Na mlivyo wa hovyo mlidhani Cognizant "Think Tank and Adorable Angel" hili Tukio lenu mlilolifanya kwa Siri Kubwa sitolijua na kupata Taarifa yake kwa Kina?
Ukweli ni kwamba 75% ya Mashabiki wa Simba SC hasa wala hawajaenda Uwanjani au hawakuwa na Nia hiyo ya kwenda Uwanjani leo ila Nguvu yenu ya Ushawishi wa Pesa ndiyo imewafanya waende.
Nina Taarifa za uhakika kuwa Uongozi wa Simba SC uliamua Kununua Tiketi nyingi za Tsh 3,000/= kisha Kuzisambaza katika Matawi na kuandaa Magari au Mabasi ya Kubebea Mashabiki watakaokubali Kushawishika kwenda Uwanjani na kwamba kila Kiongozi wa Tawi aliyefanikisha Unafiki na Upuuzi huu alipewa Tsh kati ya Tsh 75,000/= hadi Tsh 100,000/= kama Asante.
Hata hivyo ili Kuonyesha kuwa Mashabiki wa Simba SC Wengi Wao wanajitambua na hawashikiki kwa Fedha zenu bado hawakuijaza Uwanja kwa vile mlivyotaka na mlivyotegemea.
Huwezi kuwa na ID ya Cognizant au kujiita Cognizant halafu usiwe Informed kwa Mambo au Masuala yote Mtambuka yanayoendelea katika Jamii Kubwa ya Watanzania na Taifa la Tanzania.
Ukweli ni kwamba 75% ya Mashabiki wa Simba SC hasa wala hawajaenda Uwanjani au hawakuwa na Nia hiyo ya kwenda Uwanjani leo ila Nguvu yenu ya Ushawishi wa Pesa ndiyo imewafanya waende.
Nina Taarifa za uhakika kuwa Uongozi wa Simba SC uliamua Kununua Tiketi nyingi za Tsh 3,000/= kisha Kuzisambaza katika Matawi na kuandaa Magari au Mabasi ya Kubebea Mashabiki watakaokubali Kushawishika kwenda Uwanjani na kwamba kila Kiongozi wa Tawi aliyefanikisha Unafiki na Upuuzi huu alipewa Tsh kati ya Tsh 75,000/= hadi Tsh 100,000/= kama Asante.
Hata hivyo ili Kuonyesha kuwa Mashabiki wa Simba SC Wengi Wao wanajitambua na hawashikiki kwa Fedha zenu bado hawakuijaza Uwanja kwa vile mlivyotaka na mlivyotegemea.
Huwezi kuwa na ID ya Cognizant au kujiita Cognizant halafu usiwe Informed kwa Mambo au Masuala yote Mtambuka yanayoendelea katika Jamii Kubwa ya Watanzania na Taifa la Tanzania.