Asante sana,Mtafute mkuu Malila yukp vizuri maeneo hayo
Nimekuja, ila sikuwa nimeuona huu uzi ngoja niusome vizuri
Asante sana,Mtafute mkuu Malila yukp vizuri maeneo hayo
Bei ya eka 1 inaanzia laki na nusu na kuendelea...Ardhi 1 Acre bei gani?
Ibukia Njombe,...Mbona mambo simpo tuBroo tupeane michongo hiyo mm nipo himo Kilimanjaro
Waache wapoteze muda mkuu, madaraja hayawez yakapanda wala kuvuna chini ya utawala Wa shetani MagflNa wengi wetu wanakesha mitandaoni wakilalamika eti MADARAJA MBONA HAYAPANDI .... ni ajabu sana
Ibukia Njombe,...Mbona mambo simpo tu
Hiv wewe unadhan mkulima mzungu aliyoko ulaya akija tz anaweza kuendeleza kilimo chake na akatajirika ? Serikali yako kama ni maskini na we mwananchi utakuwa masikin tuu!Yaani bongo tuna mavitu adimu mengi sana ya kufanya, sema watu watakwambia hawana "exposure".
Hiv wewe unadhan mkulima mzungu aliyoko ulaya akija tz anaweza kuendeleza kilimo chake na akatajirika ? Serikali yako kama ni maskini na we mwananchi utakuwa masikin tuu!
kutoa mzigo hapo mbea mpk Kilimanjaro unakutana na wakala wangap wa misitu huko barabarani na ni hela kiasi gani utawaachia
Kule dili kubwa kwa sasa ni kulima parachich,zinaenda ulaya kwa bei tamu.Na zinauzwa sana kwakua kipindi dunian kote,parachich znakuwa adimu,njombe ndo znakomaa.So ulaya na kwingneko wanahamia njombeHABARI,
Kamanda nina Ndugu yangu anataka kuja huko ana MIL.3.5 Zao gani la biashara litamfaa kuanzia aweze kurudisha pesa yake na Kuendelea na kilimo.
LUMUMBA
Au mbao,unajumua kwa 2500-4000,unauza kwa 6000 had 7000HABARI,
Kamanda nina Ndugu yangu anataka kuja huko ana MIL.3.5 Zao gani la biashara litamfaa kuanzia aweze kurudisha pesa yake na Kuendelea na kilimo.
LUMUMBA
Kule dili kubwa kwa sasa ni kulima parachich,zinaenda ulaya kwa bei tamu.Na zinauzwa sana kwakua kipindi dunian kote,parachich znakuwa adimu,njombe ndo znakomaa.So ulaya na kwingneko wanahamia njombe
Miaka 3 unaanza vuna,eka kuanzia lak 2HABARI,
"pemgtoonet.com,
Asante zinachukua muda gani kupanda mpaka kuanza kuvuna na heka moja ni sh.ngapi.
LUMUMBA
Miaka 3 unaanza vuna,eka kuanzia lak 2
Wanafuata mzgo shamba,...Wanakuletea matrei ujaze humo,mnaenda nayo kupima ofisin kwaoHABARI,
Asante sana Kwa taarifa Hizo ni zile mbegu za muda mfupi ok sawa ila uhakika wa soko ni mkubwa? na wanunuzi wanafata shambani au Mlimaji unapeleka sokoni?.
LUMUMBA
Ni sehemu gani hiyo mkuu?Wanafuata mzgo shamba,...Wanakuletea matrei ujaze humo,mnaenda nayo kupima ofisin kwao
Ni sehemu gani hiyo mkuu?
Ukitaka kulima avocador zinachukua mda gani?HABARI,
"witnessj,
Ndugu huko ni njombe jaribu kusoma Heading ya post(kichwa cha habari cha ujembe)
LUMUMBA
Ukitaka kulima avocador zinachukua mda gani?