Simba na TFF msimchezeshe Kibu Denis mechi za kimataifa kuepuka kujutia

Shida hapa ni TFF na Simba, na issue sio timu ya taifa. Yaani TFF uko radhi kujitoa ufahamu ilimradi mchezaji aende kuisaidia Simba hata kwa kuvunjwa sheria kama ilivyokuwa kwa Morrison.
Shida ya simba na tff ipo wapi?kiukwel shida sio simba wala tff ila kuliingiliana usimba na uyanga kwa hali ilivyokua inaonyesha tff adi simba walikua wanajua uyu mchezaji ni mtanzania ata serikali imekubali kwamba alikua na vitambulisho vyote ambavyo kama mtanzania anatakiwa awe navyo na ndio maana aliweza kucheza mbeya city kama mtanzania akacheza adi stars kama mtanzania sasa huu usajili wake maana tetesi zinasema simba na yanga ndio walikua wanaitaj sahihi yake apa sasa baada ya kusain sehem moja ndio shida ilipoanza kuanza kuchimbua asili yake ikaonekana kwel wazaz wake wameamia tz kutokea congo wakat mtoto ana miaka sita kwa sababu ya uwezo wa kuamua raia ni serikali na kwa sababu kuna ukwel kwamba akuzaliwa tz wenye mamlaka wamempa uraia sasa apo kosa la simba au tff lipo wapi
 
Nani alimpa passport ya tz mtu mwenye uraia tata? Majipu?
Sasa hapo kiongoz ndo nakwambia swala hili liko upande wa mamlaka... Upande wa mpira utakuwa umewaonea...

Maana kama alisafiri na Team maana yake alipata passport ikiwa ilikuwa feki au halisi mwenye jukumu la kuthibitisha ni mamlaka
 
Shida hapa ni TFF na Simba, na issue sio timu ya taifa. Yaani TFF uko radhi kujitoa ufahamu ilimradi mchezaji aende kuisaidia Simba hata kwa kuvunjwa sheria kama ilivyokuwa kwa Morrison.
Labda nikuambie kitu kimoja; tenganisha sheria za uraia katika soka na zile za uraia katika taifa

1. Katika taifa, suala linatakiwa lishughulikiwe kwa sheria za nchi kupitia vyombo vyake kama vile uhamiaji. Kama sio raia, watampa masaa 24 aondoke nchini tena bila ya kulazimika kumwambia aende wapi. Bahati mbaya/nzuri ni hao hao Uhamiaji ndio wamempa uraia, kwa hiyo hawawezi kumfukuza

2. Katika soka, FIFA huwa haina shida kabisa na uraia, ili mradi muhusika achague nchi moja. Nonda Shaban alichagua DRC akatosa nchi yake ya Burundi. Patrick Mafisango aliitosa nchi yake ya DRC akaichagua Rwanda. Meddie Kagere aliitosa nchi yake ya Uganda akachagua Rwanda. Fredrick Kanoute aliitosa nchi yake Ufaransa akaichagua nchi ya asili yake Mali, ila akaendelea kuwa raia wa Ufaransa. Kally Ongala aligoma kuichezea Taifa Stars ili asiuchokonoe uraia wake wa Uingereza, lakini muda wote hapa bongo aliichezea Yanga kama Mtanzania

1633515566453.png
 
FIFA huwa hawana shida ukiamua kuchagua nchi moja ya kuichezea


Super Eagles player and Everton midfielder, Alex Iwobi, has revealed why he chose to represent Nigeria rather than England.

Iwobi decided to switch his international allegiance from England to Nigeria by playing a cap-tying game for Nigeria in an Africa Cup of Nations qualifier against Egypt in March 2016, despite representing England at U16, U17 and U18 levels.

Iwobi said though he was well treated by the English Football Association, however he had to chose Nigeria because of his heritage.
-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Bukayo Saka made his debut for the England national team last October, before playing his first competitive game for the country in November. That appearance made him ineligible for Nigeria, who he also could have chosen to represent.

Obviously, any Nigerian football fans would be disappointed with the decision. It’s clear that Saka is a big talent, so they’re going to want him playing for their country.


But it was up to the player himself in the end, and he says it would have been difficult to pick Nigeria given his personal circumstances growing up.

“Choosing Nigeria over England would be a tough decision,” Saka admitted. “My whole family has been in England like forever, it would be very strange for me to adapt to an environment that I had never been in since growing up.
 
Chukua hatua za kisheria, nenda mahakamani ukapinge uraia wa Kibu.

Naona hapa jukwaani unaleta HISIA tu.
Acha kuleta hisia kwenye uraia wa mtanzania mwenzako mkuu.
Take some legal measures.

Umejuaje kama alikua anafanya kazi bila hicho ulichokiita working permit ?
Kwanini Usishangae nimejuaje kuwa TFF ni mchezaji wa 13 wa Simba. Adhabu za TFF Simba imekumbushwa TU kuhusu ubaya wa kurushiana mawe wakiwa uwanjani lakini Azam imepigwa nyundo eti kwa kupitia mlango ambao sio. Nini ni hatari zaidi kwenye soka, kupigana mawe au kupita mlango ambao sio?

Mbwembwe za Kujiuzulu kwa mo zimewajambisha wengi.
 
Club itamkatia rufaa kwa kutokuwa mchezaji hali wa Simba, amevunja kanuni za TFF
Kwamba amevunja kanuni za TFF halafu TFF hiyo hiyo ikampa leseni ya kuichezea Simba, tena baada ya TFF hiyo hiyo kumuombea uraia serikalini, na serikali kutangaza hadharani! Hapo hakuna timu itakayoshinda rufaa hii, labda waipeleke rufaa CAS ikakae miaka mitatu
 
Kwanini Usishangae nimejuaje kuwa TFF ni mchezaji wa 13 wa Simba. Adhabu za TFF Simba imekumbushwa TU kuhusu ubaya wa kurushiana mawe wakiwa uwanjani lakini Azam imepigwa nyundo eti kwa kupitia mlango ambao sio. Nini ni hatari zaidi kwenye soka, kupigana mawe au kupita mlango ambao sio?

Mbwembwe za Kujiuzulu kwa mo zimewajambisha wengi.
Mbona ni timu nyingi tu zimepewa onyo na TFF mkuu na sio Simba peke yake ?
Au TFF ni mchezaji wa tatu wa timu ya Dodoma jiji, Biashara na Coastal Union pia ?
 
Suala la huyu mchezaji ni ushahidi tosha nchi yetu ina mambo mengi ya uswahili na ubabaishaji.

Na mfano tukienda kuwachimba wanasiasa, basi huko ndiyo tutashuhudia mauza uza ya kutisha. Huenda tukakutana na Wahamiaji haram wa kutosha tu.
Huko kwenye siasa ndiyo kabisa hata namba be ndiyo hivyo hivyo
 
Labda nikuambie kitu kimoja; tenganisha sheria za uraia katika soka na zile za uraia katika taifa

1. Katika taifa, suala linatakiwa lishughulikiwe kwa sheria za nchi kupitia vyombo vyake kama vile uhamiaji. Kama sio raia, watampa masaa 24 aondoke nchini tena bila ya kulazimika kumwambia aende wapi. Bahati mbaya/nzuri ni hao hao Uhamiaji ndio wamempa uraia, kwa hiyo hawawezi kumfukuza

2. Katika soka, FIFA huwa haina shida kabisa na uraia, ili mradi muhusika achague nchi moja. Nonda Shaban alichagua DRC akatosa nchi yake ya Burundi. Patrick Mafisango aliitosa nchi yake ya DRC akaichagua Rwanda. Meddie Kagere aliitosa nchi yake ya Uganda akachagua Rwanda. Fredrick Kanoute aliitosa nchi yake Ufaransa akaichagua nchi ya asili yake Mali, ila akaendelea kuwa raia wa Ufaransa. Kally Ongala aligoma kuichezea Taifa Stars ili asiuchokonoe uraia wake wa Uingereza, lakini muda wote hapa bongo aliichezea Yanga kama Mtanzania

View attachment 1965407
Tafadhali mtafsirie Kavulata hii
 
Kwanini Usishangae nimejuaje kuwa TFF ni mchezaji wa 13 wa Simba. Adhabu za TFF Simba imekumbushwa TU kuhusu ubaya wa kurushiana mawe wakiwa uwanjani lakini Azam imepigwa nyundo eti kwa kupitia mlango ambao sio. Nini ni hatari zaidi kwenye soka, kupigana mawe au kupita mlango ambao sio?

Mbwembwe za Kujiuzulu kwa mo zimewajambisha wengi.
Lakini si Manara alisema Yanga itaacha malalamiko maana ni timu kubwa, na tukakubaliana hivyo?
 
Wabongo ni wajuaji sijawahi ona ila maajabu hata familia zenu zinawashinda kuziendesha.
 
We urudi form 1 ukasome citizenship.
Kuja kuwa TFF imefanikisha Simba kusajili wachezaji 13 wa kigeni na Kisha kuisaidia Simba kumtakatisha mchezaji mmoja kuwa raia ili wabaki wageni 12 wa kikanuni kunahitaji kurudi form 1?

Simba na TFF wamefanya kosa la utakatishaji
 
Ok! Dadavua vizuri kifungu kiachoweza kutumika kumbana ili timu na wadau tulishughulikie fasta!
Nakumuka England, Ufaransa na kwingineko kua wachezaji ni raia wa mataifa mengine yakiwemo Afrika wamepewa uraia na mamlaka za nchi hizo na wanachezea timu za taifa vip ikoje hiyo!?
Kule nchi hizo zina ruhusu uraia wa nchi mbili, wala kwao sio inshu!!yaani tatizo la Tz, tuna vijimambo vya ajabu ajabu sana ambavyo hata havina faida, eti uzalendo utapotea!!mfano ukichukua mu America na Mtanzania nani anapenda sana nchi yake?!!wewe nchi yako hata ukipotea hakuna anayehangaika kukutafuta zaidi ya ndugu na jamaa zako huo uzalendo utatoka wapi??
 
Wabongo ni wajuaji sijawahi ona ila maajabu hata familia zenu zinawashinda kuziendesha.
Tatizo lako ninalifahamu. Mitaala yetu kuanzia chekecheaa hadi vyuo vikuu hakuna somo la "critical thinking" hivyo maarifa hatuna. Critical thinking inakuwezesha kukiona hata kile ambacho hukuonyeshwa, hukutambulishwa Wala kuambiwa. Critical thinking inakuweza kuifahamu dhamira ya mtenda tukio, critical thinking inakulazimisha kumsikiliza mzungumzaji kwa kutumia macho, masikio na moyo.

Wahitimu wetu hawezi kufikiria critically.
 
Back
Top Bottom