Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,731
- 13,100
Haahaha mimi siyo mshabiki kindakindaki wa Yanga(japo ni shabiki) , lakini nimecheka sana na kuwadharau Simba kwa mgeni rasmi wao. Yaani unamwalika....Nyie ndo makolo na akili zenu mgando
Kila kitu unatanguliza siasa.. Huu ni mpira not siasa hautakiwi kubagua kama siasa mnavyofanya..
Tulia kolo