ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Huyu Manula Ubishoo Unamzidia Sanaa hivi Lile Goli Anafungwaje? Mchezaji anaonekana kabisa anatafuta chance ya Kushoot, Na Ana shoot Yeye amesimama Tuuu… huwa Hamuoni De Gea
Hongera sana
Unaweza kutupa ushahidi kwa ushindi wa leoUshabiki mbaya sana ...yaani tmu haijafunga goli halali mechi tano mkategemea kupata ushindi kweli
Sipati picha hzo comment za wabongo hapoSasa CAF wenyewe wamemnyooshea mikono Sakho, we Chura unapatia wapi hiyo Confidence ya kuwa underestimate uwezo wa wachezaji wa SIMBA?
View attachment 2118610
Unajionaje sasa hiviTumeingiza viazi kabisa.
Good wishes although the vice versa is true.
Ah sasa sii kipa wa asec kauza mechiUnaweza kutupa ushahidi kwa ushindi wa leo
Kibu bado sijaridhishwa nae labda akibadilika huko mbeleni.Vuta picha Pape sakho anasimama pale mbele na kibu Denis
Wewe mzunguko wa kwanza umepigwa nje ndani na Rivers United Tena usiongee kabisa Bora aongee Biashara na AzamNguvu za soda hizi ndizo zikupotezee muda kwa mihemuko yote hiyo ilihali hata hatua ya robo fainali tu hujafika?
MAKOLO MAKOLO MAKOLO nimekuita mara 3 ustuke usiendelee kuwa MBUMBUMBU....
Kuna nini tena jamani? Wameshinda Kombe la Dunia au? Yanga & Simba ni timu maarufu kwa butuabutua. Tanzania bado sana soccer.
Mmegeuka tena, si mlisema tunakufa nyingi kwa Mkapa? Hakika utopolo mnapata tabu sanaa...ndo maana mmekula makwenzi uwanjani mleHapa mpira bado kabisaaaa...hawa jamaa wazuri sana wakiwa nyumbani Simba atachezea kichapo cha si chini ya goli nne ugenini ... Comment hii ipewe ulinzi.. Nakazia...
Watauonaje wakikumbuka hii aibuwamekuwa wapole nani kama huu uzi hawauwoni
Sipat picha PM yake itakavyokuwa bussy hii wiki.Mshana Jr alisema Simba itashinda 3-1 ,
Aliyewaroga Utopolo ameshakufa
Kabla sijasahau Tulia mwenyewe.Tulia Wewr
Wewe utakuwa taahira.Akili za utopolo ni za hovyo tu!
Hiki ulichoandika kinadhihirisha wazi, tena wewe utakuwa taahira…!!