwa wewe ni mtanzania.

La kwanza hapo juu kama ulipewa inamaana awali haukuwa raia wa Tanzania, Mambo yote uliyafanya as kama raia wa Tanzania inakuwa Batili na ni kosa kisheria
Kwaiyo Mbeya City ashushwe daraja na aondolewe pointi zote ambazo walimchezesha Kibu Denis ?
 
Lakini kumbuka hajawai kuichezea Simba katika mashindano rasmi. So Simba wapo on the safe side. And by the way, mchezaji kutoka nchi yotote anaweza kuchezea klabu yoyote duniani. So hata kama hakuwa raia wa Tanzania sio kusa kuchezea klabu ya Tanzania.

Pia hata kwenye team za taifa kuna sheria zake. Mchezaji hata kama ni raia wa nchi fulani anaweza kuiwakilisha nchi nyingine (kwa nchi zenye kuruhusu uraia pacha). Kuna vigezo tu kuwa kabla ya kuiwakilisha nchi nyingine asiwe amecheza kuzidi asilimia kadhaa ya mechi za team ya taifa analotaka kuhama.

Nadhani unafahamu mtu kama Diego Costa ni Mbrazil lakini amechezea Spain, Deco Brazil kacheza Ureno. Mifano ipo mingi.

So cha muhimu ni kuwa kama Kibu ameshakuwa declared au kupewa urai wa Tanzania basi klabu ipo upande salama na Taifa Stars ipo upande salama. Zaidi soma hapo kuhusu eligibility ya mchezaji.

Nakuelewa sina shida upande wa simba, vipi vilabu vingine alivyocheza kabla?
 
Bro your not reasoning properly. Kama Kibu tayari ameshakuwa cleared kuwa ni raia wa Tanzania hata akitumika na Simba kwenye CL haiwezi kuleta misunderstanding mwasababu tayari kula legal basis zimeshakuwa established kuwa ni raia. Pili kama ingekuwa alishatumika kabla, na kama sheria ya idadi ya wachezaji wa kigeni ikawa ilikuwa imevunjwa basi klabu ingeweza kuingia matatizoni lakini kama hakutumika na sasa tayari ameshakuwa cleared na mamlaka za nchi ina maana ana passport ya TZ halali kabisa na Simba wanaweza kumtumia kama mchezaji mtanzania muda wowote wanaotaka. Usitishe watu. Sheria watu tunajua.
Kabla ya hapo alisajiliwa kama raia wa wapi? Na baada ya hapo akatambulika kama raia wa wapi?
Ok! Dadavua vizuri kifungu kiachoweza kutumika kumbana ili timu na wadau tulishughulikie fasta! Nakumuka England, Ufaransa na kwingineko kua wachezaji ni raia wa mataifa mengine yakiwemo Afrika wamepewa uraia na mamlaka za nchi hizo na wanachezea timu za taifa vip ikoje hiyo!?
Kuna haja ya kukurudisha darasani mkuu ufundishwe tena aina za uraia. Hayo unayotaka kuyajua happ juu ni matakwa ya uraia wa kuzaliwa. Kibu sio raia kwa kuzaliwa. Sasa sijui hayo mambo ya kabila lake, wazazi n.k yanakujaje hapa. NB: Raia yeyote (bila kujali uraia wake ni wa aina gani) anapata haki zote za "Raia wa Tanzania" "Sisi" wahaya, wanyakyusa, wagogo, wazaramo, n.k tusijejiona kwamba eti sisi ni watanzania maradufu kuliko Kibu. Hakuna kitu kama hicho.
Either of the the two gives him the legal status of a Tanzanian. That's the point.

Bro your not reasoning properly. Kama Kibu tayari ameshakuwa cleared kuwa ni raia wa Tanzania hata akitumika na Simba kwenye CL haiwezi kuleta misunderstanding mwasababu tayari kula legal basis zimeshakuwa established kuwa ni raia.

Pili kama ingekuwa alishatumika kabla, na kama sheria ya idadi ya wachezaji wa kigeni ikawa ilikuwa imevunjwa basi klabu ingeweza kuingia matatizoni lakini kama hakutumika na sasa tayari ameshakuwa cleared na mamlaka za nchi ina maana ana passport ya TZ halali kabisa na Simba wanaweza kumtumia kama mchezaji mtanzania muda wowote wanaotaka.

Usitishe watu. Sheria watu tunajua.
Uzuzu utaliangamiza taifa hili na soka yenyewe.

TFF ilitoa kanuni ya timu kusajili wachezaji 12 wa kigeni kwanini TFF imeruhusu Simba isajili 13 kinyume na kanuni?. Yaani Azam na Yanga pia wanaweza kuwabadili wachezaji wao wa kigeni wawe raia ili wapate nafasi ya kusajili wageni wengine? Mfano, Yanga inaweza kuwageuza Makambo na Aucho kuwa raia ili dirisha dogo waongeze wachezaji 2 wa kigeni?

Kibu alicheza dhidi ya DRC kama mtanzania?
 
Uraia alionao na tuliompa after the fact unaweza kupingwa kwenye mahakama za juu za mpira kama timu iliyofungwa na Simba au taifa stars ilimchezesha Kibu Denis kwenye mechi zake.

Kibu alisajiliwa na Simba kama raia wa Tanzania na kucheza mechi za ndani na nje ya Nchi kama raia wa tz wakati hakuwa raia.

Kibu, TFF na Simba walipaswa kuadhibiwa kwa kosa hili badala ya wao kumuombea uraia uhamiaji na hatimaye kupewa uraia wa fasta after the fact.

Kuna wakati inaweza kutolea timu zilizofungwa na Simba kwenye mechi za CAF champions na FIFA kutafuta pa kutolea. Yaaani watamkatia rufaa Denis na kupewa point tatu.

Kwanini tufike huko?⁵
Huna akili,mwenye kutoa uraia ni serikali ya nchi husika baada ya kupokea maombi ya applicant,hao wengine hayawahusu,hakuna uraia wa dunia bali kuna uraia wa nchi
 
Uraia alionao na tuliompa after the fact unaweza kupingwa kwenye mahakama za juu za mpira kama timu iliyofungwa na Simba au taifa stars ilimchezesha Kibu Denis kwenye mechi zake.

Kibu alisajiliwa na Simba kama raia wa Tanzania na kucheza mechi za ndani na nje ya Nchi kama raia wa tz wakati hakuwa raia.

Kibu, TFF na Simba walipaswa kuadhibiwa kwa kosa hili badala ya wao kumuombea uraia uhamiaji na hatimaye kupewa uraia wa fasta after the fact.

Kuna wakati inaweza kutolea timu zilizofungwa na Simba kwenye mechi za CAF champions na FIFA kutafuta pa kutolea. Yaaani watamkatia rufaa Denis na kupewa point tatu.

Kwanini tufike huko?⁵
Kaka inaelekea hujui sheria za CAF kwa uhalal wa wachezaj... Ngazi ya club CAF haiangalii uraia inangalia uhalali wa mchezaj kucheza team husika kama amesajiliwa kihalal iwe ni raia wa inakotoka hiyo club ama sio raia... CAF haitajali Kibu ni raia wa wapi..

Sasa hiyo club itakayomkatia rufaa kibu inamkatia on what grounds... Kwamba sio mtanzania au? Maana pia Simba ina raia wa kigen wengi, na isitoshe kwa upande wa CAF club inasajili hadi wachezaji 40.. So iwe wamweke mtanzania au sio mtanzania bado hakuna ambapo simba itaathirika

Na kwa issue ya team ya Taifa tunaweza kuadhibiwa kwa mechi zilizopita kama kweli hakuwa mtanzania.. Ila zinazokuja hata akicheza tayari mamlaka imeshasema.ni mtanzania sasa hizo team za taifa za nje zinakataje rufaa ...

Anaepinga anatakiwa atoe vielelezo sio apinge halafu vielelezo vya ku support hayo mapingamiz atoe yule anaeshtakiwa

Nikikwambia mie naitwa XYZ ukasema sio jina langu ukaniambia jina langu ni ABC unatakuwa ww ndo uote vielelezo vya kuwa mie ni ABC sio XYZ lakin sio utake mie tena nitoe vielelezo vya kuwa mie ni ABC yaani Upinge ww kisha vielelezo vya ku support case yako nitoe mie

Pia jua kuwa kama team za nje zikipinga uraia wa Kibu wao wanatakiwa watoe vielelezo kuwa Kibu ni raia wa wapi na aliwah kuchezea team gan ya taifa au club nje ya TZ.. Sio wapinge halafu watake TZ ndo itoe vielelezo vya kusupport mapingamiz yao
 
Ipo tofauti, kupewa uraia maana yake hakuwa raia hapo kabla sasa unapatiwa rasmi uraia wa Tanzania, kuwa declared uraia ni baada ya kuonekana kunashaka na uhalali wa Uraia wako so Taasisi husika inadeclaer kuwa wewe ni mtanzania.

La kwanza hapo juu kama ulipewa inamaana awali haukuwa raia wa Tanzania, Mambo yote uliyafanya as kama raia wa Tanzania inakuwa Batili na ni kosa kisheria
Kibu alitakiwa iwe amekamatwa na kuwekwa sero kama kama mhalifu kama alikuwa sio mtanzania kwa kosa la kuwa nchini na kufanyakazi bila vibali. Huku ni kuhatarisha usalama wa taifa kipuuzi kabisa kwa kisingizio Cha hovyo kabisa.
 
Huna akili,mwenye kutoa uraia ni serikali ya nchi husika baada ya kupokea maombi ya applicant,hao wengine hayawahusu,hakuna uraia wa dunia bali kuna uraia wa nchi
Wewe ndiye usiekuwa na akili kabisa. Huyo mchezaji kama hakuwa raia aliwezaje kufanyakazi bila working permit? Kwa kuwepo kwake kinyemela nchini ni mambo na Siri ngapi za nchi amezipata na kuzipeleka wapi kwa matumizi gani. Huyu ni mhalifu sawa na wale wahabeshi tunaowakamata kwenye malori. Mjinga kabisa wewe.
 
Wewe ndiye usiekuwa na akili kabisa. Huyo mchezaji kama hakuwa raia aliwezaje kufanyakazi bila working permit? Kwa kuwepo kwake kinyemela nchini ni mambo na Siri ngapi za nchi amezipata na kuzipeleka wapi kwa matumizi gani. Huyu ni mhalifu sawa na wale wahabeshi tunaowakamata kwenye malori. Mjinga kabisa wewe.
Aliyekwambia hakuwa raia nani,uraia wake ulikuwa na utata,waziri kaondoa utata kwa kumgrant uraia,utopolo mrudi shule
 
Uzuzu utaliangamiza taifa hili na soka yenyewe.

TFF ilitoa kanuni ya timu kusajili wachezaji 12 wa kigeni kwanini TFF imeruhusu Simba isajili 13 kinyume na kanuni?. Yaani Azam na Yanga pia wanaweza kuwabadili wachezaji wao wa kigeni wawe raia ili wapate nafasi ya kusajili wageni wengine? Mfano, Yanga inaweza kuwageuza Makambo na Aucho kuwa raia ili dirisha dogo waongeze wachezaji 2 wa kigeni?

Kibu alicheza dhidi ya DRC kama mtanzania?

Punguza ujuaji,unaulizwa maswali ya msingi hutaki kujibu unakuja na blah blah za kuparade maneno mengi ili tu uonekane unabisha.Jibu hoza za msingi ulizoulizwa hapo.
 
Kwenye mpira kinachoangaliwa anapasspoert gani na hiyo nchi ya asili yake amewahi kuiwakilisha, over.....
 
Kaka inaelekea hujui sheria za CAF kwa uhalal wa wachezaj... Ngazi ya club CAF haiangalii uraia inangalia uhalali wa mchezaj kucheza team husika kama amesajiliwa kihalal iwe ni raia wa inakotoka hiyo club ama sio raia... CAF haitajali Kibu ni raia wa wapi..

Sasa hiyo club itakayomkatia rufaa kibu inamkatia on what grounds... Kwamba sio mtanzania au? Maana pia Simba ina raia wa kigen wengi, na isitoshe kwa upande wa CAF club inasajili hadi wachezaji 40.. So iwe wamweke mtanzania au sio mtanzania bado hakuna ambapo simba itaathirika

Na kwa issue ya team ya Taifa tunaweza kuadhibiwa kwa mechi zilizopita kama kweli hakuwa mtanzania.. Ila zinazokuja hata akicheza tayari mamlaka imeshasema.ni mtanzania sasa hizo team za taifa za nje zinakataje rufaa ...

Anaepinga anatakiwa atoe vielelezo sio apinge halafu vielelezo vya ku support hayo mapingamiz atoe yule anaeshtakiwa

Nikikwambia mie naitwa XYZ ukasema sio jina langu ukaniambia jina langu ni ABC unatakuwa ww ndo uote vielelezo vya kuwa mie ni ABC sio XYZ lakin sio utake mie tena nitoe vielelezo vya kuwa mie ni ABC yaani Upinge ww kisha vielelezo vya ku support case yako nitoe mie

Pia jua kuwa kama team za nje zikipinga uraia wa Kibu wao wanatakiwa watoe vielelezo kuwa Kibu ni raia wa wapi na aliwah kuchezea team gan ya taifa au club nje ya TZ.. Sio wapinge halafu watake TZ ndo itoe vielelezo vya kusupport mapingamiz yao
Rufaa yao Itakuwa kuwa Kibu sio
Kwaiyo Mbeya City ashushwe daraja na aondolewe pointi zote ambazo walimchezesha Kibu Denis ?
Waadhibiwe kwa kumpa ajira mtu asiyekuwa raia. Iko wazi kabisa. TFF imempa kandarasi mtu asiyekuwa raia bila kufuata utaratibu. Kutokujua sheria sio kinga kwenye kufanya kosa, wote waliohusika lazima waadhibiwe kwa manufaa ya taifa na iwe funzo kwa wengine. Hii inahatarisha usalama wa taifa letu.
 
Kaka inaelekea hujui sheria za CAF kwa uhalal wa wachezaj... Ngazi ya club CAF haiangalii uraia inangalia uhalali wa mchezaj kucheza team husika kama amesajiliwa kihalal iwe ni raia wa inakotoka hiyo club ama sio raia... CAF haitajali Kibu ni raia wa wapi..

Sasa hiyo club itakayomkatia rufaa kibu inamkatia on what grounds... Kwamba sio mtanzania au? Maana pia Simba ina raia wa kigen wengi, na isitoshe kwa upande wa CAF club inasajili hadi wachezaji 40.. So iwe wamweke mtanzania au sio mtanzania bado hakuna ambapo simba itaathirika

Na kwa issue ya team ya Taifa tunaweza kuadhibiwa kwa mechi zilizopita kama kweli hakuwa mtanzania.. Ila zinazokuja hata akicheza tayari mamlaka imeshasema.ni mtanzania sasa hizo team za taifa za nje zinakataje rufaa ...

Anaepinga anatakiwa atoe vielelezo sio apinge halafu vielelezo vya ku support hayo mapingamiz atoe yule anaeshtakiwa

Nikikwambia mie naitwa XYZ ukasema sio jina langu ukaniambia jina langu ni ABC unatakuwa ww ndo uote vielelezo vya kuwa mie ni ABC sio XYZ lakin sio utake mie tena nitoe vielelezo vya kuwa mie ni ABC yaani Upinge ww kisha vielelezo vya ku support case yako nitoe mie

Pia jua kuwa kama team za nje zikipinga uraia wa Kibu wao wanatakiwa watoe vielelezo kuwa Kibu ni raia wa wapi na aliwah kuchezea team gan ya taifa au club nje ya TZ.. Sio wapinge halafu watake TZ ndo itoe vielelezo vya kusupport mapingamiz yao
Unaupiga mwingi sana mkuu, na bila shaka hii ni tabia yako.
Keep it up
 
Back
Top Bottom