witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,099
Mkuu nashawishika sana...wewe umeshaanza michakato?HABaRI,
"witnessj,
Miaka mitatu unaanza kuvuna muda unavyozidi kwenda na mavuno yanaongezeka ni miche ya kubebeshwa ya muda mfupi,Hiyo ni fursa kama uko vizuri wahi,Soko lake wamesema Kuna watu wanazifata shambani zinakwenda Ulaya na america kwani kipindi cha msimu huko sehemu nyingine Duniani zinazozalisha Avocador msimu unakuwa umukwisha au bado.
Mashamba eka moja kununua ni kuanzia laki 1-2,Nilimuliza mtaalamu mmoja toka SUA (chuo cha kilimo cha sokoine-morogoro)Akaniambia kwa heka moja unaweza kupanda mpaka miti 100.
LUMUMBA